Uchaguzi 2020 Kwa ukata huu walionao CHADEMA, wataweza kuwagharamia mawakala?

Uchaguzi 2020 Kwa ukata huu walionao CHADEMA, wataweza kuwagharamia mawakala?

Hujui usemalo!

Ndio maana tukiona mnavyobwata humu mkitoa mikwara mbuzi kwa tume kwamba mtashinda huwa tuna wacheka tu.

Unalijua vizuri jimbo la ukonga wewe?
Kwa kadri ya uelewa wangu ndio! na hapo ni uwanja wa FFU!
 
Kwa ushauri huu mwenye akili atakuelewa.
22 days to go [emoji7][emoji1241][emoji120]
 
Suala la uwakala ni moja,suala la msingi kabisa ni kuweza kumaliza mzunguko wa kampeni ambao unategemea hela za watu wanaolalamika maisha ni magumu
 
duuh huko sipajui!na kwenyewe ni ukonga? sio chanika kweli?
Sasa chanika nayo si ipo ukonga?

Kumbe mnasema Lisu atashinda huku mmjifungia ndani?

Zungukeni muone hali halisi ya walipo wapiga kura! Achaneni na page za mitandaoni za kina Fatuma, kigogo na sarungi
 
Sasa chanika nayo si ipo ukonga?

Kumbe mnasema Lisu atashinda huku mmjifungia ndani?

Zungukeni muone hali halisi ya walipo wapiga kura! Achaneni na page za mitandaoni za kina Fatuma, kigogo na sarungi

Cha ajabu sasa hivi kuna wabongo zaidi ya mil. 17 walioko mitandaoni.
Screenshot_2020-09-29-01-42-06-1.jpg
 
Sasa chanika nayo si ipo ukonga?

Kumbe mnasema Lisu atashinda huku mmjifungia ndani?

Zungukeni muone hali halisi ya walipo wapiga kura! Achaneni na page za mitandaoni za kina Fatuma, kigogo na sarungi
Umenichanganya zaidi, unaongelea mipaka kwa muktadha wa serikali kuu au ki-uchaguzi mkubwa! manake najua kuna majimbo mawili huko
 
Kama ilivyokuwa wakati wa TANU ya Nyerere, CHADEMA wanafanya kazi kwa kujitolea. Ugandamizaji wa mkoloni mweupe uliwafanya TANU kuwa kitu kimoja. Na hivyo hivyo, udangamizaji na unyanyasaji wa mkoloni mweusi umewafanya CHADEMA wawe na moyo wa kujitolea. Nyerere angetegemea pesa, asingeiletea nchi uhuru.
 
Kwa ushauri huu mwenye akili atakuelewa.
22 days to go 😍🇹🇿🙏

Kaanza kuelewa na ndio maana tunaendelea kumshauri. Kitendo cha kututulia na kuelewa adhabu ya Tume ni cha kiungwa. Nampongeza Lissu kwa huo uungwana kidogo na kujua ile adhabu ilikuwa from his madness approach ya kampeni zake. Kukiri kukosea ni ujasiri si udhaifu, Lissu amka yako maisha baada ya uchaguzi.
 
Kaanza kuelewa na ndio maana tunaendelea kumshauri. Kitendo cha kututulia na kuelewa adhabu ya Tume ni cha kiungwa. Nampongeza Lissu kwa huo uungwana kidogo na kujua ile adhabu ilikuwa from his madness approach ya kampeni zake. Kukiri kukosea ni ujasiri si udhaifu, Lissu amka yako maisha baada ya uchaguzi.
Tundu amshukuru Mwenyekiti wake sana maana amemsaidia kupunguza mihemko!
Mbowe amekomaa kisiasa, ana uelewa na uzoefu wa kutosha na aliongoza kikao cha kamati kuu sio kwa maslahi ya Tundu na kina amstadam ambao lolote likitokea wanatokomea na kumwachia janga, bali kwa maslahi ya chama chake maana kingeenda kupotea kabisa.
 
Kama watu wanamsubiri mpaka usiku angalau tuu wamsikilize mkombozi wao,na ule umati uliokua unanyeshewa na mvua wakimsikiliza,trust me anao watu wengi ambao wako tayari kuwa mawakala hata bila kulipwa
 
Hoja nyepesi Sana kwa great thinker Kama wewe.inabidi tujitafakali Kama kweli ni great thinker
Ikumbukwe kabla ya kwenda Iringa alikua kapumzika siku tano mfululizo, kukatishwa kwa kampeni na mgombea huyu kwa sababu za kubana matumizi kumelazimisha tume mstopishe kampeni za Lissu ili naye akae nyumbani Kama mgombea wa ccm
 
Subiri 28 ndio utaelewa pesa ndio kila kitu.ndio maana unafanya kazi ili upate amani,upendo,furaha,ujitibu uuguapo,ule vizuri na ufanye uvipendavyo sio kufanya ilimladi siku iende
Money doesn't necessarily answer all things..
 
Sisi wanachama tutachanga na tunaendelea kuchanga. Shime wanachama na wapenzi wa CHADEMA. Kazeni buti. Ingwe iliyobaki ni ndogo na ngumu. Tuendelee kuchangia kampeni na mawakala wetu hadi kieleweke. Mimi ninachangia book 10 leo. Tuwakere hadi basi.
 
Subiri 28 ndio utaelewa pesa ndio kila kitu.ndio maana unafanya kazi ili upate amani,upendo,furaha,ujitibu uuguapo,ule vizuri na ufanye uvipendavyo sio kufanya ilimladi siku iende
Ndo maana nimesema not necessarily. Hii ina maana kwamba Kuna mahali pesa inaswii Kuna mahala haiswii pamoja na kuwepo mahitaji uliyoyataja.
 
We zumbukuku labda ndio unaishi kwa shemejio!!!npo na familia ya yenye watt sita na wake wawili kama unataka nafasi ya 3 jitahd utaipata ikiwa tu una vigezo ninavyovihitaji
Wewe umejifungia hapo sebuleni kwa shemeji yako huwezi kuyajua haya!

Tukiwaambia huku field mna hali mbaya nyie mnabisha mmekomaa na Amsterdam, bure kabisa

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom