Kwa ubabe aliomfanyia mchina: Pelosi avalishwa medali ya heshima ya ujasiri na ushujaa!

Kwa ubabe aliomfanyia mchina: Pelosi avalishwa medali ya heshima ya ujasiri na ushujaa!

China ingeamua kukomaa na biashara tu!! Iachane na Taiwan kwani Taiwan ni nini bwana!! Iachane na mikwara hewa ambayo inailetea aibu tuu!! Kuunguruma kwingi kumbe hakuna hata jino moja!! Iamue kuwa ka,ma Switzerland!! Mambo ya kutunisha misuli amwachie Kiduku na Putin!!
Taiwan ndo sababu China inakua kibiashara Taiwan ikiwa nchi maana yake itabidi Meli zote zilipe Taiwan kupita kwenye bahari yake.

Pia anaweza zuia meli yoyote
 
Pelosi Kawa gumuzo sana. Apewe tu, ni jasiri sana

Alimsumbua sana Trump. Na kimsingi huyu ndio chanzo mojaqapo cha Trump kutemwa pale U.S na Biden kuingia Whitehouse.

Alimzingua sana Trump kwenye ujenzi wa Ukuta kule mpakani mwa mexco.
Mama ni mtaliano hiyo asili yake lazima awe Mafia
 
Sio mama ni bibi wa miaka 82
Oh, kumbe ana 82!!!! Lakini anaonekana ni kijana, ana nguvu na uimara wa akili kuliko wanasiasa wengi wenye umri robo/nusu ya huo. Anakula nini huyu hadi katika umri huo awe na muonekano sawa na Tulia Ackson?!!!!!!
 
View attachment 2312671
Speaker Nancy Pelosi, centre, speaks next to Taiwan President Tsai Ing-wen and American Institute in Taiwan Director Sandra Oudkirk during a meeting at the presidential office in Taipei, Taiwan August 3, 2022 [Taiwan Presidential Office/Handout via Reuters]

Mama mbabe Pelosi anaiambia China haina ubavu wa kuzuia watu marafiki kuitembelea Taiwan!!

Pelosi also said the US wants Taiwan to have freedom with security and will not back away from that. She added that while China has “stood in the way of Taiwan participating in and going to certain meetings”, it should understand that it cannot stand in the way of “people coming to Taiwan as a show of friendship”.
Duuu!
Huyu mwanamke akishika tu madaraka ya 🇺🇸 lazima dunia iwake moto.....bahati nzuri tu ni kuwa hawezi kufanya hivyo kwa sasa.
 
Taiwan ndo sababu China inakua kibiashara Taiwan ikiwa nchi maana yake itabidi Meli zote zilipe Taiwan kupita kwenye bahari yake.

Pia anaweza zuia meli yoyote
Sasa hana jinsi itabidi China tu ikubali matokeo. Baada ya kudhalilishwa jana sidhani kama China itakuwa na ubavu wa kuivimbia Taiwan kwa lolote!! Taiwan imeasi itabidi China abariki uasi huo ili mambo mengine yaendelee kuliko mtu mzima kuaibika mbele ya macho ya dunia nzima!! Mara mia China isingechimba mkwara, kuliko kuchimba mkwara halafu inaishia kuaibika!! Mchezo wa ubabe awaachie wenyewe!!
 
Napendekeza vitu viwili kwa wamarekani wamsaidie

1.Awe mgombea Uraisi wa Marekani Joe Biden akiondoka

2.Wapendekeze apewe Nobel Prize kwa kusimama kidete kwenda eneo hatarishi kutetea Raia wa Tawain na demokrasia yao
 
Oh, kumbe ana 82!!!! Lakini anaonekana ni kijana, ana nguvu na uimara wa akili kuliko wanasiasa wengi wenye umri robo/nusu ya huo. Anakula nini huyu hadi katika umri huo awe na muonekano sawa na Tulia Ackson?!!!!!!

