Kwa udogo wa Israel, tuwaombee kuendelea kuwepo hapo Middle East

mkuu bila walau D mbili za O'level kamwe huwezi jua nchi kubwa kwenye hii dunia
 
Jehova mwenyewe ni USA na UK
 
Islamic jihad,boko haram, alshabab, alqaida, Hezbollah etc....hayo makundi ni mali ya nani na kazi ya hayo makundi ni ipi nakwa faida ya nani?
 
Usitishike na ukubwa wa Nchi za Kiarabu sehemu kubwa ni Jangwa wenyewe wanaishi sehemu za Mijini tu..

Israel hapo ndo kwake sasa na sasa karudi Nyumbani baada ya kuishi uhamishoni.
 
Islamic jihad,boko haram, alshabab, alqaida, Hezbollah etc....hayo makundi ni mali ya nani na kazi ya hayo makundi ni ipi nakwa faida ya nani?
Wenyewe wanakuambia wanapigania jihad na ukifa kwenye huo mchakato zawadi yake ni bikra 72 kuzimu sasa hizi ni akili au matope?
 
Wanaoishi kwa kufata dini yao wamekua sio wastaarabu ila wanaoishi nchi zenye Uhuru wa jinsia ndio wastaarabu
Dini gani ama mila za kiarabu? Jitu jeusi tii eti unashadadia uarabu na kushika mila zao kisa unaona ufahari ukifa utabadilika liarabu na lisijdah lako kwenye paji lako jeusi.

Pathetic
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…