Uchaguzi 2020 Kwa ukata huu walionao CHADEMA, wataweza kuwagharamia mawakala?

Uchaguzi 2020 Kwa ukata huu walionao CHADEMA, wataweza kuwagharamia mawakala?

Hakuna wakati mtamu kuwa wakala wa chadema kama sasa ni wakati wa kulipiza usaliti wao.washenzi ile ya kuunga juhudi za Magu mawakala msiwe wajinga tumieni fursa
 
Kwa sababu ya kupigania UHURU NA HAKI iliyominywa,nitahamasisha watu kadhaa kuchangia hela ya kuwalipa mawakala ili tuondokene na haya mateso.
 
Umeelewa point ya huyo uliyem-quote?

Mbowe anajivunia sana kuwa na vijana mbumbumbu kama wewe!
 
Vitega uchumi vya Ccm huvijui? Acha maswali ya kipuuzi
CCM ina vitega uchumi vipi na vina mapato kiasi gani kwa mwaka?

Weka hesabu zake humu tuone...punguani wewe!

Wezi wakubwa wa kodi za wavuja jasho wa nchi hii wasio na hatia.

Hata kama kujitolea ndio watu watajitolea Tanzania nzima,na watashinda njaa bila chakula?
Tunajitolea nchi nzima,hutaki andamana mamaeee zenu!

Wivu mtupu unaonesha hapa!

Nyie wezi from the government coffers,sisi ni nguvu ya umma mwananchi mmoja mmoja!

Who the fvck are you kutupangia the services of our labour tulizoamua kujitolea?

Who the fvck are you?/???????
 
KOMAA KAMANDA, bahati mbaya pesa inapigwa na wajanja. Huu ni ukweli tukiupatia majawabu upinzani hautakuwa na ukata kama ilivyo sasa hivi.
 
Usijichoshe akili, watanzania wagumu sana kujitolea, nimeona kwa macho yangu, jimbo la Same kusini na jmbo la Mwanga.

Nilishindwa kuchangia CHADEMA kwasababu za kibinadamu.
 
KOMAA KAMANDA, bahati mbaya pesa inapigwa na wajanja. Huu ni ukweli tukiupatia majawabu upinzani hautakuwa na ukata kama ilivyo sasa hivi.
Mkuu

I dont need any money kutoka Chadema mzee..hivi ni vyama vya hiyari

I have my own businesses to feed me with my family with surplus....sipo hapa eti nitegemee cha fulani cha siasa kitanipa hela.....thats nonsense!

Sana sana mimi ndio natuma Mpesa kwa wagombea wengi wa CDM na ACT,just to help....

Sijui kwanini kuna watu mpaka zama hizi eti bado wanategemea kuingia kwenye vyama vya siasa kutegemea hela kutoka vyama hivyo ambavyo hela havina to begin with...

Thats stupidity

In this world kama hufanyi biashara kwa jasho lako ukashika matope ukafanya sales,then you will die a poor man....

Thats crystal clear.....

Capitalism taught me a great lesson....

and Chadema stands on capitalism and private wealth, liberties and personal freedoms which 100% lie within my beliefs

Kila siku nita support capitalism na sio socialism ya CCM,never!
 
Mtoa post huna hoja, Mbona mgombea wenu kasambaza mabango nchi nzima na bado watu ni wa kusombelewa kupelekwa kwenye kampeni?? Unazungumzia gharama zipi? Mbona tayari wananchi wameshajitolea kukibeba chama kwa kukichangia? Hujui kama huko mikoani watu wapo tayari kujitolea uwakala bila malipo?? Subiri mpaka Lissu atakapoapishwa ndipo mtakubali muziki ulivyo!
 
Chadema pumzi zimekaba.
Wanatamani uchaguzi uwe kesho ili kikombe kiwatue. Hali tete
 
Umeelewa point ya huyo uliyem quote?

Mbowe anajivunia sana kuwa na vijana mbumbumbu kama wewe!
Asiyekujua hakuthamini! Mtu awazavyo nafsini mwake ndivyo alivyo. Na wewe tena, imbecile, nincompoop, savage, uncouth!
 
Nasikia Meko anatukana tu wale wenye tume yao maana wamepigwa chenga ya mwili na walimuhakikishia mwamba atanasa kwenye mtego. Sa sijui itakuwaje! Patamu hapo!
 
Usidanganyike,huku mikoani pia wabunge wa CCM wanashindwa kupiga kampeni zao,hakuna hela hawapewi.so ngoma drop usijidanganye boss
Meko anatukana tu wale wenye tume yao maana wamepigwa chenga ya mwili na walimuhakikishia mwamba atanasa kwenye mtego. Sa sijui itakuwaje! Patamu hapo!
 
Niliwahi kuwapa hesabu hapa... Vituo vipo 80,000+++, hizo ++ tuzitoe. Kila kituo wakikaa mawakala wawili wa CHADEMA ni sawa na mawakala 160,000. Kila wakala ukimlipa 30,000 kwa siku ni sawa na 160,000x30,000 = 4,800,000,000(Bilioni 4.8), Maswali: Je, Chadema wanazo?, Je,zinawatosha mawakala wasirubuniwe na CCM?,. Ndo maana huwa nikimuona mtu anakomaa eti Lissu atashinda uraisi namuona punguani na hana akili.
Naunga mkono hoja
 
Back
Top Bottom