KWA TULIOWAHI KUTAITIWA NA VIBAKA NA MAJAMBAZI TUKUTANE HAPA.

mbona bado story yako haijaisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku nyingine ukishikika vizuri usijifanye mjanja, Hao jamaa hawana hasara, utakuja tobolewa macho na vitu wakachukua. Pambana pale tu penye uhakika kuwa utawazidi mbinu, vinginevyo wape wachukue vitu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Aisee we mwehu kweli wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao walikua wanapanga jinsi yakukwambia iliwakutulize

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duu kuna kibaka mmoja yupo mwanza kilimahewa ni mbabe sana mpaka saizi atakuepo kama hayuko magereza kama sikosei anaitwa marwa mkulya uyo ni shida me nilikua mgeni hapo mtaani basi nikakutana nae akanambia toa simu nikagoma tulifuana karibia dakika 20 nikamzidi nguvu akakimbia lakni alinichana na wembe shavuni mpaka leo niko na ngeo nitumie nafasi hii mwenye dawa ya kufuta ngeo maana nikiona natamani nikalipize kisasi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wahuni sio watu wazuri, mwaka juzi kidogo wapite na Laptop yangu, nilikuwa natoka job njiani nikakutana na boda boda na abiria wake mmoja ile nawapita tu abiria akashuka na kuja kunishika bega huku akiwa na panga lake huku akisema achika begi niligeuka na kick moja, sijasubiri mkuu ainuke niliunga na mia mpaka ghetto, Nilipofika gheto nilijikuta nacheka kinoma maana nilihisi kama ndoto maana sijawahi kimbia mbio kama zile aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwa kuna lugha zao, unaweza ulizwa "mchana usiku" sasa we jibu 'usiku' kisa ni usiku umekwisha.
 
Kuna umuhimu wa kutembea na bastola siku hizi
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Tumia bayo cell

Sent using Jamii Forums mobile app
 
DAH HAPO IRENE ALIKUSAVE SANA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…