Uchaguzi 2020 Kwa ukata huu walionao CHADEMA, wataweza kuwagharamia mawakala?

Uchaguzi 2020 Kwa ukata huu walionao CHADEMA, wataweza kuwagharamia mawakala?

Niliwahi kuwapa hesabu hapa... Vituo vipo 80,000+++, hizo ++ tuzitoe. Kila kituo wakikaa mawakala wawili wa CHADEMA ni sawa na mawakala 160,000. Kila wakala ukimlipa 30,000 kwa siku ni sawa na 160,000x30,000 = 4,800,000,000(Bilioni 4.8), Maswali: Je, Chadema wanazo?, Je,zinawatosha mawakala wasirubuniwe na CCM?,. Ndo maana huwa nikimuona mtu anakomaa eti Lissu atashinda uraisi namuona punguani na hana akili.
Naunga mkono hoja
 
Si huwa mnasema wametumwa na mabeberu? Subirini wawaonyeshe yaani mwaka huu mpaka Igusule wataweka
 
Usidanganyike,huku mikoani pia wabunge wa CCM wanashindwa kupiga kampeni zao,hakuna hela hawapewi.so ngoma drop usijidanganye boss
Mwaka huu kampeni kwa wagombea ubunge ni za kutegeshea.
Huku nilipo mbunge wa kijani kashafanya mikutano miwili tu. Wa peoples naye vivyo hivo.
 
CCM wao wanapata wapi pesa nyingi kiasi hicho? Mimi naamini SIASA ni sawa na IMANI kuna watakaokuwa tayari kufanya hiyo kazi kwa gharama zao
CCM wana vyanzo vyingi sana vya mapato
 
Chadema pumzi zimekaba.
Wanatamani uchaguzi uwe kesho ili kikombe kiwatue. Hali tete

Wapenzi wana kataa, swali ninalo jiuliza, ni dalili gani kwa mtu au kundi kuonyesha kuna ukata kama sio kutembeza bakuli ? Mapenzi yamepitiliza.
 
Kwani kumlipa wakala mmoja shilingi ngapi??? Ujinga mwingine bhana
 
Pesa ipo ya kutosha acha kutengeneza propaganda za kishamba tokea kwa cyprian Musiba na polepole
 
Niliwahi kuwapa hesabu hapa... Vituo vipo 80,000+++, hizo ++ tuzitoe. Kila kituo wakikaa mawakala wawili wa CHADEMA ni sawa na mawakala 160,000. Kila wakala ukimlipa 30,000 kwa siku ni sawa na 160,000x30,000 = 4,800,000,000(Bilioni 4.8), Maswali: Je, Chadema wanazo?, Je,zinawatosha mawakala wasirubuniwe na CCM?,. Ndo maana huwa nikimuona mtu anakomaa eti Lissu atashinda uraisi namuona punguani na hana akili.
Hoja kumbe siyo kwamba Lissu hatashinda??? Bali mawakala WATAHUJUMIWA???? What if wasipo hujumiwa???
Ningekuwa na uwezo ningefuta vyuo vyote vilivyoanzishwa baada ya Body ya mikopo kuanzishwa. Na zile form 4 zenye GPA na vyeti vyenye picha ningefuta. Watu wote wenye vyeti hivi ndo wenye akili ndogo
 
Kumbe anapunzika kwa ajili ya kubana matumizi?

Si manasema anaenda gereji means anaumwa?

Chadema hamjielewi.
Wewe ndiyo hujielewi umechagua kusapoti uonevu unyanyasaji wa CCM pasipo kumuogopa Mungu
 
Hakuna wakati mtamu kuwa wakala wa chadema kama sasa ni wakati wa kulipiza usaliti wao.washenzi ile ya kuunga juhudi za Magu mawakala msiwe wajinga tumieni fursa
Wakala anakula pesa ya CCM kisha anasimamia haki mtamfanya nini? Kama Rais wako mtukufu Magufuli anapendwa na watanzania iweje mjihangaishe kuihujumu CHADEMA si muache uchaguzi huru na haki ufanyike?
 
Si huwa mnasema wametumwa na mabeberu? Subirini wawaonyeshe yaani mwakali mpaka Igusule wataweka
Si mnasema mnapendwa na watanzania iweje mtake kuwanunua mawakala kuihujumu chadema kufanya uchakachuaji?
 
CCM si mnasema mpo wengi na mnapendwa mmjenga reli kununua Ndege iweje mtake kufanya uchakachuaji wa kishamba huo?
 
Siku CCM mbeleko yenu inayoitwa tume ikichanika ndio mtaelewa ! Sasa hivi mko kama mtoto anayelishwa hajajua kujitegemea! Sote tuombe hiyo siku ikifika tuwe hai!
 
Kwani Tundu Lissu alipata wapi pesa za matibabu baada ya kumnyima stahiki zake?Na Nyerere alipata wapi pesa za kuwatimua wakoloni?Mamilioni ya Watanzania tupo nyuma ya chadema na mia 5 zetu kuichangia Katika hatuna zote mpaka ushindi.
Na kwa Neema.Ya Mungu Baba tutashinda!
 
Mkuu kuna watu watasimamia kura bila hata kulipwa, hata mimi nipo tayari kufanya hivo, hapa nataka tu nijue utaratibu wanaotumia CHADEMA kupata mawakala.

Japo nikili hili swala nilakuwa makini, maana mawakala wengi wa CHADEMA hurubiniwa pale pale kituon na CCM, maana CCM hupeleka chakula na viposho. CHADEMA lzm watumie mbinu nzuri kupata mawakala, na wengi wawe vijana, maana sio rahisi kwao kukubal 20k ili auze kura.
 
Kwa taarifa yako, CHADEMA haiwezi kukosa fedha za kuwahudumia mawakala wao.

Na leo hii CHADEMA wakisema tuwachangie hela za kuwahudumia mawakala wao ndani ya siku 5 wataraise bil 10. Mark my words
 
Back
Top Bottom