Uchaguzi 2020 Kwa ukata huu walionao CHADEMA, wataweza kuwagharamia mawakala?

Uchaguzi 2020 Kwa ukata huu walionao CHADEMA, wataweza kuwagharamia mawakala?

Niliwahi kuwapa hesabu hapa... Vituo vipo 80,000+++, hizo ++ tuzitoe. Kila kituo wakikaa mawakala wawili wa CHADEMA ni sawa na mawakala 160,000. Kila wakala ukimlipa 30,000 kwa siku ni sawa na 160,000x30,000 = 4,800,000,000(Bilioni 4.8), Maswali: Je, Chadema wanazo?, Je,zinawatosha mawakala wasirubuniwe na CCM?,. Ndo maana huwa nikimuona mtu anakomaa eti Lissu atashinda uraisi namuona punguani na hana akili.
Umeshawaza kama hizi za kampeni walipewa na serikali kama ruzuku? Vipi kuhusu pesa za kumlipa Amsterdam? Mafuta yakuzunguka na gari?
 
Yani imefikia hatua ACT Wazalendo ina mabango mengi kuzidi CHADEMA!

Mbowe siyo mtu mzuri kabisa, ruzuku yote sikui kaipeleka wapi?

Anajua hawezi kushinda kwanini aendelee kupoteza pesa kwenye mabango. Mbowe akili kubwa na mtu wa kujiongeza sana. Haweki pesa pasipoleta faida
 
Pesa ya kulipa mawalala haiwezi kuishinda Chadema.
Kama wastani wa jimbo una vituo vya kupigia kura 60 na kila wakala imlipe sh 30,000 ni jumla ya 1,800,000.
Ni pesa ndogo hata wakiweka mawakala wawili ni 3.6 m
Pesa inayosumbuwa ni za kampeni. Hata hao CCM wana wafadhili wakubwa ambao ni wafanyabiashara wakubwa.Japo wapo wafadhili wanaoipenda Chadema,lakini wanaogopa kujichongea kwa serikali ya Magu.
 
Kutunga stori ni jambo jepesi sana hasa ukiwasimulia wajinga wenzako
 
Sasa kama eneo lenyewe wakazi wengi ni mapolisi na wanajeshi unategemea nini, hata kama wangependa hawawezi!!
Hujui usemalo!

Ndio maana tukiona mnavyobwata humu mkitoa mikwara mbuzi kwa tume kwamba mtashinda huwa tuna wacheka tu.

Unalijua vizuri jimbo la ukonga wewe?
 
Anajua hawezi kushinda kwanini aendelee kupoteza pesa kwenye mabango. Mbowe akili kubwa na mtu wa kujiongeza sana. Haweki pesa pasipoleta faida
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kabisa! Ndio maana unaona sasa hivi kaona bora aende kupigania ubunge wa jimbo lake tu kuliko kuendelea kuhangaika na hako kajamaa ka ubelgiji.
 
Niliwahi kuwapa hesabu hapa... Vituo vipo 80,000+++, hizo ++ tuzitoe. Kila kituo wakikaa mawakala wawili wa CHADEMA ni sawa na mawakala 160,000. Kila wakala ukimlipa 30,000 kwa siku ni sawa na 160,000x30,000 = 4,800,000,000(Bilioni 4.8), Maswali: Je, Chadema wanazo?, Je,zinawatosha mawakala wasirubuniwe na CCM?,. Ndo maana huwa nikimuona mtu anakomaa eti Lissu atashinda uraisi namuona punguani na hana akili.
Swali fikirishi sana.
Hivi mawakala wanalipwa 30,000 tuu? Na wanalipwa kwa siku moja peke yake?

CHADEMA fanyieni kazi swala mawakala wenu msije kulia kwamba walinunuliwa kumbe kura hazikutosha

Maendeleo haya vyama
 
Kutunga stori ni jambo jepesi sana hasa ukiwasimulia wajinga wenzako
Wewe umejifungia hapo sebuleni kwa shemeji yako huwezi kuyajua haya!

Tukiwaambia huku field mna hali mbaya nyie mnabisha mmekomaa na Amsterdam, bure kabisa
 
CCM wamezuia vyama rafiki vyovyote kutoka nje ya nchi kuvisaidia vyama vya upinzani... ili kujaribu kuvidhoofisha.
 
CCM kupitia Ilani yao...walifuta ualimu ngazi ya cheti
IMG_20201006_090936_175.jpg
 
Kweli Kama haya ndio mazungumzo ya NECCCM


Errors zipo ila kubwa tume kutimiza wajibu na wanajua wasipotenda haki itawasumbua. Na wanatenda haki
Hii iko powa sana japo sina uhakika na ukweli wa hizi sauti
2810
 
Mkuu jana kulikuwa na kampeni za mgombea wao wa udiwani hapa ukonga yani hadi huruma.

Mkutano ulikuwa na watu wasiozidi 30,View attachment 1590869

CDM wajue madhara ya kukubali kukaa kimya na kuucha wehu/wendawazimu wa Lissu umtafune yeye na chama cha CDM. Baada ya uchaguzi ndio madhara haya yatavyo jidhihirisha siku zinavyo songa.

Baada ya Lissu kupigwa 28/10/2020 ajue wote wanao mlisha maneno na kumjaza uupuzi wa kuropoka ropoka maneno na mambo ya hovyoo dhidi ya serikali, viongozi wakuu wa nchi na mbaya zaidi kumkejeli Rais, Mkuu wa Nchi na Amiri Jeshi Mkuu-JPM. Ajue atakapo shindwa haraka kabisa mabeberu wakiongozwa na Robertisoni watamuona toilet paper, hili ndio la kwanza, asitegemee zile fadhila za kule ubeligiji zitaendelea, Huu ndio ukweli ni sheria yao hawa,they never keep on betting on a losing horse. Lissu be prepared kama hujui hili, narudia jiaandaee. Kama ulikuwa limbukeni ukafikiri kuwa mgombea wa Urais chadema ndio umemaliza kila kitu na unafikiri kukanyaga vichwa vya watu ndio style, imekula kwako big time.
 
Back
Top Bottom