KWA UAMUZI HUU, KWA NINI NISIAMINI HAKIMU ZENAS TARIMO WA MAHAKAMA YA MWANZO ILALA AMEPEWA RUSHWA NA TIGOPESA (HONORA TZ MOBILE SOLUTI KUPINDISHA HAKI

KWA UAMUZI HUU, KWA NINI NISIAMINI HAKIMU ZENAS TARIMO WA MAHAKAMA YA MWANZO ILALA AMEPEWA RUSHWA NA TIGOPESA (HONORA TZ MOBILE SOLUTI KUPINDISHA HAKI

activist

Senior Member
Joined
Jan 3, 2014
Posts
180
Reaction score
281
Ndugu wana jamvi kwa uamuzi wa hovyo hivi ni kwa nini nisiamini kuwa huyu hakimu ni mla rushwa? Amehongwa na kampuni ya honora tz mobile solutions ili kufuta kesi hii. Ni utaratibu kuwa watoa huduma za fedha wanasimamiwa na benki kuu chini ya sheria ya Bot Act na Bot financial consumers protection regulation Gn 884 za 2019. Linapotokea tatizo kwenye account ya tigopesa au mpesa malalamiko yanapaswa kupelekwa Bot na ndicho mdai kwenye hii kesi alifanya. Ila uhuni wa tigopesa wamehonga mahakama nayo ikakubali kuwa huduma za fedha zinasimamiwa na TCRA na siyo Bot.

Honora tza mobile solutions (tigopesa) ni kampuni iliyosajiliwa na kupewa leseni na Bot ili kutoa huduma za fedha kama kutuma na kupokea, kulipia bils n.k tofauti na HONORA TZ PUBLIC LTD CO. ambayo yenyewe ndo kampuni ya mawasiliano.
Hakimu huyu hana hata mwezi mahakama ya ilala lakini ameanza kutoa hukumu za ovyo kiasi hiki kuumiza wananchi. Inasikitisha sanaaa. Yale yale aliyosema mzee Rostam kuwa mahakama zinapigiwa tuu simu kupindisha maamuzi.
 

Attachments

  • Screenshot_20241219_153040_All PDF Reader.jpg
    Screenshot_20241219_153040_All PDF Reader.jpg
    286 KB · Views: 7
  • Screenshot_20241219_152712_All PDF Reader.jpg
    Screenshot_20241219_152712_All PDF Reader.jpg
    555 KB · Views: 7
  • Screenshot_20241219_152720_All PDF Reader.jpg
    Screenshot_20241219_152720_All PDF Reader.jpg
    409.9 KB · Views: 8
Ndugu wana jamvi kwa uamuzi wa hovyo hivi ni kwa nini nisiamini kuwa huyu hakimu ni mla rushwa? Amehongwa na kampuni ya honora tz mobile solutions ili kufuta kesi hii. Ni utaratibu kuwa watoa huduma za fedha wanasimamiwa na benki kuu chini ya sheria ya Bot Act na Bot financial consumers protection regulation Gn 884 za 2019. Linapotokea tatizo kwenye account ya tigopesa au mpesa malalamiko yanapaswa kupelekwa Bot na ndicho mdai kwenye hii kesi alifanya. Ila uhuni wa tigopesa wamehonga mahakama nayo ikakubali kuwa huduma za fedha zinasimamiwa na TCRA na siyo Bot.

Honora tza mobile solutions (tigopesa) ni kampuni iliyosajiliwa na kupewa leseni na Bot ili kutoa huduma za fedha kama kutuma na kupokea, kulipia bils n.k tofauti na HONORA TZ PUBLIC LTD CO. ambayo yenyewe ndo kampuni ya mawasiliano.
Hakimu huyu hana hata mwezi mahakama ya ilala lakini ameanza kutoa hukumu za ovyo kiasi hiki kuumiza wananchi. Inasikitisha sanaaa. Yale yale aliyosema mzee Rostam kuwa mahakama zinapigiwa tuu simu kupindisha maamuzi.
Msomeeni albadir tukae matanga.

