Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante kwa matusi brother, ila ukubali ukatae ccm tutaendelea kutawala nchi for next 50 years or so..! Maisha bora kwa kila mtanzania inawezekana..! Ccm hoyeee, hoyeeee..!sasa unabisha nini tena wewe ndiye poyoyo namba moja
ilinibidi nirudi kwa basi maana waliniudhi sana hawa watu go an return hapo mwanza wananicharge 380,000/=AKATI YAANI NILIJUA NIKIIBWA SANA NI LAKI MBILI ? SIPANDI TENA HIYO FAST JET KWA KWELI KILA WANAOKUJA WANAWAAMBIA TIKETI ZA KUANZIA 32,000/-ZIMEISHA
Wana JF leo nimefedheheshwa sana na majibu yaliyotolewa na office za FastJet mara baada ya kuamka asubuhi na mapema na kufanikiwa kufanya booking online kwaajiri ya kusafiri kesho kuelekea Kilimanjaro, nilifanikiwa kufanya process zote na kisha kuprint karatasi ya uthibitisho niliyotumiwa kwenye mtando kana inavyoonekana hapa chini. Cha ajabu nilipfika office za Fastjet mkabala na office za British Council kwaajili ya kulipia Total Price TZS 75,040/= nilijibiwa na mhudumu aliyepo kulia ukiwa unainigia mlangoni kuwa nanukuu " Kuanzia asubuhi hii bei ni Tsh 154,000/= kwa maana hiyo booking yako ni batili? na siwezi kukuuzia, je haki iko wapi? hawa ni Fastjet au Fastjockes? naomba mnifahamishe haki yangu nitaipataje siku nyingine?
We have made the following booking for you:
Itinerary
Booking Reference: FATT3B Date of Issue:
CONTACT INFORMATION PASSENGER INFORMATION FLIGHT TICKET NUMBERS
MR WILLIAM T.W
MR WILLIAM T.W
DEPARTING:
Date Thu 10 Jan 13 All Times Local Flight-Number Cabin (book class)
From: Dar es Salaam Departure 10:30 FN 0151 (HK) Y (x)
To: Kilimanjaro Arrive 11:50
Info Flight 1: Check in closes 40 minutes before departure.
Rules Flight 1:
-Tickets are non-refundable.
-No name changes are allowed for any reason after ticket is purchased.
-A passenger is considered a no-show after the flight has departed, they miss the check-in desk closure or fail to board the aircraft within the required time.
-The ticket is non-refundable if unused.
-An administration charge applies to recover government taxes.
- Check-in closes 40 minutes before departure - All flight changes must be made 24 hours before the flight orignally booked - No change will be allowed within 24 hours before the flight -All fees and charges will be made in the currency of the original booking.
- Payment of change fee and ancillary products must be immediate for products and changes to be affected -Baggage is subject to a fee of $5 per bag.
-Only one bag allowed per passenger.
-You can carry 20kgs for the $5 fee.
-The passenger can pay for excess weight at a rate of $5 per kg up to a maximum of 32kgs.
- Fare differences apply per passenger and flight.
-Your new fare will be at least the fare you originally booked or may be more.
-You cannot change to a lower fare.
-No refund will be applicable if a lower fare is available.
-Fare difference is the difference (if any) between the fare orignally booked and the new fare available.
-The fare difference maybe substantial.
- Flight date changes are permitted subject to a fee and the applicable difference in the fare available.
-Origin and destination changes are not permitted.
- The passenger must make all date and flight changes 24hours before departure.
-After which time the passenger is committed to the reservation.
**Unaccompanied minor** Children aged less than 14 years are not allowed to travel unaccompanied, they can only travel with an adult.
If in doubt please ask for ID .
- Check in closes 40 minutes before departure - No name changes or refunds.
PRICING PAYMENT
Please pay for this booking at the Airlines office or airport ticket office by 09Jan2013 14:21 (DAR) otherwise the booking may be cancelled.
