Kwa Uhasama mkubwa na uliovuka mipaka wa Haji Manara dhidi ya Simba SC, tafadhali Wazazi wake, Serikali na Klabu yake imuonye upesi ili wasije Kujuta

Wewe Shabani na alokutuma Tulieni dawa iwaingie na bado mpka hindi yenu ya billion 85 ishidwe kula tambuu kwa furaha
 
Kwahiyo serikali yako ina fanya hayo!!.. wakati wenzenu wanatangazo utalii na vipaji vya vijana nyie mnajaribu kuua uchumi wa Nchi Kwa shutuma hewa!!..Hivi akifunguliwa mashitaka ya uhujumu uchumi Mtamtetea namna hii?
Ubarikiwe mno na Asante kwa Kukuelimisha huyo Mpumbavu na ndiyo maana hata aliyekuwa Kocha wao Mkuu Luc Eymael Raia wa Ubelgiji alisema ( ipo YouTube ) kuwa Wana Yanga SC ni Nyani, Mbwa na Sokwe.

Cc: Ahmad Abdurahman
 
Kwahiyo serikali yako ina fanya hayo!!.. wakati wenzenu wanatangazo utalii na vipaji vya vijana nyie mnajaribu kuua uchumi wa Nchi Kwa shutuma hewa!!..Hivi akifunguliwa mashitaka ya uhujumu uchumi Mtamtetea namna hii?
Ujinga wenu wa uhujumu uchumi mwisho ilkua 17/3. Stupid kabisa.
 
Tatizo sio manara tatizo ni Uzamani wa manara

Ni ukweli usiopingika soka letu limepitia maajabu, miujiza na mauza uza kibao kwa vilabu vyetu pendwa

Lakini hii ndio zana harisi ya mabadiliko
Yaani kutolewa kwake Simba ilikuwa ni mojawapo ya mabadiliko

Manara hayo yalifanyika kabla ya mabadiliko washauli utopolo wabadilike
 
jamaa ni mpuuzi tuu......HAKUWA anamlenga manara.....kuna ujumbe alitaka kuufikisha kwenye jamii....so ametumia kivuli cha manara......ni sawa na mpuuzi mmoja anapomzungumzia mpuuzi mwingine....
 
Miezi 6 tu makolo wanakereka kweli kweli
 
Simba na Yanga Ni Watani Wa Jadi lakini Nimeshagundua Huyu Haji anageuza Utani au ushindani Kuufanya Kuwa UADUI...ni mtu wa ajabu sana...
 

Unatombwa nn,peleka comment zako za kijinga fb uko
 
Huo umafia mshindwe kuufanya nyinyi ambao huwa mnajiapiza kabisa kuwa "msimu huu ni lazima kwa namna yoyote tuchukue ubingwa"?

Nyinyi kimataifa mmeenda zaidi ya mara tano kipindi kile cha Manji ila mara zote mmekuwa vibonde kiasi cha kufanya watz wengi waamini kuwa michuano ya CAF hatuiwezi, ni Simba Sc tu ndo imekuja kuifanya mkchuano hii ionekane ni ya kawaida kuaarchieve.
 
Manara kosa lake kusema ukweli? Manara anawajua nje ndani. Kwa kikosi gani cha kuifunga Asec? Subirini next matches muone kama mtafurukuta.
inaonekana kuna ukweli, kwamba hakuna Yanga mwenye akili, wote ni mazuzu.

Ila ucjal, hata Yanga yuko anacheza kombe la shirikisho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