Kwa ujinga huu, sitamuamini mtu hasa vijana

Kwa ujinga huu, sitamuamini mtu hasa vijana

Kiukweli wakuu tunahitaji kazi na tuna shida ya kazi kama tunavyo post,

Lakini kwenye wengi tunatofautiana wengine ndo lengo ni kuiba, utapeli n.k

Tatizo linalo tuangisha ni uaminifu narudia kusema watz hatuna uaminifu

Mtu kama huyo nauli haifiki umetumiwa, then unaleta sababu za kuporwa kwa dunia hii ya sasa utaonekana mshenzi, na mwizi wa kizamani.....


Mnapopokea wageni waje na vitambulisho vya NIDA bila kucheka na barua za wadhamini wake ikiwezekana zipite kwa mwanasheria na nyaraka muhimu watu wamekuwa wezi wa hovyo

Mimi kwa kuniambia kaibiwa hata angefika dar angetafutiwa kitu kingne

Pole sana bruh
 
hii so chai ndugu,ymenikuta
Hiyo picha ni yake kweli? I mean ulipomuona ndie huyo huyo wa kwenye picha? kama ndiye basi Sambaza picha yake ukiambatanisha na RB kwenye mitandao yote kuanzia JF, FB, IG, X, Tiktok ndani ya masaa mawili tu ushapata full details, watafute wale watu wenye followers wengi wape kitu kidogo wampost, MUHIMU ambatanisha na RB yake.
 
Kiukweli wakuu tunahitaji kazi na tuna shida ya kazi kama tunavyo post,

Lakini kwenye wengi tunatofautiana wengine ndo lengo ni kuiba, utapeli n.k

Tatizo linalo tuangisha ni uaminifu narudia kusema watz hatuna uaminifu

Mtu kama huyo nauli haifiki umetumiwa, then unaleta sababu za kuporwa kwa dunia hii ya sasa utaonekana mshenzi, na mwizi wa kizamani.....


Mnapopokea wageni waje na vitambulisho vya NIDA bila kucheka na barua za wadhamini wake ikiwezekana zipite kwa mwanasheria na nyaraka muhimu watu wamekuwa wezi wa hovyo

Mimi kwa kuniambia kaibiwa hata angefika dar angetafutiwa kitu kingne

Pole sana bruh
N
 
Huyu kijana ni tapeli kweli, nilimpigia simu akaja nikamwona tukapanga nimpe kazi , baada nilipotaka kuongea na wazazi na kuonana anayeishi nae akaingia mitini.

nipigie tuongee , nikueleze zaidi yaliyonitokea na mimi kwa huyu kijana cause twaweza kumkamata tukishirikiana.
 

Attachments

  • Screenshot_20250125_143502.jpg
    Screenshot_20250125_143502.jpg
    111.7 KB · Views: 3
Mimi huwa nawashangaa watu eti unakuta mtu anaomba connection humu,yani nikupe connection kabisa mtu nisiyekufahamu?huku mtaani sina watu ninaowafahamu mpaka nikupe wewe wa mtandaoni?
 
Kuna huyu kijana alipost anatafuta kazi, nikamtafuta akadai ana nauli pungufu.

Tukakubaliana nimtumie nusu nauli. Nilimtumia lakini siku ya kuja akawa amezima simu na kufuta picha aizonitumia watsaup. Nilikomenti jinsi alvyofanya baadaye akanitafuta akidai alivamiwa na vibaka wakampora kila kitu.

Akaniahidi atakuja, kweli akaja Dar Es Salaam hadi nyumbani, nikamuonesha maeneo ya kazi zangu. Nikawa nafanya naye huduma ya wakala wa miamala ya pesa.

Ikabidi awe anawahi kufungua maana alikuwa anakaa karibu. Asubuhi ya Leo kachukua laki sita, simu mbili na line NNE na ametoa pesa zote kakimbia. Pale getto alipokuwa anakaa vijana wenzake kawaibia nao pesa zao.

Ripoti nimetoa kituo cha polisi Sealander bridge na RB ninayo.
Wewe jamaa mgeni hapa jf? Mbona matukio ya namna hii yanaripotiwa kila siku ulikuwa unayaona? au umejizima data? Ona sasa umepigwa kizembe! Wewe unakutaka na mtu mtandaoni unadhani ni mtu? Hapo mtaani ulikosa mtu? Sehemu unakohabudia umekosa mtu? Jamaa ndugu je? Heri nusu shari kuliko shari kamili! Zimwi likujualo halikuli likakwisha! Inamaana unayemjua hadi kwao au ndugu hatakama atakupiga, atakubakishia akiogopa ataenda wapi! Pole sana! Kama huna mke oa ukamfungulie hiyo biashara uue ndege wawili kwa jiwe moja (mbususu na kukuongezea kipato huku akikupa familia)
 
Kuna huyu kijana alipost anatafuta kazi, nikamtafuta akadai ana nauli pungufu.

