Kwa uhuni huu wa Fastjet haukubaliki

Kwa uhuni huu wa Fastjet haukubaliki

Tuheshimiane hapo kwenye blue, kama ni upoyoyo ni wewe acha ku-generalize
Wewe ni poyoyo tena usijejitambuwa, ni bora tunaojitambuwa, usingekuwa poyoyo wewe, usingekubali kulipia umeme bei ghari kuliko nchi yeyote, usingekubali Serikali iuze nyumba za watumishi wake, usingekubali G Tv kudhurumu Watanzania na kuingia mitini, hayo ni kwa uchache tu.

Unataka uheshimiwa kwa yepi poyoyo wewe, usingekuwa poyoyo usingekubali Darasa la saba alipwe mshahara wa shilling Millioni 11 kisa eti Mbunge.
 
This issue is getting serious now, Lat week nilikuwa nasafirisha Familia yangu irudi Mwanza na isitoshe mtoto awahi shule, walipoingia ndani Airport wakaambiwa muda wa check in umekwisha na ticket haiwezi kutumika tena kwa next flight, ilibidi niwahi Ubungo wawahi kuondoka alfajili na mabasi ya Mwanza. hili swala linaniuma sana ila nashindwa kulifuatilia najuwa nitapoteza muda wangu bure.

Nilikata Go and Return ticket kutoka Mwanza kuja Dar na Dar to Mwanza halafu wao wananiambia aliyekosea kuandika muda wa reporting time ni Agent wa Mwanza na ninapaswa nikamlalamikie yeye, na yeye hajui kama mimi naishi Dar es salaam majibu ya kipuuzi kama haya unaweza kumtandika mtu nakozi ikawa kesi nyingine ndio maana nimeamuwa kujikalia kimya, mjinga mimi.

"- Check in closes 40 minutes before departure - No name changes or refunds."

Walidhani umesoma vyema hii sehemu? Au nakosea!?
 
Sawa Mzee wa kwembe kati, hebu fafanua nini maana ya online booking?, mbona mashirika mengine hayana uhuni huo? kauli yangu haitabadilika hawa ni Fastjocke aka ni wahuni. Nimeshafanya hivyo kwenye Precision Airway na hawana tatizo kabisa

Ninachojaribu kusema hapa ni kwamba hawa jamaa ni wahuni. Wanaonyesha wazi kwamba wanaweza kupandisha nauli wakati wowote, na kwamba lililo muhimu kwao ni kuwa nauli haishuki! Kwa hiyo uhuni kama huu ndiyo unaowafanya wajitetee, na hata ukienda kwenye management utaambiwa kwamba kwenye booking yako "tulikueleza" haya unayolalamikia. Ni kama kwenye Katiba ya sasa unapoambiwa una haki fulani, lakini hapo hapo unaambiwa "bila kuathiri sheria nyingine". Kwa maneno mengine ni kwamba unapewa fursa, lakini wakati huo huo unawekwa kwenye mabano ya kupokwa fursa hiyo. Hii ndiyo sanaa ya Fastjokes hawa!!
 
Wewe ni poyoyo tena usijejitambuwa, ni bora tunaojitambuwa, usingekuwa poyoyo wewe, usingekubali kulipia umeme bei ghari kuliko nchi yeyote, usingekubali Serikali iuze nyumba za watumishi wake, usingekubali G Tv kudhurumu Watanzania na kuingia mitini, hayo ni kwa uchache tu.

Unataka uheshimiwa kwa yepi poyoyo wewe, usingekuwa poyoyo usingekubali Darasa la saba alipwe mshahara wa shilling Millioni 11 kisa eti Mbunge.

Tatizo la Speed Tanker ni lugha na kauli za kuudhi. Kila akichangia hakosi kurusha vijembe na matusi.
 
"- Check in closes 40 minutes before departure - No name changes or refunds."

Walidhani umesoma vyema hii sehemu? Au nakosea!?
Nadhani hujanielewa, mimi nafahamu vyema maana ya check in, Travelling record yangu abroad inanipa uzoefu huu, lakini hili sikuwa mimi nasafiri bali nilipeleka Famili.

Ticket imeandikwa reporting time ni 14 hours na departure time ni 15 hours, nilipokwenda kulalamika kwa customer care wao ananiambia reporting time ilikuwa ni 13 hours, hapa kosa langu ni lipi? na uzuri reporting time huwa wanaandika wenyewe kwa pen, sasa hapa haki iko wapi, na kinachokera zaidi local flight kwenye errors kama hizi walipaswa kuzisolve wale abiria ambao walishaingia ndani walipaswa kuwaruhusu wasafiri, au ndi siti moja inaweza ikawa imekatwa ticket 3? i smell fishy.
 
Pole mkuu,

Wasiliana na management achana na huyo uliyemkuta counter.
Hiyo itinerary yako ni contract inayolibana shirika, una haki ya kuwashitaki wasipokupa ticket yako kwa bei waliyokupatia awali.

