Gordian Anduru
JF-Expert Member
- Apr 16, 2021
- 369
- 747
wadau ushauri kwa mpwa wangu please
| G/STUDIES - 'E' GEOGR - 'C' PHYSICS - 'D' ADV/MATHS - 'E' |
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
| G/STUDIES - 'E' GEOGR - 'C' PHYSICS - 'D' ADV/MATHS - 'E' |
Hapo juu uko sahihi, ila kuwa mhandisi si lazima PCM, Kuna PGM, PCBMkuu acha kutudhalilisha wahandisi. Huyo anatakiwa aende veta ndio level yake.
Halafu huyo amesoma combination gani?
Uhandisi lazima uwe na PCM.
Hakuna PCB anaeweza kusoma uhandisi maana, PCB hawasomi pure mathematics wao husoma BAMHapo juu uko sahihi, ila kuwa mhandisi si lazima PCM, Kuna PGM, PCB
PCB ni watu wa Medicine siyo EngineeringHapo juu uko sahihi, ila kuwa mhandisi si lazima PCM, Kuna PGM, PCB
Mkuu acha kutudhalilisha wahandisi. Huyo anatakiwa aende veta ndio level yake.
Halafu huyo amesoma combination gani?
Uhandisi lazima uwe na PCM.
Kijana fanya shule ufahamu mambo, Biomedical Engineering anasoma nani?Hakuna PCB anaeweza kusoma uhandisi maana, PCB hawasomi pure mathematics wao husoma BAM
Babu mwerevu huu werevu utakuwa hujaupata, PCB anaweza kusoma Biomedical Engineering
Hilo neno lazima awe amesoma PCM liondoe.Mkuu acha kutudhalilisha wahandisi. Huyo anatakiwa aende veta ndio level yake.
Halafu huyo amesoma combination gani?
Uhandisi lazima uwe na PCM.
Mkuu kwani E si ndio Principal pass yenyewe au labda points zitamkwamisha kwenye hiyo E ya hesabu?Hilo neno lazima awe amesoma PCM liondoe.
Uhandisi unahitaji Advanced Mathematics (M) na Physics P
Hivyo PGM pia anayo nafasi kwenye aina nyingi ya uhandisi ni chache sana hawazisomi.
Kwa Gradi za mtoa mada ni ngumu kweli kwasababu Maths Hana principle pass
Hali ya maisha inategemeana na mambo mengi sana. Hapa tunaongelea qualifications za kusoma engineering.Mbona wahandisi ni choka mbaya tu
Ajaribu na kuomba chuo cha maji mojawapo ya kozi anaweza kupatawadau ushauri kwa mpwa wangu please
G/STUDIES - 'E' GEOGR - 'C' PHYSICS - 'D' ADV/MATHS - 'E'
PCM anasoma engineering yoyote. Hao PGM na PCB (biomedical engineering) ni exceptions chache kwenye kanuni.Hilo neno lazima awe amesoma PCM liondoe.
Uhandisi unahitaji Advanced Mathematics (M) na Physics P
Hivyo PGM pia anayo nafasi kwenye aina nyingi ya uhandisi ni chache sana hawazisomi.
Kwa Gradi za mtoa mada ni ngumu kweli kwasababu Maths Hana principle pass