Marekani viongozi wao huwa ni wazee.. biden amepata urais akiwa na 77. Trump nae alipata urais na 75

Kule huduma zao za afya ni nzuri na maisha ya wazungu ni standard ya juu sana
 
Ili tuende mbele na kurudi nyuma!! Woga wa mchina umeepusha maafa makubwa sana!! Waswahili husema "kwa mwoga huenda kicheko, kwa shujaa huenda kilio". Marekani isingevumilia ndege ya spika wake itunguliwe!! Saa hii dunia ingekuwa inaongea kitu kingine!
Kama kutua tu kwa ndege huku mafuta yamepanda bei China wangekiwasha sijui ingekuaje
 
1659512602130.png

Bibi wa miaka 82 bado anakata masafa! kwa umbile lake kama akifanyiwa "Plastic Surgery" na ngozi yake ikavutwa atatokea kama binti wa miaka 21!!
 
Marekani viongozi wao huwa ni wazee.. biden amepata urais akiwa na 77. Trump nae alipata urais na 75

Kule huduma zao za afya ni nzuri na maisha ya wazungu ni standard ya juu sana
🙏🙏
 
Marekani viongozi wao huwa ni wazee.. biden amepata urais akiwa na 77. Trump nae alipata urais na 75

Kule huduma zao za afya ni nzuri na maisha ya wazungu ni standard ya juu sana
Marekani bila hela hutoboi

Wazee wengi ndio huwa na pesa ndio maana ina vikongwe

Kwa Afrika nchi inayoongoza kwa kuongoza na wazee wengi ni Afrika ya kusini Waziri mdogo kabisa ana Miaka 63
 
Marekani viongozi wao huwa ni wazee.. biden amepata urais akiwa na 77. Trump nae alipata urais na 75

Kule huduma zao za afya ni nzuri na maisha ya wazungu ni standard ya juu sana
Samahani maanake naona huelewi hapo na hivyo itaonekana kama unapotosha. Trump alipata urais akiwa na miaka 70 na siku 220 na wala sio 75 kama unavyodai.

NB: Unaweza ukatizama hapa chini:

146Joe Biden78 years 61 days
245Donald J. Trump70 years 220 days
340Ronald Reagan69 years 348 days
49William Henry Harrison68 years 23 days
515James Buchanan65 years 315 days
641George H. W. Bush64 years 222 days
712Zachary Taylor64 years 100 days
834Dwight D. Eisenhower62 years 98 days
97Andrew Jackson61 years 354 days
102John Adams61 years 125 days
1138Gerald R. Ford61 years 26 days
1233Harry S. Truman60 years 339 days
135James Monroe58 years 310 days
144James Madison57 years 353 days
153Thomas Jefferson57 years 325 days
166John Quincy Adams57 years 236 days
171George Washington57 years 68 days
1817Andrew Johnson56 years 107 days
1928Woodrow Wilson56 years 66 days
2037Richard M. Nixon56 years 11 days
2124Grover Cleveland55 years 351 days
2223Benjamin Harrison55 years 196 days
2329Warren G. Harding55 years 122 days
2436Lyndon B. Johnson55 years 87 days
2531Herbert Hoover54 years 206 days
2643George W. Bush54 years 198 days
2719Rutherford B. Hayes54 years 151 days
288Martin Van Buren54 years 89 days
2925William McKinley54 years 34 days
3039Jimmy Carter52 years 111 days
3116Abraham Lincoln52 years 20 days
3221Chester A. Arthur51 years 349 days
3327William H. Taft51 years 170 days
3432Franklin D. Roosevelt51 years 33 days
3530Calvin Coolidge51 years 29 days
3610John Tyler51 years 6 days
3713Millard Fillmore50 years 183 days
3811James K. Polk49 years 123 days
3920James A. Garfield49 years 105 days
4014Franklin Pierce48 years 101 days
4122Grover Cleveland47 years 351 days
4244Barack Obama47 years 169 days
4318Ulysses S. Grant46 years 311 days
4442Bill Clinton46 years 154 days
4535John F. Kennedy43 years 236 days
4626Theodore Roosevelt42 years 322
 
Back
Top Bottom