Kwa 'Uchawi' unaofanyika ambao ni wa 'Kufuru' Wajukuu wa Hayati Mandela watajuta kuwafahamu Wajukuu wa Hayati Nyerere kwa Mkapa Kesho

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Afe Mbuzi, Afe Mutu tunachotaka bao 5 watu tuendelee kushabikia kwa Mkapa.
 
Nimeifanyia Simba SC yako hii ( hiyo ) Makubwa na tena ya Hatari kabisa kuliko ambavyo Juha Mmoja Wewe unavyoweza kudhani sawa?

Huna unachokijua kuhusu Soka la Tanzania ( tena hasa hili linalohusu Vilabu vikongwe hivi Viwili ) vya Simba na Yanga sawa? Kabishane na Oya Oya ( Washamba ) wenzio ambao mmeanza Kuufuatilia Mpira Kipindi cha Kocha Jose Mourinho Mpuuzi Mmoja Wewe.
 
Siku zote Uchawi mkubwa wa Simba SC wakilitaka lao ni Kuua Mtu ( Watu ) kw Kitabu na Uchawi mkubwa wa Yanga SC ni Kuiba Maiti Mochwari na Kuzifukia Uwanjani kwa Miti Shamba.
 
Mleta uzi utawaua watu maana uongo wako na ule wa Manara unawaua sana watanzania walipa kodi maana mnawaaminisha ujinga usio na maana.Unajua South Africa ndo Nchi pekee yenye chuo Kikuu kinachotoa degree bora ya UCHAWI??Kama walikuja na Malecturer utaweka wap sura yako kesho saa moja?Mbna unazungumzia upande mmoja tu na huzungumzii ubora wa uchawi wao?.Mwenzako Mshana Jr jr yupo kmya ashaona mambo mazito😂😂😂😂
 
Sasa tufanyeje Mkuu kwani akina GENTAMYCINE tukiwaambia Ukweli wa Kiufundi kuwa Timu yetu ni Dhaifu kwa Kaizer Chiefs FC na haitoboi Wananuna na Kunitukana sasa nawapeleka vile watakavyo wao ili Wafurahi, Waamini na Kesho Wajazane Uwanjani wakazimie vizuri kwa Presha ya Kipigo kingine Kitakatifu ambacho nimeshakiona Kiufundi kabisa kuwa Simba SC inaenda Kukipokea tena kwa Mkapa.
 
Mmmnh mkuu mbna unatisha asee ya kweli ayo!? Vipi baada ya game tukutafte umu umu JF au utapotea?
 
@Shadeeya upo mtani
 
Hatari sana!
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣we jamaa sometime unachambua mambo vzur mpka natamani uongoze pale Lumumba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…