SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Na Simba tukishinda Kasesera yako halali yetu kwa mwezi mzima.SIMBA KESHO AKISHINDA NA KUFUZU NITAWEKA HAPA REAL NAME, VYETI VYANGU, KITAMBULISHO CHA KAZI, MAHALI NINAPOISHI, NITATOA MSHAHARA WANGU WA MWEZI HUU NA KUWANUNULIA TIMU YA SIMBA KWA WIKI NZIMA.
MATOKEO RASMI YA GAME YA KESHO
SIMBA 2 - 3 KAIZER CHIEFS
Kwa nilivyoiangalia hii mechi kwa jicho la kiufundi (maana uchawi haupo ktk soka)
SIMBA ITAANZA KWA MPIRA WA KASI SANA DK 10 ZA MWANZO NA NDANI YA DK HZO kutokana na presha yao KAIZER CHIEFS WATAPATA BAO LA KUONGOZA hali itakayopelekea Simba kuchanganyikiwa na kupigwa la pili dk chache mbele. Lkn matokeo ya mwisho simba atafungwa 3 - 2
Umeongea kwa kutumia akili yenye mshiko.Big upBasi TP Mazembe wangekuwa wanabeba kombe kila msimu na wasinge toka kizembe msimu huu..
well noted, Ngoja Tuone.Simba 0 Kaizer Chiefs 5. Mark my words
Wataenda kupindua meza sokoni kariakooSimba tukipindua meza nitaanza rasmi kuamini kuwa uchawi upo.
Mkuu Gentamycine naomba kuuliza"Huyo Mganga wa TP Mazembe hakuwepo siku timu yake ya TP Mazzembe ilivyochapwa na Mamelod Sundowns Lubumbashi na Johannesburg pia"? Naomba jibu tafadhaliMkuu kwa ' Uchawi ' uliofanyika, unaofanyika na utakaofanyika Kesho ( hasa pale Uwanjani ) kwa Mkapa hawa Wazulu wawe makini, wajiangalie kwani wanaweza hata Kufungwa Goli 6 hadi 7.
Huyo Mtaalam ( Mganga ) wa TP Mazembe anachokifanya sasa eneo Moja la Mikocheni alilowekwa Kesho Wajukuu wa Hayati Mandela na Waafrika Kusini wanaweza wasiamini na kile wanachoenda Kukutana nacho.
Kuna Ajali zinaviziwa kama zitatokea leo ndani ya Jiji la Dar es Salaam ili Watu wawahi Pumbu ( Kende ) za Maiti zikiwa bado za Moto na Kiganja cha mkono wa Kushoto. Yanayoendelea huko Kesho Wajukuu wa Hayati Mandela hawatoisahau Tanzania na Wajukuu wa Hayati Nyerere.Huu uzi utakuwa na wachangiaji wengi sana baada ya mechi. Wengine watakuja kumponda mleta uzi na wengine watakuja kumpongeza mleta uzi kwamba kapita mle mle. Binafsi hili swala sipingani nalo, nilitegemea Simba watafanya kila mbinu ili ipindue meza, kwenye mpira uchawi upo. Nikikumbuka mechi ya juzi juzi hapa kati ya Simba na timu za nje ya nchi ndani ya uwanja wa Mkapa unaona kabisa wapinzani wanavyozidiwa maana mpira wanautafuta kwa tochi na magoli pia hawayaoni. Al Ahly ilipata shida sana utadhani anacheza na Bayer Munich jinsi walivyozidiwa.
Nyie Wapumbavu wachache hebu acheni Kunichosha tafadhali sawa? Nimesema wazi tu kuwa huyo Mganga wa TP Mazembe huwa anazijulia mno Timu za kutoka Afrika Kusini wakicheza nazo na siyo kwamba huwa ( amekuwa ) akiwapa Ubingwa kama Hoja yenu ambayo wengi wenu ndiyo mnaishikilia tu.1989-2016 Rekodi zako ni za club au ni za mganga maana Kama huyo mganga yupo toka 1989 basi hayo mataji ni machache. Vile vile kutoka 2016 mpaka sasa hajashinda au walianza kumdhulumu huo mwaka?
Kuna Ajali inatengenezwa Jini lishibe tu.Kamati ya Ufundi isha fanya yao !
Mkuu niliyoyaona tu nawaonea Huruma.Walianza wao SSC wanamaliza...
Zaidi ya Waganga 31 wanaicheza Mechi.Kwa msisitizo wako Mkuu Sina shaka kesho itakuwa patashika nguo kuchanika....
Ungeahidi tu ' Tobo ' lako ingependeza.SIMBA KESHO AKISHINDA NA KUFUZU NITAWEKA HAPA REAL NAME, VYETI VYANGU, KITAMBULISHO CHA KAZI, MAHALI NINAPOISHI, NITATOA MSHAHARA WANGU WA MWEZI HUU NA KUWANUNULIA TIMU YA SIMBA KWA WIKI NZIMA.
MATOKEO RASMI YA GAME YA KESHO
SIMBA 2 - 3 KAIZER CHIEFS
Kwa nilivyoiangalia hii mechi kwa jicho la kiufundi (maana uchawi haupo ktk soka)
SIMBA ITAANZA KWA MPIRA WA KASI SANA DK 10 ZA MWANZO NA NDANI YA DK HZO kutokana na presha yao KAIZER CHIEFS WATAPATA BAO LA KUONGOZA hali itakayopelekea Simba kuchanganyikiwa na kupigwa la pili dk chache mbele. Lkn matokeo ya mwisho simba atafungwa 3 - 2
(Natania): Kama na viganya vimo, chonde waambie wasichukue mkono wa Haji. Labda Wawafikirie mikono ya wale wazee walioweka ngumu mchakato wa mabadiliko.Kuna Ajali zinaviziwa kama zitatokea leo ndani ya Jiji la Dar es Salaam ili Watu wawahi Pumbu ( Kende ) za Maiti zikiwa bado za Moto na Kiganja cha mkono wa Kushoto. Yanayoendelea huko Kesho Wajukuu wa Hayati Mandela hawatoisahau Tanzania na Wajukuu wa Hayati Nyerere.
Walimdhulumu Pesa zake nyingi mno tu.Mkuu Gentamycine naomba kuuliza"Huyo Mganga wa TP Mazembe hakuwepo siku timu yake ya TP Mazzembe ilivyochapwa na Mamelod Sundowns Lubumbashi na Johannesburg pia"? Naomba jibu tafadhali