Kwa Uhasama mkubwa na uliovuka mipaka wa Haji Manara dhidi ya Simba SC, tafadhali Wazazi wake, Serikali na Klabu yake imuonye upesi ili wasije Kujuta

Manara kosa lake kusema ukweli? Manara anawajua nje ndani. Kwa kikosi gani cha kuifunga Asec? Subirini next matches muone kama mtafurukuta.
Mleta post ametoa tahadhari kwamba kuna fools watakuja kumtetea nawe umejitokeza as kwanza.

Mjinga km wewe huwezi kuona matokeo hasi ya alichoandika Manara. Hiyo amepeleka ujumbe kwamba ndivyo mpira was Tz ulivyo, si kwa simba tu bali hata timu nyingine huko baadae zikija hapa zije kwa tahadhari.

Hakuna zuzu mwenye akili e!
 
sindano ipi Tena hiyo Hii ya SIMBA 3-1ASEC MIMOSAS

Yani hakuna Utopolo lenye akili. Duuuh!

Mleta hoja anazungumzia athari za alichopost Manara kwa mpira wetu huko nje.

Nafikiri hata huko waliko washamwona Ni choko tu. Wamekula tatu saaafi.
 
Mbona hujaandika kuhusu mashabiki wa Yanga waliopigwa jana uwanja wa Mkapa ?
Kwanini wewe usiandike. Kuna mtu anapangiwa cha kuandika humu.

Acha wapigwe tu hamna namna maana kihere here kimezidi. Kazi kuvaa vijora kwenye harus za watu na hujaalikwa. Washikwe makalio kabisa wakifika nyumbani wakawahadithie wake zao
 
ila hii amevuka mipaka kuhusisha ushindi wa Simba na uuaji wa binadamu mmoja
Kwani huyo binadamu kabla ya kuja Yanga alikuwepo wapi?

Mtoto mleavyo ndivyo akuavyo nyie huyo mmemlea kipindi kile yupo Simba mngemkemea kipindi kile sawa ila mlimuacha atambe. Yanga nae kwa upuuzi wao wakamchukua, ila mzoee tu kama Yanga walivyo mzoea kwa miaka Saba,Yanga afungwe ashinde achukue ubingwa Manara ataongea na kutoa kauli mbovu.
 
Vp kuhusu mashabiki wa yanga waliopigwa uwanjani na kufukuzwa tukio ilo ukuliona? Mbona sijaona unakemea unarukia mambo ya manara? Toa kwanza boriti la kwenye jicho lako kabla ujamnyooshea kidole mwenzako, atuwezi kukuelewa maana unaonyesha kabisa double standard kwa kuegemea upande mmoja acha manara awapige spana kwakuwa anawajua nje ndani mbinu mnazotumiaga kupata ushindi na amuwezi kumfanya chochote
 
Well said mkuu.... Yanga na watu wake walitafakari na kulitizama hili suala kwa jicho la tatu.
 
Ratiba yako ya kwenda Kukojolewa na HM ipoje?
Ipo hivi!Atapita akojolee pale ulipotoka akimaliza atapita gheto akuinamishe amwagie ndani then atakuja kupata juice ya baridi hapa kujiandaa kwenda kumalizia shoo kwa yule dada yako ya Sinza
 
Ipo hivi!Atapita akojolee pale ulipotoka akimaliza atapita gheto akuinamishe amwagie ndani then atakuja kupata juice ya baridi hapa kujiandaa kwenda kumalizia shoo kwa yule dada yako ya Sinza
Poor and Foolish You.....!!!!!!!
 
bila kuchuka kombe wote ni washiliki tu kwenye football achievement inapimwa kwa kombe no blah blah
 
sindano ipi Tena hiyo Hii ya SIMBA 3-1ASEC MIMOSAS

Yani hakuna Utopolo lenye akili. Duuuh!

Mleta hoja anazungumzia athari za alichopost Manara kwa mpira wetu huko nje.

Nafikiri hata huko waliko washamwona Ni choko tu. Wamekula tatu saaafi.
unadhani ni kwa nini mara ya pili as vita anakuja kula 4-1 hawakusikiliza tena ushauri wao wa kijinga? mara ya kwanza waliambiwa wasiingie vyumbani half time wakajilaza kwenye corridors kama wamekufa wakapigwa 2-1..mazembe alivyokuja kumtoa simba robo fainalihakusikilizaga ushauri wa utopolo hata kidogo nafikiri hat as mimosa wamewaona utopolo wajinga tu maana nasikia walikesha hotelini kwa mimosa wanawapa mbinu na kuwajaza maneno
 
bila kuchuka kombe wote ni washiliki tu kwenye football achievement inapimwa kwa kombe no blah blah
siku nyingine mkiwa mnaona ranks team iko top 20 msiwe mnalialia sasa kama nyie lengo ni kushiriki na kutolewa roiund ya awali vipigo nje ndani, mnyamaze kimya wakati watu wenye akili timamu wana aim higher.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…