n-propanol
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 5,349
- 7,000
Lile linabebwa na Lissu, nimesikia limeanza kuleta utata maana cheamani analitaka pia.Kwani lile bakuli linalopita kwenye mikutano zile pesa zinaenda wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lile linabebwa na Lissu, nimesikia limeanza kuleta utata maana cheamani analitaka pia.Kwani lile bakuli linalopita kwenye mikutano zile pesa zinaenda wapi?
Leta picha ile ambayo mkutano umenoga tuone tofauti!Kwa hiyo unawahi mahali wakati watu wanafunga vipaza sauti unapiga picha unatuma we fala kweli
Sio kweliMkuu jana kulikuwa na kampeni za mgombea wao wa udiwani hapa ukonga yani hadi huruma.
Mkutano ulikuwa na watu wasiozidi 30,View attachment 1590869
Wewe ulisikia wapi?Watakoma
CHADEMA ndo inakufanya we ukeshe JF kutafuta ugali wa watoto ,bila CHADEMA imara hata Lumumba wasingekuajiri hata hiyo buku 7Yani imefikia hatua ACT Wazalendo ina mabango mengi kuzidi CHADEMA!
Mbowe siyo mtu mzuri kabisa, ruzuku yote sikui kaipeleka wapi?
Ndo ilivyo,Kama ambavyo na sisi tunakuona wewe ni punguani na juha tulichanga kuwatoa viongozi,tutashindwa za uchaguzi??Niliwahi kuwapa hesabu hapa... Vituo vipo 80,000+++, hizo ++ tuzitoe. Kila kituo wakikaa mawakala wawili wa CHADEMA ni sawa na mawakala 160,000. Kila wakala ukimlipa 30,000 kwa siku ni sawa na 160,000x30,000 = 4,800,000,000(Bilioni 4.8), Maswali: Je, Chadema wanazo?, Je,zinawatosha mawakala wasirubuniwe na CCM?,. Ndo maana huwa nikimuona mtu anakomaa eti Lissu atashinda uraisi namuona punguani na hana akili.
Haaa haaa na kweli aisee ukiwaambia hivyo wanakuwa wakali kweli.Wana hali ngumu kwa kweli bado muda mchache tutashuhudia tuu.Niliwahi kuwapa hesabu hapa... Vituo vipo 80,000+++, hizo ++ tuzitoe. Kila kituo wakikaa mawakala wawili wa CHADEMA ni sawa na mawakala 160,000. Kila wakala ukimlipa 30,000 kwa siku ni sawa na 160,000x30,000 = 4,800,000,000(Bilioni 4.8), Maswali: Je, Chadema wanazo?, Je,zinawatosha mawakala wasirubuniwe na CCM?,. Ndo maana huwa nikimuona mtu anakomaa eti Lissu atashinda uraisi namuona punguani na hana akili.
Changu kina sahihi ya Ndalichako, alipokuwa katibu wa NectaHoja kumbe siyo kwamba Lisu hatashinda??? Bali mawakala WATAHUJUMIWA???? What if wasipo hujumiwa???
Ningekuwa na uwezo ningefuta vyuo vyote vilivyoanzishwa baada ya Body ya mikopo kuanzishwa. Na zile form 4 zenye GPA na vyeti vyenye picha ningefuta. Watu wote wenye vyeti hivi ndo wenye akili ndogo
Wapenda demokrasia tumeamua iwe hivyo, huyo ndiye Rais ajaye. Ikifanyika dhulma yeyote dhidi ya kura zetu tutaingia barabarani kuzidai kwa nguvu, uonevu sasa basi.Tunaongelea bilioni 4 sio milioni 300, by the way Lissu hawezi kuwa Raisi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania.. NEVER, Sio 2020 tu bali kamwe. Kadiri uchaguzi unavyokaribia ndo mtaelewa ninachomaanisha.
Mlevi wa taifa hawezi kutoa hela kwa wenzake.Yani imefikia hatua ACT Wazalendo ina mabango mengi kuzidi CHADEMA!
Mbowe siyo mtu mzuri kabisa, ruzuku yote sikui kaipeleka wapi?
Mbowe Ana bil 8.9 kutoka mishahara ya wabunge. Wanaweza kulipa.Niliwahi kuwapa hesabu hapa... Vituo vipo 80,000+++, hizo ++ tuzitoe. Kila kituo wakikaa mawakala wawili wa CHADEMA ni sawa na mawakala 160,000. Kila wakala ukimlipa 30,000 kwa siku ni sawa na 160,000x30,000 = 4,800,000,000(Bilioni 4.8), Maswali: Je, Chadema wanazo?, Je,zinawatosha mawakala wasirubuniwe na CCM?,. Ndo maana huwa nikimuona mtu anakomaa eti Lissu atashinda uraisi namuona punguani na hana akili.
Wakala ni mfia chama hategemei kulipwa, sana sana atapewa lunch tu.Niliwahi kuwapa hesabu hapa... Vituo vipo 80,000+++, hizo ++ tuzitoe. Kila kituo wakikaa mawakala wawili wa CHADEMA ni sawa na mawakala 160,000. Kila wakala ukimlipa 30,000 kwa siku ni sawa na 160,000x30,000 = 4,800,000,000(Bilioni 4.8), Maswali: Je, Chadema wanazo?, Je,zinawatosha mawakala wasirubuniwe na CCM?,. Ndo maana huwa nikimuona mtu anakomaa eti Lissu atashinda uraisi namuona punguani na hana akili.
Sasa kama eneo lenyewe wakazi wengi ni mapolisi na wanajeshi unategemea nini, hata kama wangependa hawawezi!!Mkuu jana kulikuwa na kampeni za mgombea wao wa udiwani hapa ukonga yani hadi huruma.
Mkutano ulikuwa na watu wasiozidi 30,View attachment 1590869
Hii ni dawa chungu, wasiopenda hata kuisikia. Sio Lissu tu, wakala yeyote kwenye chama cha Mbowe hawezi kuwa Rais wa Watanzania.Tunaongelea bilioni 4 sio milioni 300, by the way Lissu hawezi kuwa Raisi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania.. NEVER, Sio 2020 tu bali kamwe. Kadiri uchaguzi unavyokaribia ndo mtaelewa ninachomaanisha.
Kumbe CCM siyo wezi nao hawana hela.Ikumbukwe kabla ya kwenda Iringa alikua kapumzika siku tano mfululizo, kukatishwa kwa kampeni na mgombea huyu kwa sababu za kubana matumizi kumelazimisha tume mstopishe kampeni za Lissu ili naye akae nyumbani Kama mgombea wa ccm
Unawekeza sehemu ambayo unajua utashindwa? Mbowe ni mwiziYani imefikia hatua ACT Wazalendo ina mabango mengi kuzidi CHADEMA!
Mbowe siyo mtu mzuri kabisa, ruzuku yote sikui kaipeleka wapi?