Kwa ujinga huu, sitamuamini mtu hasa vijana

Kwa ujinga huu, sitamuamini mtu hasa vijana

Kuna huyu kijana alipost anatafuta kazi, nikamtafuta akadai ana nauli pungufu.

Tukakubaliana nimtumie nusu nauli. Nilimtumia lakini siku ya kuja akawa amezima simu na kufuta picha aizonitumia watsaup. Nilikomenti jinsi alvyofanya baadaye akanitafuta akidai alivamiwa na vibaka wakampora kila kitu.

Akaniahidi atakuja, kweli akaja Dar Es Salaam hadi nyumbani, nikamuonesha maeneo ya kazi zangu. Nikawa nafanya naye huduma ya wakala wa miamala ya pesa.

Ikabidi awe anawahi kufungua maana alikuwa anakaa karibu. Asubuhi ya Leo kachukua laki sita, simu mbili na line NNE na ametoa pesa zote kakimbia. Pale getto alipokuwa anakaa vijana wenzake kawaibia nao pesa zao.

Ripoti nimetoa kituo cha polisi Sealander bridge na RB ninayo.
.. Huna Ndugu, Mpaka unatafuta Mtu Baki wa Kuajiri ??...
 
Kuna huyu kijana alipost anatafuta kazi, nikamtafuta akadai ana nauli pungufu.

Tukakubaliana nimtumie nusu nauli. Nilimtumia lakini siku ya kuja akawa amezima simu na kufuta picha aizonitumia watsaup. Nilikomenti jinsi alvyofanya baadaye akanitafuta akidai alivamiwa na vibaka wakampora kila kitu.

Akaniahidi atakuja, kweli akaja Dar Es Salaam hadi nyumbani, nikamuonesha maeneo ya kazi zangu. Nikawa nafanya naye huduma ya wakala wa miamala ya pesa.

Ikabidi awe anawahi kufungua maana alikuwa anakaa karibu. Asubuhi ya Leo kachukua laki sita, simu mbili na line NNE na ametoa pesa zote kakimbia. Pale getto alipokuwa anakaa vijana wenzake kawaibia nao pesa zao.

Ripoti nimetoa kituo cha polisi Sealander bridge na RB ninayo.
Watu wa namna hii hukatisha tamaa hata jitiahada za watu binafsi kusaidia wengine
 
Kuna huyu kijana alipost anatafuta kazi, nikamtafuta akadai ana nauli pungufu.

Tukakubaliana nimtumie nusu nauli. Nilimtumia lakini siku ya kuja akawa amezima simu na kufuta picha aizonitumia watsaup. Nilikomenti jinsi alvyofanya baadaye akanitafuta akidai alivamiwa na vibaka wakampora kila kitu.

Akaniahidi atakuja, kweli akaja Dar Es Salaam hadi nyumbani, nikamuonesha maeneo ya kazi zangu. Nikawa nafanya naye huduma ya wakala wa miamala ya pesa.

Ikabidi awe anawahi kufungua maana alikuwa anakaa karibu. Asubuhi ya Leo kachukua laki sita, simu mbili na line NNE na ametoa pesa zote kakimbia. Pale getto alipokuwa anakaa vijana wenzake kawaibia nao pesa zao.

Ripoti nimetoa kituo cha polisi Sealander bridge na RB ninayo.
Pole sana mkuu
 
Cha ajabu

Kazi inafanyika na kiserikali au vinginevyo atapatikana.Ni MTU was Tanga
Sisi watu wa Tanga tupo, na majority hawajalelewa na tabia hiyo. Amesema anatokea Tanga wapi? Pm please nikusaidie kumtafuta coz nina inzi karibia kila Wilaya Tanga, na nina inzi kila kata Lushoto
 
Maisha yalivyo magumu hivi bado unapata ujasiri wa kumuonea mtu huruma😁😁😁 mpigwe tu hakuna namna.NASEMA MPIGWEEEE!!!!

SERIKALI YENYEWE HAINA HURUMA NA MTU WEWE UNAANZIA WAPI.HIVI MNAHELA ZA KUCHEZEA SANA.
😁 sio hivyo ufikiriavyo kwamba mtu unatoa tu pesa haina kazi, mzee life ni gumu ila sasa sisi ni binadamu unaweza kukutana na jambo la mtu likakugusa ukaona kabisa una nafasi ya kuwa daraja kwake ukaamua tu kumsaidia, ukiamini kwamba watoto wake wakipata chakula nawe utapata baraka sema ndo vile sasa mtu anakuwa mjinga, hivyo mimi nilchopoteza ni imani tu ila sio pesa mkuu.
 
