Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,404
- 6,969
- Thread starter
- #81
Mkwara mzito,kama mgombea mmekwama kumchangia ndio mtapata bil 10?Kwa taarifa yako, Chadema haiwezi kukosa fedha za kuwahudumia mawakala wao.
Na leo hii Chadema wakisema tuwachangie hela za kuwahudumia mawakala wao ndani ya siku 5 wataraise bil 10. Mark my words