Price TZS 64000
Tax/Charge HY TZS 960
Tax/Charge TZ TZS 10080
Total Price TZS 75040
Agent Name: Agent ID: Agent Office:
Tuheshimiane hapo kwenye blue, kama ni upoyoyo ni wewe acha ku-generalize
nilijirudia mie na basi la elfu 38,000 /mie natafuta hela kwa tabu then niwape tu alafu huko ndani wanakutembezea vibiscuti ununue tena ,na juice kabox kadigooo 8000/=hahahah nikawaambia mark my face sintapanda hii fast jet tena mimi.bora ndege nyingine ni ghali ila tamu tamu unapewa .jamani kama kuna mtu aliyewahi kupanda hiyo ndege kwa 32+vat isizidi 50,000/= aje atuambie hapa maana nimkwenda mwanza 190,000/=
Binafsi sijawahi kukutana na kero kutoka kwa FastJet zaidi ya huduma zao Bora na za gharama nafuu.
Mtoa mada huenda ulikwenda kulipia wakati muda uliopangiwa ukiwa ume-expire,
Juzi tu nimetoka kumnunulia mtu Tiketi kwa Tsh 43,000 JRO-DAR... Fare 32,000 Taxes 11,040
Pia Bei ya Tiketi y ndege siyo Fixed, inabadilika muda wowote, unaweza kuulizia bei sasa hivi na ukitoka kidogo ukarudi ukakuta imeshabadilika.
Hivyo malalamiko yako haya kuna mahali ulishiriki kujikosesha flight (kwa uzembe) au una lengo la kuwaharibia biashara yao.
Pia kuhusu Reporting time, wameonesha kabisa kuwa unatakiwa uripoti 40 minutes before departure. Na kwa msisitizo ukienda kukata tiketi huwa wanakushauri uripoti hata saa moja kabla ya kuondoka, ukizingatia haya, kamwe hutaachwa na Ndege na hutakumbana na unachoita Uhuni wa FastJet...
FastJet - Safiri kwa uhakika na kwa bei nafuu.....
Hapo mtawalaumu fastjet bure,wabongo washaingia kati hapo wanachakachua tkt.ninaamini kabisa kuna staff wakisaidiana na wenzao wanabook tkt zote kisha wanaziuza kwa watu wao wanaowajua huku wakipewa cha juu
...Msiwalaumu sana i love them na ndo wanaleta changamoto kwenye usafiri wa anga maana precision walikua wanajiona babkubwa sana
Wakuu labda mimi nina bahati au pengine mleta hoja hawakuelewana na muhudumu wa Fastjet.
Binafsi safari zote za kikazi (zinazohusisha Arusha na Dar) nasafiri na fastjet kwa sasa, Precision nimewakimbia kabisa.
Nimeshasafiri na fastjet zaidi ya mara 8 (return tickets) na mara 6 nimelipa nauli ya chini kabisa ya Tsh. 32,000 na mara 2 nimelipa around Tsh. 55,000 hivi.
Nafikiri pengine watu hawazingatii muda wa kwenda kulipia booking zao, binafsi huwa na book safari zangu at least two weeks before na nikiisha book siku hiyo hiyo naenda kulipa pesa yao. Hii inaepusha usumbufu unaoweza kutokea wa bei kubadilika kadiri muda unavyosogea kuelekea siku ya safari.
Nimesikia matangazo yao kuwa unaweza sasa kulipia kwa MPESA, nafikiri hii ndo itaondoa usumbufu wa kubadilishiwa nauli siku ukienda kulipia.
Huo ndo uziefu wangu na Fastjet kwa safari nilizofanya nao.
Ooh nimesahau, faida yao nyingine ni kuwa wanajali sana muda.....on-time departures 100% mpaka raha!!
kaka yagu pole sana kwa yaliyokukuta, mimi naomba niulize je ulifika ofisini fastjet saa ngapi kulipia hiyo tiketi yako? maana kama ulifika muda ambao tiketi yako isha expire utakuwa unalaumu fastjet bure, kwenye story yako hujaandika ulifika ofisini saa ngapi? na ulipata a cheap price maana uliwahi kufanya booking muda wa saa mbili asubuhi mpaka nane mchana wanafanya booking wengi na siti zinajaa ndo maana walikupa hiyo bei ambayo pia ni reasonable and fair, japo aloongea na wewe hakuwa na lugha nzuri, fastjet kwa maoni yangu haina tatizo ni watanzania tu kupata elimu juu ya low cost carrier airline na huduma zake, tutaizoea tu. taratibu ndo mwendo