Kwa ufaulu huu Engineering atapata? Na je aombe kozi gani?

Kwa ufaulu huu Engineering atapata? Na je aombe kozi gani?

Mkuu kwa mjibu wa TCU moja ya sifa ya lazima kusoma degree ya kitu chochote ni lazima kwa ufaulu wa form six(Isipokua 2015na16) uwe na Walau D na walau point 4 kwenye masomo ma3.
Hii ni kwa vyuo vyote private na government.
Kwa hiyo degree haiwezekani.

Kwa Diploma ni karibu course zote anapata
TCU wanataka principal pass zenye jumla ya point 4 kutoka kwenye masomo mawili.

Yaani angalau awe na D D au C E.
So huyu mwenzetu anakidhi vigezo vya kujiunga na bachelor degree.

Akichagua kwa umakini anapata kozi ya engineering nzuri tu bila wasiwasi.

Namshauri aangalie Water resources and irrigation engineering na agricultural engineering pale SUA.

Kuna kozi nzuri japo sio za engineering moja kwa moja pale ARU anaweza kuomba. Geomatics, architecture,...
 
Mkuu acha kutudhalilisha wahandisi. Huyo anatakiwa aende veta ndio level yake.

Halafu huyo amesoma combination gani?

Uhandisi lazima uwe na PCM.
Hata PGM ila ufaulu huo ni kitukooo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu kwa mjibu wa TCU moja ya sifa ya lazima kusoma degree ya kitu chochote ni lazima kwa ufaulu wa form six(Isipokua 2015na16) uwe na Walau D na walau point 4 kwenye masomo ma3.
Hii ni kwa vyuo vyote private na government.
Kwa hiyo degree haiwezekani.

Kwa Diploma ni karibu course zote anapata
Sasa huyo si ana point 6,kwa nini isiwezekane?
 
PCM anasoma engineering yoyote. Hao PGM na PCB (biomedical engineering) ni exceptions chache kwenye kanuni.

Tusiposema hivi kuna watu watakuja na kozi wataiita 'historical engineering' ili na wao waitwe wahandisi.
Acha kupotosha watu wewe,
Most of engineering degree programs zinahitaji principles pass ya Physics na Math tu. Hivyo basi PCM na PGM wana ingiliana sana kwenye engineering industry.

Siongei haya kama mwana siasa bali naongea hivi nikiwa kama mhusika wa hiyo kada ya uhandisi.
 
Mkuu kwa mjibu wa TCU moja ya sifa ya lazima kusoma degree ya kitu chochote ni lazima kwa ufaulu wa form six(Isipokua 2015na16) uwe na Walau D na walau point 4 kwenye masomo ma3.
Hii ni kwa vyuo vyote private na government.
Kwa hiyo degree haiwezekani.

Kwa Diploma ni karibu course zote anapata
HUJUI HATA VIGEZO VYA KUINGIA DEGREE KO TULIA TU MKUU USIPOTOSHE UMMA, BORA UWE MPENZI MSOMAJI TU WA COMMENTS.
 
Na ndio maan ni nadra kukuta lecture aliyesomea Dit au Udom vyuo vya private au vyuo makini
 
PCM anasoma engineering yoyote. Hao PGM na PCB (biomedical engineering) ni exceptions chache kwenye kanuni.

Tusiposema hivi kuna watu watakuja na kozi wataiita 'historical engineering' ili na wao waitwe wahandisi.
Kuna Aina za Engineering zaidi ya 100
Katika hizo zote ambazo PCM anasoma ila PGM hasomi hazifiki hata 5 au 10
.
Maana ake kuweka neno kuwa hawasomi Uhandisi unakosea.

Pita chuo chochote nje na ndani Mahitaji ya Kusoma Uhandisi ni Physics na Mathematics hiyo chemisrty itakuja kuwa nyongeza kwa baadhi ya Uhandisi unao lazimishia kuwepo kwakwe, na hazifiki hata 10.
Ni sawa na tulivyokariri PGM ni Pilot tuu hiyo ni zaman sana , mana hata EGM anaweza somea u Pilot hata form 4 pia .
 
Back
Top Bottom