Record ya Easyjet shirika mama la Fastjet ni nzuri mkuu, sasa kama hawa Fastjet kwa kuwa wako Africa wanataka kufanya mambo kinyemela itakula kwao!
Nakubaliana kuwa awasiliane na Ofisi za Fast Jet ili kuwasilisha malalamiko rasmi, and in writting.

Lakini wanasheria mliomo humu JF hebu tujulisheni, hizo conditions zilizowekwa kitaalam zinaitwa EXCLUSION CLAUSES.
Yaani hata wakifanya makosa wao inakula kwako-they have no resposibility whatsoevre baada ya kuchukua pesa zako!

Hii si sahihi, kwani inaweza kuwa AN UNFAIR CONTRACT.

Haya TUNDU LISSU upo?
 
Nakubaliana kuwa awasiliane na Ofisi za Fast Jet ili kuwasilisha malalamiko rasmi, and in writting.

Lakini wanasheria mliomo humu JF hebu tujulisheni, hizo conditions zilizowekwa kitaalam zinaitwa EXCLUSION CLAUSES.
Yaani hata wakifanya makosa wao inakula kwako-they have no resposibility whatsoevre baada ya kuchukua pesa zako!

Hii si sahihi, kwani inaweza kuwa AN UNFAIR CONTRACT.

Haya TUNDU LISSU upo?
Wewe umenielewa vyema msingi wa malalamiko yangu, ni kwa nini nisafe loss kwa makosa yao? halafu hata hivi vijana walivyovipachika kwenye customer care havina tofauti na waimba Bongo Fleva, usipoweza kudhibiti hasira zako waweza kujikuta umeshamtandika mangumi mmoja wao kwa majibu yao mepesi.
 
-Your new fare will be at least the fare you originally booked or may be more.

Kisheria hawana kosa ila kibiashara sio vizuri
 
Nadhani hujanielewa, mimi nafahamu vyema maana ya check in, Travelling record yangu abroad inanipa uzoefu huu, lakini hili sikuwa mimi nasafiri bali nilipeleka Famili.

Ticket imeandikwa reporting time ni 14 hours na departure time ni 15 hours, nilipokwenda kulalamika kwa customer care wao ananiambia reporting time ilikuwa ni 13 hours, hapa kosa langu ni lipi? na uzuri reporting time huwa wanaandika wenyewe kwa pen, sasa hapa haki iko wapi, na kinachokera zaidi local flight kwenye errors kama hizi walipaswa kuzisolve wale abiria ambao walishaingia ndani walipaswa kuwaruhusu wasafiri, au ndi siti moja inaweza ikawa imekatwa ticket 3? i smell fishy.

Ni kweli mkuu sikua nimeelewa vizuri, sasa nimeelewa. Ni wahuni, kama walikosea wao wewe haikuhusu, so ni kama ulipewa adhabu usiyostahili.

Panaweza kuwa na kitu kama hicho tiketi kuwa imeuzwa kwa watu zaidi labda, maana katika hali ilivyo sasa kwenye nchi yetu lolote linaweza kutokea, naamini uliona lile bandiko la ile kampuni ya mikopo ya bure, bila bond wala chochote,eti msimamizi akiwa mkuu wa kaya, na eti kwa kuwa yuko bize akamteua mtoto wa mkulima kuwa General Manager, na Loan Officer ni Riz1!!

Hapa tulipo hatuna wa kututoa kwa kweli, ni sisi kufanya uamuzi, tena MAPEMA! ...maana nadhani kuna makubwa zaidi yanakuja!
 
Wewe ni poyoyo tena usijejitambuwa, ni bora tunaojitambuwa, usingekuwa poyoyo wewe, usingekubali kulipia umeme bei ghari kuliko nchi yeyote, usingekubali Serikali iuze nyumba za watumishi wake, usingekubali G Tv kudhurumu Watanzania na kuingia mitini, hayo ni kwa uchache tu.

Unataka uheshimiwa kwa yepi poyoyo wewe, usingekuwa poyoyo usingekubali Darasa la saba alipwe mshahara wa shilling Millioni 11 kisa eti Mbunge.
Kama suala ni kukubali basi wewe na mzazi wako ndo mapoyoyo kwa kukubali ujinga huo..! Naona huna jipya zaidi ya kukazania neno kukubali kukubali, mwishowe utakubali kuliwa tigo kwa, nani kakuambia mimi nimekubali kulipa umeme kwa bei tajwa..? Njaa zenu ndo ziliwapeleka Gtv..!
 
Ni kweli mkuu sikua nimeelewa vizuri, sasa nimeelewa. Ni wahuni, kama walikosea wao wewe haikuhusu, so ni kama ulipewa adhabu usiyostahili.

Panaweza kuwa na kitu kama hicho tiketi kuwa imeuzwa kwa watu zaidi labda, maana katika hali ilivyo sasa kwenye nchi yetu lolote linaweza kutokea, naamini uliona lile bandiko la ile kampuni ya mikopo ya bure, bila bond wala chochote,eti msimamizi akiwa mkuu wa kaya, na eti kwa kuwa yuko bize akamteua mtoto wa mkulima kuwa General Manager, na Loan Officer ni Riz1!!

