NDungu mimi sio mtaalau sana wa kutumia mtandao sasa sijui tunawasiliana vipi ?? Weka namba zako hapa nikupigieSawaa
huyu hapa anaitwa Peace Ibrahim kutoka Lushoto TangaMtu aweke picha yake hapa chap
NDungu mimi sio mtaalau sana wa kutumia mtandao sasa sijui tunawasiliana vipi ?? Weka namba zako hapa niku
Huna akiliKwa akili hizi wewe hata ukiombwa donati utakuja JF kuuliza umpe au usimpe mwamba aisasambue donati
Acheni kudanganywa na hizi dini za kuletewa hakuna kitu kama BARAKA wala LAANA na MBINGUNI NI HAPAHAPA DUNIANIANI na MOTONI ni hapahapa.Hiyo hela bora ungewekeza UTT ingekusaidia siku za baadae.Kama unahela sana kazifungulie FIXED ACCOUNT!!!π sio hivyo ufikiriavyo kwamba mtu unatoa tu pesa haina kazi, mzee life ni gumu ila sasa sisi ni binadamu unaweza kukutana na jambo la mtu likakugusa ukaona kabisa una nafasi ya kuwa daraja kwake ukaamua tu kumsaidia, ukiamini kwamba watoto wake wakipata chakula nawe utapata baraka sema ndo vile sasa mtu anakuwa mjinga, hivyo mimi nilchopoteza ni imani tu ila sio pesa mkuu.
Sidhani kama una uhakika kama nataabika. Pia sijawahi kujiona mwenye huruma ama katili hivyo maandishi yasikupumbaze.Acheni kudanganywa na hizi dini za kuletewa kuna kitu kama BARAKA wala LAANA na MBINGUNI NI HAPAHAPA DUNIANIANI na MOTONI ni hapahapa.Hiyo hela bora ungewekeza UTT ingekusaidia siku za baadae.Kama unahela sana kazifungulie FIXED ACCOUNT!!!
Acha huruma za hovyohovyo ona sasa unataabika!!!
Naunga mkono hoja. Baadhi ya Wapumbavu wasiojielewa ndio wawaharibia wengine walio waaminifu.Sometimes ukiona mtu hasaidii Watu sio kwamba ana choyo sn au roho mbaya, Ila Watu Kama Hawa ndo chanzo
Halafu yanakuwa ya kwanza kulia ajira hazipo! Uaminifu ni Zero (in Magufuli's voice)Vijana wamekuwa wapuuzi sana
ndugu vp mbona hujanitafuta au ndo walewale?0747464239
Yaani laki saba ndo inakufanya unamsaka mtu humu JFπππSidhani kama una uhakika kama nataabika. Pia sijawahi kujiona mwenye huruma ama katili hivyo maandishi yasikupumbaze.
Pia hatuwezi kuwa na safari moja mkuu. Anyway naheshimu mawazo yako.
Kwani mi najibu kwa ukali?? πΉNaomba kibarua lamomy..... usinijbu kwa ukali sasa ππ
Mkuu naomba huo uziKuna mwingine sijui ni jana au juzi kaleta uzi kuwa member mwenzetu fulani amefariki msiba uko sehemu fulani.
Baadae watu wanatoa pole si moderator wakagundua marehemu na aliyeleta habari ni mtu mmoja ikabidi waunganishe zile I'd πππ
Sema na wewe unazingua, yani unambeba mtu humu mitandaoni humjui vizuri unaenda kumweka kwenye miamala?
Ntumie nauli na simu imeibiwa π Ila Kuna watu wana utapeli wa kizamaniKwani mi najibu kwa ukali?? πΉ
Mimi nakupokea km ulivyokuja, ukija na sukari nakusaidia kuipandisha ufe vizuri π€£
Njoo unisaidie kungβolea mipunga mbalali huku..!!
naona wewe ndo chief GodloveYaani laki saba ndo inakufanya unamsaka mtu humu JFπππ
Tafuta hela bwana!!!Tafuta hela!!!
Hela kidogo hivi unasumbua na thiredi nyiingi vipi bwana wewe ebu tafuta hela!!!
Huyo dogo anaitwa Peace Ibrahim,kasoma Shambalai na humu JF anajiita Kababrah.naona wewe ndo chief Godlove
π€£π€£π€£π€£π€£ na wewe ni nani???naona wewe ndo chief Godlove