KING 360
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 3,002
- 5,192
hii ishu isikie tu kwa mtu ila hisikutokee me nilishasemaga kabisa siwezi kutemeshwa na vibaka sasa majuzi sikukuu naenda zangu beach flani nikakutana na jamaa kisura ni kuwa namfaham but sikumbuki nilimuona wap akanichangamkia akaniuliza namkumbuka? nikajibu yah kama nakupata niaje akajibu flesh tukapiga story kama sekunde kumi uku tumesimama nikamuuliza nikumbushe tulikutana wapi akachomrkea mada eti niazime sim yako nimrafute jamaa yangu amesema nimsubili apo beach sasa hatokei
mmh nikashtuka chini nimepiga pensi na earphone zangu sim inaonekana nikamwambia sim haina salio akasema nipe kwa sauti uku kakaza sura mda huohuo wakatokea majaa wengine nikaona huu msala sasa afu jamaa kama anachomoa kisu kiunoni
bila uwoga wala kitete nikamwambia kuwa mshkaji wangu icho kisu hakitakusaidia chochote hii sim siwezi kuwapa labda niwape nauli iliobaki tu mfukoni na elfu tano wakasema lete nikawàpa due ile wameshapokea yu mshaji mwingine kaja kwenye mfuko wa simu anataka simu nikakaza mkono kajamaa hakakua ata na nguvu nikawaza pale nikajua hapa demokrasia haitumiki tena kama noma naiwe noma ile nataka kulianzisha wapitanjia wakatokezea wakaniaga poa brother safari njema nikatoka zangu uyoo lakini nilikuwa nimeshaapa moyoni siwezi kutemeshwa simu vinginevyo mpaka watumie nguvu za ziada kama wakiweza
mmh nikashtuka chini nimepiga pensi na earphone zangu sim inaonekana nikamwambia sim haina salio akasema nipe kwa sauti uku kakaza sura mda huohuo wakatokea majaa wengine nikaona huu msala sasa afu jamaa kama anachomoa kisu kiunoni
bila uwoga wala kitete nikamwambia kuwa mshkaji wangu icho kisu hakitakusaidia chochote hii sim siwezi kuwapa labda niwape nauli iliobaki tu mfukoni na elfu tano wakasema lete nikawàpa due ile wameshapokea yu mshaji mwingine kaja kwenye mfuko wa simu anataka simu nikakaza mkono kajamaa hakakua ata na nguvu nikawaza pale nikajua hapa demokrasia haitumiki tena kama noma naiwe noma ile nataka kulianzisha wapitanjia wakatokezea wakaniaga poa brother safari njema nikatoka zangu uyoo lakini nilikuwa nimeshaapa moyoni siwezi kutemeshwa simu vinginevyo mpaka watumie nguvu za ziada kama wakiweza