Kwa tunaofahamu, tuzo ya Sakho ni ya kimkakati


Kwa hivyo wakala naye pia alininua kura zilizopogwa.
 
Wakala alishanunua sana "Airtime" ya Mchezaji wake katika Page Kubwa, Wakala hashindwi Kununua Tuzo.
We jamaa acha kufurahisha wasomaji, kama zile tuzo zinanunulika kirahisi msimu ukianza mnunulieni Mayele.
 
Ameshinda kutokana na kina mudi kushinda wanapiga kura kila saa
 
Hakuna hata watu wa nchi nyingine waliompa kura [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na mambo yakawa hivi.
Unaumia na nn?? Kwan lazima utesekeee???

Byuti byuti.
 

Attachments

  • FB_IMG_16584762616071937.jpg
    39.3 KB · Views: 2
Hapo hata angekuwa kapama angeshinda maana kura za bambukicha tangu juzi mnapiga..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] peleka la Feisal au Mayeleee.
Mnakwama wapiiiiiiii???

Kaka wa kunyuuuuunyiiiiiizaaaaa pili pili, kawadondoshea kwenye kidonda tena panapoumaaaaa.

Sakhooooooooooooooo!!!!! Habari ya Dunia kwa sasa.

Woyoooooooh
 

Wewe huna tofauti na bwege kabisa! Huyo wakala anayo hela ya kuwanunua CAF? Kweli akili za wengine humu duniani ni vioja kabisa!
 

Kwanza huyo kumpa heshima ya ukuu ni kumpa sifa asiyostahili! Kenge huyo!
 
tunajua tuzo ya pape ousmane sakho imekupiga na kitu kizito cha uppercut. bado unaugulia maumivu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…