Sawa mzee wa IQ hahahahahaha!!!Huna IQ ya Kuuelewa huu Uzi wangu wapishe Intelligent People waujadili na Wewe endelea Kupambana na Upumbavu wako.
Ubarikiwe mno na Asante kwa Kukuelimisha huyo Mpumbavu na ndiyo maana hata aliyekuwa Kocha wao Mkuu Luc Eymael Raia wa Ubelgiji alisema ( ipo YouTube ) kuwa Wana Yanga SC ni Nyani, Mbwa na Sokwe.Kwahiyo serikali yako ina fanya hayo!!.. wakati wenzenu wanatangazo utalii na vipaji vya vijana nyie mnajaribu kuua uchumi wa Nchi Kwa shutuma hewa!!..Hivi akifunguliwa mashitaka ya uhujumu uchumi Mtamtetea namna hii?
Manara kosa lake kusema ukweli? Manara anawajua nje ndani. Kwa kikosi gani cha kuifunga Asec? Subirini next matches muone kama mtafurukuta.
TFF haijamshindwa ila tatizo Rais wake Karia ameshakula sana vya GSM hivyo anaogopa kuwa nao Watamlipua. Serikali, Wizara na BMT ndiyo wa Kumnyoosha.Hasa serikali iwe makini sana na huyu roporopo, TFF washamhindwa
Ujinga wenu wa uhujumu uchumi mwisho ilkua 17/3. Stupid kabisa.Kwahiyo serikali yako ina fanya hayo!!.. wakati wenzenu wanatangazo utalii na vipaji vya vijana nyie mnajaribu kuua uchumi wa Nchi Kwa shutuma hewa!!..Hivi akifunguliwa mashitaka ya uhujumu uchumi Mtamtetea namna hii?
Huna lolote mwanaizaya wewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787]You're a damn Fool....!!!
jamaa ni mpuuzi tuu......HAKUWA anamlenga manara.....kuna ujumbe alitaka kuufikisha kwenye jamii....so ametumia kivuli cha manara......ni sawa na mpuuzi mmoja anapomzungumzia mpuuzi mwingine....Unaweza ukawa na mantiki katika ujumbe wako uliowasilisha ila umevuruga kila Kitu pale ulipomuingiza Mh Raisi mstaafu Kikwete kwenye ujinga wa Manara, umeonyesha hauko matured enough tena ukaenda mbele kuingiza personal feelings za kusema Rais Kikwete ana influence kwenye Serikali hii, so hata kama issues zako ulizozielezea hapa zina logic kwa makosa uliyofanya ya kuingiza siasa watu tunakuona lengo lako kuu si Manara ila upande mwingine!
Ushauri
Next time ukiwa na mashauri kama haya epuka kuwaongelea watu binafsi hasa hao wenye political influence (hata kama unahisi wanahusika au hawahusiki) just mu attack yule mlengwa unless una ujumbe kwa hao watu unataka uwafikie indirect. Hii itaondoa mgawanyiko katika watu wanao sapoti hoja yako.
๐ ๐ ๐ ๐ wanamadanga mengiSa hizi mmeamia kwenye next match tena[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]???
Miezi 6 tu makolo wanakereka kweli kweliHaswaa. Hawa jamaa hawajawahi kushinda kihalali. Mfano rahisi ni hizi mechi cha NBC. Wamezua mjadala mkubwa sana. Hata huko CAF lazima wamefanya umafia maana hata mleta mada anakiri kufanyika kwa umafia.
So tafadharini makolokocho, tylieni sindano ziwaingie. Joka mlilolifuga sasa latafuna watoto wenu.
Mlidhani mkimgukuza ataenda nyumbani kwake huku akiwapigia magoti.
Kwa usajili ambao Yanga walicheza kama Messi ni huu wa manara. Wacha kazi iendelee. ๐๐
Manara kosa lake kusema ukweli? Manara anawajua nje ndani. Kwa kikosi gani cha kuifunga Asec? Subirini next matches muone kama mtafurukuta.
Unaweza ukawa na mantiki katika ujumbe wako uliowasilisha ila umevuruga kila Kitu pale ulipomuingiza Mh Raisi mstaafu Kikwete kwenye ujinga wa Manara, umeonyesha hauko matured enough tena ukaenda mbele kuingiza personal feelings za kusema Rais Kikwete ana influence kwenye Serikali hii, so hata kama issues zako ulizozielezea hapa zina logic kwa makosa uliyofanya ya kuingiza siasa watu tunakuona lengo lako kuu si Manara ila upande mwingine!
Ushauri
Next time ukiwa na mashauri kama haya epuka kuwaongelea watu binafsi hasa hao wenye political influence (hata kama unahisi wanahusika au hawahusiki) just mu attack yule mlengwa unless una ujumbe kwa hao watu unataka uwafikie indirect. Hii itaondoa mgawanyiko katika watu wanao sapoti hoja yako.
Huo umafia mshindwe kuufanya nyinyi ambao huwa mnajiapiza kabisa kuwa "msimu huu ni lazima kwa namna yoyote tuchukue ubingwa"?Haswaa. Hawa jamaa hawajawahi kushinda kihalali. Mfano rahisi ni hizi mechi cha NBC. Wamezua mjadala mkubwa sana. Hata huko CAF lazima wamefanya umafia maana hata mleta mada anakiri kufanyika kwa umafia.
So tafadharini makolokocho, tylieni sindano ziwaingie. Joka mlilolifuga sasa latafuna watoto wenu.
Mlidhani mkimgukuza ataenda nyumbani kwake huku akiwapigia magoti.
Kwa usajili ambao Yanga walicheza kama Messi ni huu wa manara. Wacha kazi iendelee. [emoji16][emoji16]
inaonekana kuna ukweli, kwamba hakuna Yanga mwenye akili, wote ni mazuzu.Manara kosa lake kusema ukweli? Manara anawajua nje ndani. Kwa kikosi gani cha kuifunga Asec? Subirini next matches muone kama mtafurukuta.