🤣🤣🤣 Dah haya mambo siamini mtu brother make zipo fake nyingi Sana kumhusu tundu lissu 🤣🤣View attachment 1590941 ni fake hiyo kaka
Imetungwa na watu wabaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣 Dah haya mambo siamini mtu brother make zipo fake nyingi Sana kumhusu tundu lissu 🤣🤣View attachment 1590941 ni fake hiyo kaka
Imetungwa na watu wabaya
Kwan miaka mingine wanalipiwa na CCM? Yaani waweze 2005 wakiwa 0 washindwe 2020 wakiwa 6,000,000?Je Ccm wana ukata? Chadema wataweza kugharamia mawakala?
CHADEMA ilishakufa imebaki kuzikwa tu.Kumbe anapunzika kwa ajili ya kubana matumizi?
Si manasema anaenda gereji means anaumwa?
Chadema hamjielewi.
CCM ina vitega uchumi vipi na vina mapato kiasi gani kwa mwaka?Vitega uchumi vya Ccm huvijui? Acha maswali ya kipuuzi
Tunajitolea nchi nzima,hutaki andamana mamaeee zenu!Hata kama kujitolea ndio watu watajitolea Tanzania nzima,na watashinda njaa bila chakula?
Mkuu jana kulikuwa na kampeni za mgombea wao wa udiwani hapa ukonga yani hadi huruma.
Mkutano ulikuwa na watu wasiozidi 30,View attachment 1590869
MkuuKOMAA KAMANDA, bahati mbaya pesa inapigwa na wajanja. Huu ni ukweli tukiupatia majawabu upinzani hautakuwa na ukata kama ilivyo sasa hivi.
Kuweza au kutoweza wewe kinakuuma ni nini labda?Je Ccm wana ukata? Chadema wataweza kugharamia mawakala?
Asiyekujua hakuthamini! Mtu awazavyo nafsini mwake ndivyo alivyo. Na wewe tena, imbecile, nincompoop, savage, uncouth!Umeelewa point ya huyo uliyem quote?
Mbowe anajivunia sana kuwa na vijana mbumbumbu kama wewe!
Meko anatukana tu wale wenye tume yao maana wamepigwa chenga ya mwili na walimuhakikishia mwamba atanasa kwenye mtego. Sa sijui itakuwaje! Patamu hapo!Usidanganyike,huku mikoani pia wabunge wa CCM wanashindwa kupiga kampeni zao,hakuna hela hawapewi.so ngoma drop usijidanganye boss
Naunga mkono hojaNiliwahi kuwapa hesabu hapa... Vituo vipo 80,000+++, hizo ++ tuzitoe. Kila kituo wakikaa mawakala wawili wa CHADEMA ni sawa na mawakala 160,000. Kila wakala ukimlipa 30,000 kwa siku ni sawa na 160,000x30,000 = 4,800,000,000(Bilioni 4.8), Maswali: Je, Chadema wanazo?, Je,zinawatosha mawakala wasirubuniwe na CCM?,. Ndo maana huwa nikimuona mtu anakomaa eti Lissu atashinda uraisi namuona punguani na hana akili.