Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 3,711
- 6,762
Naomba kibarua lamomy..... usinijbu kwa ukali sasa 😂😂Hivi kweli kabisa unamuokota mtu humu unaenda kumuamini na kumkabidhi kitengo cha pesa?? 😹😹😹
Huko piem wanakula afu tatu hawaogopi itakuwa huko uraiani awwweehh pole sana 🤣
Hata unayemjua tu usimuamini. Pia ni kuomba ulinzi na msaada wa Mungu.Hakika usimwamini mtu usiye mjua
Kheeeh kijana anaonekana haajiriki huyu.hii so chai ndugu,ymenikuta
Duh umenitishaaa, kwa kweli tahadhari muhimu sanaHumu wamo mpaka watekaji na wauaji. Chukueni tahadhari. Anaweza kujifanya anatafuta kazi kumbe anataka akufahamu ili waje kukuteka au kukua.
Duh a dude who is over 30, bado kawa mwizi. blood fool.Anatumia Kababrah
Hiyo picha ni yake kweli? I mean ulipomuona ndie huyo huyo wa kwenye picha? kama ndiye basi Sambaza picha yake ukiambatanisha na RB kwenye mitandao yote kuanzia JF, FB, IG, X, Tiktok ndani ya masaa mawili tu ushapata full details, watafute wale watu wenye followers wengi wape kitu kidogo wampost, MUHIMU ambatanisha na RB yake.hii so chai ndugu,ymenikuta
NKiukweli wakuu tunahitaji kazi na tuna shida ya kazi kama tunavyo post,
Lakini kwenye wengi tunatofautiana wengine ndo lengo ni kuiba, utapeli n.k
Tatizo linalo tuangisha ni uaminifu narudia kusema watz hatuna uaminifu
Mtu kama huyo nauli haifiki umetumiwa, then unaleta sababu za kuporwa kwa dunia hii ya sasa utaonekana mshenzi, na mwizi wa kizamani.....
Mnapopokea wageni waje na vitambulisho vya NIDA bila kucheka na barua za wadhamini wake ikiwezekana zipite kwa mwanasheria na nyaraka muhimu watu wamekuwa wezi wa hovyo
Mimi kwa kuniambia kaibiwa hata angefika dar angetafutiwa kitu kingne
Pole sana bruh
Wewe jamaa mgeni hapa jf? Mbona matukio ya namna hii yanaripotiwa kila siku ulikuwa unayaona? au umejizima data? Ona sasa umepigwa kizembe! Wewe unakutaka na mtu mtandaoni unadhani ni mtu? Hapo mtaani ulikosa mtu? Sehemu unakohabudia umekosa mtu? Jamaa ndugu je? Heri nusu shari kuliko shari kamili! Zimwi likujualo halikuli likakwisha! Inamaana unayemjua hadi kwao au ndugu hatakama atakupiga, atakubakishia akiogopa ataenda wapi! Pole sana! Kama huna mke oa ukamfungulie hiyo biashara uue ndege wawili kwa jiwe moja (mbususu na kukuongezea kipato huku akikupa familia)Kuna huyu kijana alipost anatafuta kazi, nikamtafuta akadai ana nauli pungufu.
Tukakubaliana nimtumie nusu nauli. Nilimtumia lakini siku ya kuja akawa amezima simu na kufuta picha aizonitumia watsaup. Nilikomenti jinsi alvyofanya baadaye akanitafuta akidai alivamiwa na vibaka wakampora kila kitu.
Akaniahidi atakuja, kweli akaja Dar Es Salaam hadi nyumbani, nikamuonesha maeneo ya kazi zangu. Nikawa nafanya naye huduma ya wakala wa miamala ya pesa.
Ikabidi awe anawahi kufungua maana alikuwa anakaa karibu. Asubuhi ya Leo kachukua laki sita, simu mbili na line NNE na ametoa pesa zote kakimbia. Pale getto alipokuwa anakaa vijana wenzake kawaibia nao pesa zao.
Ripoti nimetoa kituo cha polisi Sealander bridge na RB ninayo.
Humu kila siku tunawaambia acha! Wengine eti wanatafuta wachumba! Shauri yako utaoa/kuolewa na mchawiHumu kuna majambazi mkuu😂😂😂😊
.Kuna huyu kijana alipost anatafuta kazi, nikamtafuta akadai ana nauli pungufu.
Tukakubaliana nimtumie nusu nauli. Nilimtumia lakini siku ya kuja akawa amezima simu na kufuta picha aizonitumia watsaup. Nilikomenti jinsi alvyofanya baadaye akanitafuta akidai alivamiwa na vibaka wakampora kila kitu.
Akaniahidi atakuja, kweli akaja Dar Es Salaam hadi nyumbani, nikamuonesha maeneo ya kazi zangu. Nikawa nafanya naye huduma ya wakala wa miamala ya pesa.
Ikabidi awe anawahi kufungua maana alikuwa anakaa karibu. Asubuhi ya Leo kachukua laki sita, simu mbili na line NNE na ametoa pesa zote kakimbia. Pale getto alipokuwa anakaa vijana wenzake kawaibia nao pesa zao.
Ripoti nimetoa kituo cha polisi Sealander bridge na RB ninayo.
Huyo jamaa anaitwa nani na anatumia ID gani humu?Kuna huyu kijana alipost anatafuta kazi, nikamtafuta akadai ana nauli pungufu.
Tukakubaliana nimtumie nusu nauli. Nilimtumia lakini siku ya kuja akawa amezima simu na kufuta picha aizonitumia watsaup. Nilikomenti jinsi alvyofanya baadaye akanitafuta akidai alivamiwa na vibaka wakampora kila kitu.
Akaniahidi atakuja, kweli akaja Dar Es Salaam hadi nyumbani, nikamuonesha maeneo ya kazi zangu. Nikawa nafanya naye huduma ya wakala wa miamala ya pesa.
Ikabidi awe anawahi kufungua maana alikuwa anakaa karibu. Asubuhi ya Leo kachukua laki sita, simu mbili na line NNE na ametoa pesa zote kakimbia. Pale getto alipokuwa anakaa vijana wenzake kawaibia nao pesa zao.
Ripoti nimetoa kituo cha polisi Sealander bridge na RB ninayo.
Pole sana mkuu.Kuna huyu kijana alipost anatafuta kazi, nikamtafuta akadai ana nauli pungufu.
Tukakubaliana nimtumie nusu nauli. Nilimtumia lakini siku ya kuja akawa amezima simu na kufuta picha aizonitumia watsaup. Nilikomenti jinsi alvyofanya baadaye akanitafuta akidai alivamiwa na vibaka wakampora kila kitu.
Akaniahidi atakuja, kweli akaja Dar Es Salaam hadi nyumbani, nikamuonesha maeneo ya kazi zangu. Nikawa nafanya naye huduma ya wakala wa miamala ya pesa.
Ikabidi awe anawahi kufungua maana alikuwa anakaa karibu. Asubuhi ya Leo kachukua laki sita, simu mbili na line NNE na ametoa pesa zote kakimbia. Pale getto alipokuwa anakaa vijana wenzake kawaibia nao pesa zao.
Ripoti nimetoa kituo cha polisi Sealander bridge na RB ninayo.