Kwa tunaofahamu, tuzo ya Sakho ni ya kimkakati

Vipi huyu Mayele na Aziz wote wa hapo Jangwani wao mawakala wao huwa wanawasaidia vipiii?
Au wakala wa mayele ndio alikuwa anamnunulia ng'ombe mikoani na kudanganya ni upendo wa mashabiki
 

Kwaiyo ww unaona lile ni goli la kawaida Sana au sio?
 
Fanyeni na nyie mkakati msimu huu mcheze makundi alafu muwafanyie mkakati mayele, makambo, aziz ki, kambole sijui, muloko .....alafu jibu utatuletea
 
Umeandika nini sasa????
 
Fanyeni na nyie mkakati msimu huu mcheze makundi alafu muwafanyie mkakati mayele, makambo, aziz ki, kambole sijui, muloko .....alafu jibu utatuletea
Aziz Ki si ndo hili goal lilifungwa dhidi ya team yake na yeye akiwepo ndani?? Sasa afanye nn tena?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hawana mwendooooo hawa utopwengaaa!!!

Byuti byuti.
 
Itoshe tu kusema wewe jamaa ni mpumbavu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…