Kwa uamuzi huu wa Mahakama Kuu, ni dhahiri kuwa wamedhamiria kutenda uovu

Kwa uamuzi huu wa Mahakama Kuu, ni dhahiri kuwa wamedhamiria kutenda uovu

.
FB_IMG_1628922921152.jpg
 
Acheni kulia lia!

Kwani dikteta wenu bado yupo? Si mnapumua nyie!?

Hizi mahakama si ndio mlishangilia wakati wa hukumu ya sabaya?

Tulieni!
Bwanawe shangaa haya wewe.
 
s ndo nyie mliosema tumpe muda,,, bado muda,, tuendeleen kumpa mda,, ndo democrsia ya kwel.
 
Back
Top Bottom