Kwa uamuzi huu wa Mahakama Kuu, ni dhahiri kuwa wamedhamiria kutenda uovu

Kwa uamuzi huu wa Mahakama Kuu, ni dhahiri kuwa wamedhamiria kutenda uovu

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
Hukumu ya leo wazi wazi inaonyesha kuwa wamedhamiria kumfunga Mbowe. Kungelikuwa na afadhali kwenye Court of Appeal, mtu unasema kuwa ngoja nitakata rufani lakini kwa mwendo wa Mahakama za kishenzi hizi, mbele kuna giza nene kwa Mbowe.

CDM you need another approach to rescue Mbowe! Angalia Mahakama za haki za Bold Spirit Judges as opposed to Timorous kama akina Siyani.

Pitia huukumu hii hapa chini attached, haina tofauti na ya Mbowe ya kesi ndogo. Angalia reasoning ya majaji kuhusu kumshikilia mtu bila kumhoji zaidi ya muda uliowekwa kisheria
 

Attachments

ni hivi Mbowe anakula Maisha na CDM inafutwa rasmi before 2023. tuwe tayari kwa hilo, hiyo kesi ya Sabaya ni danganya toto kutuweka tayari kwa kifungo cha mweshimiwa, dogo sabaya atatoka baada ya 3 to 4 yrs.

Kwanza hata huko gelezani atakuwa anatoka anarudi kula bata na mpenzi wake uraiani, hii ndiyo Tanzania mzee kama huijui basi saga chupa.
 
Samia
susp.png
 
Nasema tena na tena " kwa upuuzi huu wa watawala hii nchi haifiki 2040, itakuwa kwenye matatizo kama ya Somalia, Yemen ama Central Africa republic"
Itafikaje huko wakati gaidi anafungwa?
 
kwani mabarozi wao wanasemaje???

nimeambiwa wako ndani ya mahakama wanakiwasha na barakoa zao.
 
Hukumu ya leo wazi wazi inaonyesha kuwa wamedhamilia kumfunga Mbowe. Kungelikuwa na afadhali kwenye Court of Appeal, mtu unasema kuwa ngoja nitakata rufani. Lakini kwa mwendo wa Mahakama za kishenzi hizi, mbele kuna giza nene kwa Mbowe.
CDM you need another approach to rescue Mbowe !
Angalia Mahakama za haki za Bold Spirit Judges as opposed to Timorous kama akina Siyani
Siyani amejidhalilisha sana.
 
Hukumu ya leo wazi wazi inaonyesha kuwa wamedhamilia kumfunga Mbowe. Kungelikuwa na afadhali kwenye Court of Appeal, mtu unasema kuwa ngoja nitakata rufani. Lakini kwa mwendo wa Mahakama za kishenzi hizi, mbele kuna giza nene kwa Mbowe.
CDM you need another approach to rescue Mbowe !
Angalia Mahakama za haki za Bold Spirit Judges as opposed to Timorous kama akina Siyani

CDM kuna mapungufu ya msingi yanayowapa fursa hizi watesi wetu.

CHADEMA: Bila kuwapa Makavu hakuna Katiba Mpya

Ni muhimu kutambua:

1. Hatuna cha kutegemea kutokea katika mahakama zisizokuwa huru.
2. Kuwekeza kupata haki tokea katika mahakama hizi ni kupoteza wakati.
3. Harakati zetu kudai katiba mpya zinapaswa kuongezeka si kupoa.

Kufanikisha haya asiye tayari kwa vuguvugu hili jipya ndani ya CDM ni vizuri akakaa pembeni.

Huu ni muda wa kujifanyia tathmini.

Mawazo kwa ajili ya kusonga mbele hata ya ambao leo ni maadui zetu kuyaangalia si unyonge.

Hatuhitaji kubeba silaha. Ila tunaweza kuweka mashinikizo ya kutosha yaliyo ndani ya katiba.
 
Sina shida na mbowe maamuzi yeyote mabaya yataniuma.
Mbowe ni mpinzani ila ni good leader anajua aongee nini au aache nini.

Kifo cha jpm mbowe hakutoa neno lolote baya kama wengine, tangu hapo ndo nilijuwa nini maana ya kuwa kiongozi.
 
Kuna uzi niliuweka humu hivi karibuni nikieleza night visions niliziona kumhusu hayati Magufuli na nikatoa angalizo hasa kwa watu wenye mamlaka kutenda haki na kujiepusha kwa namna yoyote ile kumwaga damu isiyokua na hatia. Kama waliona au hawajaona siwezi jua ila it was a terrible vision ikiashiria kama roho ya kisasi against the late Magufuli.....
 
Back
Top Bottom