Tukakubaliana nimtumie nusu nauli. Nilimtumia lakini siku ya kuja akawa amezima simu na kufuta picha aizonitumia watsaup. Nilikomenti jinsi alvyofanya baadaye akanitafuta akidai alivamiwa na vibaka wakampora kila kitu.

Akaniahidi atakuja, kweli akaja Dar Es Salaam hadi nyumbani, nikamuonesha maeneo ya kazi zangu. Nikawa nafanya naye huduma ya wakala wa miamala ya pesa.

Ikabidi awe anawahi kufungua maana alikuwa anakaa karibu. Asubuhi ya Leo kachukua laki sita, simu mbili na line NNE na ametoa pesa zote kakimbia. Pale getto alipokuwa anakaa vijana wenzake kawaibia nao pesa zao.

Ripoti nimetoa kituo cha polisi Sealander bridge na RB ninayo.
.
 

Attachments

  • downloadfile-322.jpg
    downloadfile-322.jpg
    73.4 KB · Views: 3
Kuna huyu kijana alipost anatafuta kazi, nikamtafuta akadai ana nauli pungufu.

Tukakubaliana nimtumie nusu nauli. Nilimtumia lakini siku ya kuja akawa amezima simu na kufuta picha aizonitumia watsaup. Nilikomenti jinsi alvyofanya baadaye akanitafuta akidai alivamiwa na vibaka wakampora kila kitu.

Akaniahidi atakuja, kweli akaja Dar Es Salaam hadi nyumbani, nikamuonesha maeneo ya kazi zangu. Nikawa nafanya naye huduma ya wakala wa miamala ya pesa.

Ikabidi awe anawahi kufungua maana alikuwa anakaa karibu. Asubuhi ya Leo kachukua laki sita, simu mbili na line NNE na ametoa pesa zote kakimbia. Pale getto alipokuwa anakaa vijana wenzake kawaibia nao pesa zao.

Ripoti nimetoa kituo cha polisi Sealander bridge na RB ninayo.
Huyo jamaa anaitwa nani na anatumia ID gani humu?
 
Kuna huyu kijana alipost anatafuta kazi, nikamtafuta akadai ana nauli pungufu.

Tukakubaliana nimtumie nusu nauli. Nilimtumia lakini siku ya kuja akawa amezima simu na kufuta picha aizonitumia watsaup. Nilikomenti jinsi alvyofanya baadaye akanitafuta akidai alivamiwa na vibaka wakampora kila kitu.

Akaniahidi atakuja, kweli akaja Dar Es Salaam hadi nyumbani, nikamuonesha maeneo ya kazi zangu. Nikawa nafanya naye huduma ya wakala wa miamala ya pesa.

Ikabidi awe anawahi kufungua maana alikuwa anakaa karibu. Asubuhi ya Leo kachukua laki sita, simu mbili na line NNE na ametoa pesa zote kakimbia. Pale getto alipokuwa anakaa vijana wenzake kawaibia nao pesa zao.

Ripoti nimetoa kituo cha polisi Sealander bridge na RB ninayo.
Pole sana mkuu.
Kuna kitu ulishindwa kukisoma tangia mwanzo kabisa wa stori hii.

Ni mara chache sana jambo hilo kufanyika duniani ingawa lipo, yaani kutokea janga muda ule ule ama siku hiyo hiyo ya appointment.

Likitokea, jiulize mara mbili mbili, yawezakuwa ni dalili za mikosi ama unapewa ishara ya tahadhari kutoka 'juu', hata kama kwa sura jambo hilo ni jema yakupasa uachane nalo'!

Hiyo kwako ilikuwa ni ishara tosha kuanza kumfuatilia kwa ufasaha 'where abouts zake', kuna njia za kufuata kumwelewa kinagaubaga mtu 'kabila' hiyo.

Ujinga sampuli hiyo hufanywa pia na wanawake malaya, akihisi unamshobokea.

Utatuma na ya kutolea, lakini haji ana kublock ama anafunga na simu kabisa, akila zikiisha anakuibukia tena na statements kama za huyo mwizi wako.

Huyo mhalifu asiwaharibie vijana wahangaikaji wa ukweli ama wewe akakukatisha tamaa, maana wapo vijana watafutaji na waaminifu sana.

Katika kuweka vijana kwenye miradi yako, usidake mtu barabarani na kumuweka kama ulivyofanya.

Tumia mbinu wanazotumia wamiliki wa vyombo vya moto, gari ama pikipiki anapompa mtu kuendesha kwa mkataba wa kibiashara.

Mbinu hizo humbana anayesaini mkataba, hata kama ni mwizi lakini atajiheshimu kwenye mkataba unaombana moja kwa moja yeye na mdhamini wake.

Usimwamini mtu kwa muonekano ama pye pye pye za maneno matamu kutoka kinywani mwake.
 
Back
Top Bottom