Mahakimu na majaji wanaopindisha hukumu ni mzigo kwa umma. Mkiwaroga wakufilie mbali kuondoa taka kwenye jamii
 
Unaenda Mahakamani na majibu ya kesi yako kwamba utashinda!? Sheria ni msumeno.

Na ndio maana ikawepo ngazi ya rufaa kurekebisha makosa, japo na huko unaweza kupigwa vilivyo.

Na mambo ya Mahakamani yanahitaji utulivu, kwa sababu hata rufaa utakatia huko huko, na wenyewe wana kusoma hapa, we deliver human justice, wanapasiana tu, wa chini anamwambia wa juu kwamba ile ng'ombe inakuja huko juu, piga
 
Unaenda Mahakamani na majibu ya kesi yako kwamba utashinda!? Sheria ni msumeno.

Na ndio maana ikawepo ngazi ya rufaa kurekebisha makosa, japo na huko unaweza kupigwa vilivyo.

Na mambo ya Mahakamani yanahitaji utulivu, kwa sababu hata rufaa utakatia huko huko, na wenyewe wana kusoma hapa, they deliver human justice, wanapasiana tu, wa chini anamwambia wa juu kwamba ile ng'ombe iliyotukana JF inakuja huko juu, piga
 
Unaenda Mahakamani na majibu ya kesi yako kwamba utashinda!? Sheria ni msumeno.

Na ndio maana ikawepo ngazi ya rufaa kurekebisha makosa, japo na huko unaweza kupigwa vilivyo.

Na mambo ya Mahakamani yanahitaji utulivu, kwa sababu hata rufaa utakatia huko huko, na wenyewe wana kusoma hapa, they deliver human justice, wanapasiana tu, wa chini anamwambia wa juu kwamba ile ng'ombe iliyotukana JF inakuja huko juu, piga.

Chadema na akili zao mbovu lakini katika mambo ya Mahakamani huwa wanaweka siasa pembeni, kinaweza kuwaka musa wowote ukatupwa stoo
 
Unaenda Mahakamani na majibu ya kesi yako kwamba utashinda!? Sheria ni msumeno.

Na ndio maana ikawepo ngazi ya rufaa kurekebisha makosa, japo na huko unaweza kupigwa vilivyo.

Na mambo ya Mahakamani yanahitaji utulivu, kwa sababu hata rufaa utakatia huko huko, na wenyewe wana kusoma hapa, they deliver human justice, wanapasiana tu, wa chini anamwambia wa juu kwamba ile ng'ombe iliyotukana JF inakuja huko juu, piga.

Chadema na akili zao mbovu lakini katika mambo ya Mahakamani huwa wanaweka siasa pembeni, kinaweza kuwaka musa wowote ukatupwa stoo
 
Unaenda Mahakamani na majibu ya kesi yako kwamba utashinda!? Sheria ni msumeno.

Na ndio maana ikawepo ngazi ya rufaa kurekebisha makosa, japo na huko unaweza kupigwa vilivyo.

Na mambo ya Mahakamani yanahitaji utulivu, kwa sababu hata rufaa utakatia huko huko, na wenyewe wana kusoma hapa, they deliver human justice, wanapasiana tu, wa chini anamwambia wa juu kwamba ile ng'ombe iliyotukana JF inakuja huko juu, piga.

Chadema na akili zao mbovu lakini katika mambo ya Mahakamani huwa wanaweka siasa pembeni, kinaweza kuwaka musa wowote ukatupwa stoo
Duh
 
Msomeeni albadir tukae matanga.

Mahakimu na majaji wanaopindisha hukumu ni mzigo kwa umma. Mkiwaroga wakufilie mbali kuondoa taka kwenye jamii
Albadili tulikuwa tunaaminishwa zamani hakuna kitu kama hicho PALESTINE wangewasomea ISRAEL zamani sana
 
Back
Top Bottom