Uchaguzi 2020 Kwa ukata huu walionao CHADEMA, wataweza kuwagharamia mawakala?

Uchaguzi 2020 Kwa ukata huu walionao CHADEMA, wataweza kuwagharamia mawakala?

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Siasa ni gharama kwa hiyo ili chama cha siasa kiweze kufanikisha malengo yake lazima wanachama na wafuasi wake wajitolee kwa hali na mali.

Kwenye uchaguzi mkuu kama huu ambao chama kinahitaji kupata madiwani, wabunge na urais lazima kwa kila ngazi kiweke wakala. Wakala wa chama ndio mlinzi wa kura, kuweka wakala panahitaji gharam maana lazima umlipe posho, umpatie pesa ya chakula na ikiwezekana usafiri mana shughuli ya kuhesabu kura huwa inamalizika usiku wa manane.

Je, kwa ukata wa CHADEMA ambayo hata kuchapa mabango ya mgombea urais imekuwa ni tatizo,je kitaweza kuweka mawakala kama inavyohitajika? Maana kama jimbo lina vituo 60, hapo lazima kila chama kiwe na mawakala 60 ambao kwa gharama ndogo lazima uwape elfu 30.

Je, Chadema huu mziki watauweza? Hapa ndio msemo wa wahenga unakamilika kuwa ngoma usiyoiweza kuicheza usiingie kucheza.

N:B Kuna kiongozi alikwapua michango ndio maana Chadema ina ukata.
 
Mkuu jana kulikuwa na kampeni za mgombea wao wa udiwani hapa ukonga yani hadi huruma.

Mkutano ulikuwa na watu wasiozidi 30,
IMG_20201004_173712.jpeg
 
Niliwahi kuwapa hesabu hapa... Vituo vipo 80,000+++, hizo ++ tuzitoe. Kila kituo wakikaa mawakala wawili wa CHADEMA ni sawa na mawakala 160,000. Kila wakala ukimlipa 30,000 kwa siku ni sawa na 160,000x30,000 = 4,800,000,000(Bilioni 4.8), Maswali: Je, Chadema wanazo?, Je,zinawatosha mawakala wasirubuniwe na CCM?,. Ndo maana huwa nikimuona mtu anakomaa eti Lissu atashinda uraisi namuona punguani na hana akili.
 
Ikumbukwe kabla ya kwenda Iringa alikua kapumzika siku tano mfululizo, kukatishwa kwa kampeni na mgombea huyu kwa sababu za kubana matumizi kumelazimisha tume mstopishe kampeni za Lissu ili naye akae nyumbani Kama mgombea wa ccm
 
Ikumbukwe kabla ya kwenda Iringa alikua kapumzika siku tano mfululizo, kukatishwa kwa kampeni na mgombea huyu kwa sababu za kubana matumizi kumelazimisha tume mstopishe kampeni za Lissu ili naye akae nyumbani Kama mgombea wa CCM
Hili halina ukweli.
 
Niliwahi kuwapa hesabu hapa... Vituo vipo 80,000+++, hizo ++ tuzitoe. Kila kituo wakikaa mawakala wawili wa CHADEMA ni sawa na mawakala 160,000. Kila wakala ukimlipa 30,000 kwa siku ni sawa na 160,000x30,000 = 4,800,000,000(Bilioni 4.8), Maswali: Je, Chadema wanazo?, Je,zinawatosha mawakala wasirubuniwe na CCM?,. Ndo maana huwa nikimuona mtu anakomaa eti Lissu atashinda uraisi namuona punguani na hana akili.
CCM wao wanapata wapi pesa nyingi kiasi hicho? Mimi naamini SIASA ni sawa na IMANI kuna watakaokuwa tayari kufanya hiyo kazi kwa gharama zao
 
Unadhani watu wote wanapenda kulipwa?

Hujui kuna kujitolea?

Na sisi upinzani hua tunajitolea,hakuna haja ya pesa yeyote..

Nyie mmezoea rushwa na pesa,mnadhani kila kitu ni pesa

Na hizo pesa mnazoringia ni pesa zetu mmeiba serikalini kwenye kodi zetu halafu mpo hapa mnatanua matako?

Tutatuma mkwaju
 
Back
Top Bottom