Hapa tulipo hatuna wa kututoa kwa kweli, ni sisi kufanya uamuzi, tena MAPEMA! ...maana nadhani kuna makubwa zaidi yanakuja!
Ndio maana nimeishiwa nguvu, na nawasubili walionunuwa ving'amuzi watakapoanza kulia ndio watalijuwa Jiji, nimeapa sinunui king'amuzi hata kwa bakora hii ni miradi ya watu, niko tayari kulifufuwa satelite dish langu kuliko kufanyana wajinga this much.
 
Unachoweza kufanya ni hiki:


  1. Andika barua rasmi kwa uongozi, ukiambatanisha nakala kwa Tanzania Civil Aviation Authority (sikumbuki kama jina ni hilo...) Consumer Consultative Council (TCAA-CCC). Toa vielelezo vyote.
  2. Wape muda wa siku 7 kuwa wamekurudishia pesa zako au kukupa nafasi nyingine ya kupanda ndege, KWA GHARAMA HIYO, si vinginevyo.
  3. Kama hakutakuwa na hatua za kuridhisha, waandikie TCAA-CCC malalamiko rasmi, wao watafuatilia.
  4. Ukiona longolongo zazidi kuwa nyingi, fungua kesi ya madai mahakamani, ukionesha jinsi ulivyoathirika kwa kupatwa na stress (mawazo), kupoteza muda wako na pesa zako kufuatilia kwa muda wote huo.

Usiiogope Mahakama. Iko kwa ajili yako.
 
Labda mwenzetu unajuwa mengi, kwa upeo wangu mdogo ukimis Flight nijuavyo unatakiwa ulipe 25% kwa ajili ya next Flight, sasa hawa wenzetu wanatumia sheria ipi kwamba ukimis Flight basi imekula kwako na unakuta reporting time hukuandikiwa sahihi?

Soma vizuri terms and conditions zao zinapatikana katika website yao. Zipo very clear na nina imani ukizisoma hutatamani kupanda ndege yao.
 
Nakumbuka wewe ulijitambulisha humu kama Mwanasheria tunaomba mchango wako wa kitaaluma kwenye uhuni huu.
Katika jicho la kisheria,mkataba kati ya Mchokozi na Fastjet uliingiwa wakati na muda ule ambapo Mchokozi alijaza maelezo yake kwa njia ya mtandao na kutumiwa kumbukumbu alizoziburuza na kwenda nazo.Hivyobasi, Mchokozi anapaswa kulipa Tshs.75040 na si vinginevyo.

Alichokuwa anakifanya Mchokozi pale Ofisini ni utekelezaji wa makubaliano yao ambayo kimsingi walishayaingia.Alikuwa anatekeleza sharti la kufanya malipo mnamo au hadi tarehe 9/1/2013 kama ilivyoelezwa kwenye Makubaliano yao.

Hivyobasi,kwa Mchokozi au wa aina yake,si halali kuongeza malipo ya nauli. Ingekuwaje kama malipo yangeshalipwa mtandaoni (mfano kwa PAYPAL) na hapo ofisini pangekuwa pakuchukulia tiketi tu?

Mkuu Mchokozi, waweza kuwasiliana na Ofisi za Fastjet ili muweze kuelewana juu ya hili ukizinunua hoja hizi. Kila la kheri Mkuu.Asante!
 
Last edited by a moderator:
poleni sana nyote mliojeruhiwa, kwa kweli inasikitisha sana na ukiona hivyo ujue wenye njaa wameingia.
Kinaniudhi sana kile kikasuku chao na maneno kama ya mtu asiye na meno, "fasterjet smart travel"

iwe hivi fasterjet "worst travel"

fast jet fanyieni kazi hili
 
Mkuu wakati unafanya booking ulisoma hayo maelezo ukatafakari?? ANGALIA QUOTE hapo chini!
haya ndo yanayotukumba mara nyingi kukimbilia mambo!

Kimsingi, Kisheria wako safer cause, mpaka unafanya booking; assumptions ni kwamba ulisoma na kuelewa na pia kukubaliana na "Terms and Conditions"!
so kwa mjibu wa Kisheria huna haki ya kulalamika!

Ombi kwa watanzania wote waliomo humu: tuwe tunasoma na kutafuta ufafanuzi kabla ya kufanya comitment!

NB: Sina Maslahi yoyote na FASTJET.


-Your new fare will be at least the fare you originally booked or may be more.
-You cannot change to a lower fare.
-No refund will be applicable if a lower fare is available.
-
Fare difference is the difference (if any) between the fare orignally booked and the new fare available.
:

 
Pole sana kiongozi! Kama ingekuwa ni mambo ya mtandao, ningekuambia hamia Airtel!
 
Back
Top Bottom