Kwa ujinga huu, sitamuamini mtu hasa vijana

Wewe ndo umezingua bro..
Unampaje mtu kazi ya kushika mapesa na humjui?
 
Kwa akili hizi wewe hata ukiombwa donati utakuja JF kuuliza umpe au usimpe mwamba aisasambue donati
Huna akili


Walaumu sana wazazi wako kwa kukulisha ugali maisha yako yote.Huna uwezo wa kusoma sentensi na ukaelewaπŸ€—πŸ€—πŸ€—

Tz ni nchi imejaa wajinga kama wewe,mlienda shule kukua pumbavu!!!
 
Acheni kudanganywa na hizi dini za kuletewa hakuna kitu kama BARAKA wala LAANA na MBINGUNI NI HAPAHAPA DUNIANIANI na MOTONI ni hapahapa.Hiyo hela bora ungewekeza UTT ingekusaidia siku za baadae.Kama unahela sana kazifungulie FIXED ACCOUNT!!!

Acha huruma za hovyohovyo ona sasa unataabika!!!
 
Sidhani kama una uhakika kama nataabika. Pia sijawahi kujiona mwenye huruma ama katili hivyo maandishi yasikupumbaze.

Pia hatuwezi kuwa na safari moja mkuu. Anyway naheshimu mawazo yako.
 
Sometimes ukiona mtu hasaidii Watu sio kwamba ana choyo sn au roho mbaya, Ila Watu Kama Hawa ndo chanzo
Naunga mkono hoja. Baadhi ya Wapumbavu wasiojielewa ndio wawaharibia wengine walio waaminifu.
Sasa hao waaminifu tutawajuaje? Moyo wa mtu ni kama Kichaka. Huwezi kujua kilichomo ndani yake hadi uingie. Sasa ndani ya moyo wa mtu unaingiaje?
 
Kuna watu by default wanazaliwa na roho mbaya, wala sishangai kabisa kwa tukio ulilopigwa.
 
Sidhani kama una uhakika kama nataabika. Pia sijawahi kujiona mwenye huruma ama katili hivyo maandishi yasikupumbaze.

Pia hatuwezi kuwa na safari moja mkuu. Anyway naheshimu mawazo yako.
Yaani laki saba ndo inakufanya unamsaka mtu humu JF😁😁😁

Tafuta hela bwana!!!Tafuta hela!!!

Hela kidogo hivi unasumbua na thiredi nyiingi vipi bwana wewe ebu tafuta hela!!!
 
Mkuu naomba huo uzi
 
Kwani mi najibu kwa ukali?? 😹

Mimi nakupokea km ulivyokuja, ukija na sukari nakusaidia kuipandisha ufe vizuri 🀣

Njoo unisaidie kung’olea mipunga mbalali huku..!!
Ntumie nauli na simu imeibiwa πŸ˜‚ Ila Kuna watu wana utapeli wa kizamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…