Kwa ujinga huu, sitamuamini mtu hasa vijana

Kwa ujinga huu, sitamuamini mtu hasa vijana

Wewe ndo umezingua bro..
Unampaje mtu kazi ya kushika mapesa na humjui?
 

Attachments

  • Screenshot_20250125_143502 (1).jpg
    Screenshot_20250125_143502 (1).jpg
    111.7 KB · Views: 4
Kwa akili hizi wewe hata ukiombwa donati utakuja JF kuuliza umpe au usimpe mwamba aisasambue donati
Huna akili


Walaumu sana wazazi wako kwa kukulisha ugali maisha yako yote.Huna uwezo wa kusoma sentensi na ukaelewa🤗🤗🤗

Tz ni nchi imejaa wajinga kama wewe,mlienda shule kukua pumbavu!!!
 
😁 sio hivyo ufikiriavyo kwamba mtu unatoa tu pesa haina kazi, mzee life ni gumu ila sasa sisi ni binadamu unaweza kukutana na jambo la mtu likakugusa ukaona kabisa una nafasi ya kuwa daraja kwake ukaamua tu kumsaidia, ukiamini kwamba watoto wake wakipata chakula nawe utapata baraka sema ndo vile sasa mtu anakuwa mjinga, hivyo mimi nilchopoteza ni imani tu ila sio pesa mkuu.
Acheni kudanganywa na hizi dini za kuletewa hakuna kitu kama BARAKA wala LAANA na MBINGUNI NI HAPAHAPA DUNIANIANI na MOTONI ni hapahapa.Hiyo hela bora ungewekeza UTT ingekusaidia siku za baadae.Kama unahela sana kazifungulie FIXED ACCOUNT!!!

Acha huruma za hovyohovyo ona sasa unataabika!!!
 
Acheni kudanganywa na hizi dini za kuletewa kuna kitu kama BARAKA wala LAANA na MBINGUNI NI HAPAHAPA DUNIANIANI na MOTONI ni hapahapa.Hiyo hela bora ungewekeza UTT ingekusaidia siku za baadae.Kama unahela sana kazifungulie FIXED ACCOUNT!!!

Acha huruma za hovyohovyo ona sasa unataabika!!!
Sidhani kama una uhakika kama nataabika. Pia sijawahi kujiona mwenye huruma ama katili hivyo maandishi yasikupumbaze.

Pia hatuwezi kuwa na safari moja mkuu. Anyway naheshimu mawazo yako.
 
Sometimes ukiona mtu hasaidii Watu sio kwamba ana choyo sn au roho mbaya, Ila Watu Kama Hawa ndo chanzo
Naunga mkono hoja. Baadhi ya Wapumbavu wasiojielewa ndio wawaharibia wengine walio waaminifu.
Sasa hao waaminifu tutawajuaje? Moyo wa mtu ni kama Kichaka. Huwezi kujua kilichomo ndani yake hadi uingie. Sasa ndani ya moyo wa mtu unaingiaje?
 
Kuna watu by default wanazaliwa na roho mbaya, wala sishangai kabisa kwa tukio ulilopigwa.
 
Sidhani kama una uhakika kama nataabika. Pia sijawahi kujiona mwenye huruma ama katili hivyo maandishi yasikupumbaze.

Pia hatuwezi kuwa na safari moja mkuu. Anyway naheshimu mawazo yako.
Yaani laki saba ndo inakufanya unamsaka mtu humu JF😁😁😁

Tafuta hela bwana!!!Tafuta hela!!!

Hela kidogo hivi unasumbua na thiredi nyiingi vipi bwana wewe ebu tafuta hela!!!
 
Kuna mwingine sijui ni jana au juzi kaleta uzi kuwa member mwenzetu fulani amefariki msiba uko sehemu fulani.
Baadae watu wanatoa pole si moderator wakagundua marehemu na aliyeleta habari ni mtu mmoja ikabidi waunganishe zile I'd 😂😂😂

Sema na wewe unazingua, yani unambeba mtu humu mitandaoni humjui vizuri unaenda kumweka kwenye miamala?
Mkuu naomba huo uzi
 
Kwani mi najibu kwa ukali?? 😹

Mimi nakupokea km ulivyokuja, ukija na sukari nakusaidia kuipandisha ufe vizuri 🤣

Njoo unisaidie kung’olea mipunga mbalali huku..!!
Ntumie nauli na simu imeibiwa 😂 Ila Kuna watu wana utapeli wa kizamani
 
Back
Top Bottom