Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 3,711
- 6,762
Kiukweli wakuu tunahitaji kazi na tuna shida ya kazi kama tunavyo post,
Lakini kwenye wengi tunatofautiana wengine ndo lengo ni kuiba, utapeli n.k
Tatizo linalo tuangisha ni uaminifu narudia kusema watz hatuna uaminifu
Mtu kama huyo nauli haifiki umetumiwa, then unaleta sababu za kuporwa kwa dunia hii ya sasa utaonekana mshenzi, na mwizi wa kizamani.....
Mnapopokea wageni waje na vitambulisho vya NIDA bila kucheka na barua za wadhamini wake ikiwezekana zipite kwa mwanasheria na nyaraka muhimu watu wamekuwa wezi wa hovyo
Mimi kwa kuniambia kaibiwa hata angefika dar angetafutiwa kitu kingne
Pole sana bruh
Lakini kwenye wengi tunatofautiana wengine ndo lengo ni kuiba, utapeli n.k
Tatizo linalo tuangisha ni uaminifu narudia kusema watz hatuna uaminifu
Mtu kama huyo nauli haifiki umetumiwa, then unaleta sababu za kuporwa kwa dunia hii ya sasa utaonekana mshenzi, na mwizi wa kizamani.....
Mnapopokea wageni waje na vitambulisho vya NIDA bila kucheka na barua za wadhamini wake ikiwezekana zipite kwa mwanasheria na nyaraka muhimu watu wamekuwa wezi wa hovyo
Mimi kwa kuniambia kaibiwa hata angefika dar angetafutiwa kitu kingne
Pole sana bruh