Kuna huyu kijana alipost anatafuta kazi, nikamtafuta akadai ana nauli pungufu.

Tukakubaliana nimtumie nusu nauli. Nilimtumia lakini siku ya kuja akawa amezima simu na kufuta picha aizonitumia watsaup. Nilikomenti jinsi alvyofanya baadaye akanitafuta akidai alivamiwa na vibaka wakampora kila kitu.

Akaniahidi atakuja, kweli akaja Dar Es Salaam hadi nyumbani, nikamuonesha maeneo ya kazi zangu. Nikawa nafanya naye huduma ya wakala wa miamala ya pesa.

Ikabidi awe anawahi kufungua maana alikuwa anakaa karibu. Asubuhi ya Leo kachukua laki sita, simu mbili na line NNE na ametoa pesa zote kakimbia. Pale getto alipokuwa anakaa vijana wenzake kawaibia nao pesa zao.

Ripoti nimetoa kituo cha polisi Sealander bridge na RB ninayo.
Ulishafanya kosa awali,unaoneshwa na muumba uhuni wa muhuni mapema halafu wewe unasema si muhuni?
 
Kuna huyu kijana alipost anatafuta kazi, nikamtafuta akadai ana nauli pungufu.

Tukakubaliana nimtumie nusu nauli. Nilimtumia lakini siku ya kuja akawa amezima simu na kufuta picha aizonitumia watsaup. Nilikomenti jinsi alvyofanya baadaye akanitafuta akidai alivamiwa na vibaka wakampora kila kitu.

Akaniahidi atakuja, kweli akaja Dar Es Salaam hadi nyumbani, nikamuonesha maeneo ya kazi zangu. Nikawa nafanya naye huduma ya wakala wa miamala ya pesa.

Ikabidi awe anawahi kufungua maana alikuwa anakaa karibu. Asubuhi ya Leo kachukua laki sita, simu mbili na line NNE na ametoa pesa zote kakimbia. Pale getto alipokuwa anakaa vijana wenzake kawaibia nao pesa zao.

Ripoti nimetoa kituo cha polisi Sealander bridge na RB ninayo.
Kwanini hujaweka details zake hapa?
 
Pesa haikai sehemu moja na MJINGA/ WAJINGA.

Hivi utaokotaje mtu tu huna hata pa kumshikia alafu unampa biashara ya pesa aisimamie.Acheni ujinga fanyeni vitu kiprofessional.

Alafu umekuja hapa JF kuthibitisha ulivyo mjinga[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].

Haya mjinga siku nyingine kabla ya kuanzisha biashara au kufanya chochote katika maisha yako hata ukitaka kwenda dukani ingia kwanza JF ulizia upewe muungozo.Ukitaka kusafiri vilevile uje uulize A-Z usaidiwe akili na maarifa maana wewe huna hivyo vitu.

[emoji419][emoji419][emoji419]Hata ukitaka kula mbususu njoo JF kisima cha maarifa na ujuzi hutakosa msaada[emoji1666]
Kwa akili hizi wewe hata ukiombwa donati utakuja JF kuuliza umpe au usimpe mwamba aisasambue donati
 
Kuna huyu kijana alipost anatafuta kazi, nikamtafuta akadai ana nauli pungufu.

Tukakubaliana nimtumie nusu nauli. Nilimtumia lakini siku ya kuja akawa amezima simu na kufuta picha aizonitumia watsaup. Nilikomenti jinsi alvyofanya baadaye akanitafuta akidai alivamiwa na vibaka wakampora kila kitu.

Akaniahidi atakuja, kweli akaja Dar Es Salaam hadi nyumbani, nikamuonesha maeneo ya kazi zangu. Nikawa nafanya naye huduma ya wakala wa miamala ya pesa.

Ikabidi awe anawahi kufungua maana alikuwa anakaa karibu. Asubuhi ya Leo kachukua laki sita, simu mbili na line NNE na ametoa pesa zote kakimbia. Pale getto alipokuwa anakaa vijana wenzake kawaibia nao pesa zao.

Ripoti nimetoa kituo cha polisi Sealander bridge na RB ninayo.
kwa biashara ndogo ni vibaya ku-recuit mtumishi kupitia mitandao ya kijamii.
 
Hawa ndio madogo washenzi sana wanaowaharibia hadi wenzao wenye shida ya kazi kweli kweli na wana moyo wa kujitoa na ajira.

Maisha yenyewe haya ni magumu sana plus kipato ni cha wasi wasi sana. Mtu unapata mtu ana huruma anakusaidia unaleta ufala.
 
Back
Top Bottom