Championship
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,500
- 10,616
Yaani mtu apate E au D au C halafu awe engineer? Huku ni kutuletea mzaha kwenye taaluma.Mkuu kwani E si ndio Principal pass yenyewe au labda points zitamkwamisha kwenye hiyo E ya hesabu?
Kozi za udaktari, ufamasia, uhandisi nk ambazo zina madhara makubwa kunapokuwa na udhaifu inatakiwa tuwe strict kwenye admission.