Kulwa Jilala
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 3,891
- 8,448
- Thread starter
- #61
Bas alikuwa na mavi meng
Inasikitisha sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bas alikuwa na mavi meng
Wanawake wa namna hii, huwa hawafiki mbali, nakuhakikishia iko siku atarudi, usiache kuleta mrejesho.Ewe mwanamke Agnes kwa nini umeyafanya haya? Yani nimekukaribisha na kuwasululisha vizuri maugomvi yenu alafu nilipoondoka ukafanya haya? Uliomba msamaha wa nini sasa kama bado ulikuwa na kinyongo?
Ni hivi huyu mwanamke ni mpenzi wa mdogo wangu kwa muda wa mwaka mmoja lakini waligombana na kuachana kwa muda wa mwezi mmoja kwa sababu walikuwa na ugomvi, sasa juzi nikaitwa kwenda kuwasikiliza na kila mmoja akafunguka kivyake na mwisho wa siku ikaamuliwa yameisha na kila mmoja asahau yaliyopita, mwanamke akaandaa ugali tukala na mimi nikaendelea na shughuli zangu.
Cha ajabu leo nimepigiwa simu niende nimekuta mwanamke amebeba kilicho chake na kutoroka kusikojulikana na simu zake hazipatikani huku ameacha amejisaidia haja kubwa ya kutosha kwenye mabegi ya nguo za mdogo wangu, amekojolea kwenye unga, sukari, na amepaka mavi kitanda kizima!
Yaani mlango wote umepakwa kinyesi ukiingia tu unakanyaga kinyesi, diaba la maji kinaelea kinyesi! Yaani amekishusha hasa sijui alikula nini tu!
Wana jamiiforums tunaomba mawazo yenu tukimkamata huyu tumfanye nini?
Hapa tupo tunafua nguo, inasikitisha sana kwa umri na busara zangu nilizonazo kufua kinyesi cha mwanamke fulani tu ambaye nilimuheshimu kama shemeji!
safi sanaameacha amejisaidia haja kubwa ya kutosha kwenye mabegi ya nguo za mdogo wangu, amekojolea kwenye unga, sukari, na amepaka mavi kitanda kizima!
Yaani mlango wote umepakwa kinyesi ukiingia tu unakanyaga kinyesi, diaba la maji kinaelea kinyesi! Yaani amekishusha hasa sijui alikula nini tu!
Wanawake wa namna hii, huwa hawafiki mbali, nakuhakikishia iko siku atarudi, usiache kuleta mrejesho.
Uyo dem mchawi, shukuruni hajawatia sumu tu.
Na inaonekana hana shule kabisa hata chembe maana ni mshamba asie na hofu ya Mungu.
Anaonekana anao wa Akiba.
Sio kwa Samaadi yote hiyo.
Ungenitafuta mimi ningelikupa dawa ya kumwagia kinyesi chake angewaka moto tundu lake alilofanyia haja kubwa mpaka angelikuja kukuombeni msamaha amemtia nuksi mdogo wenu kitendo alichofanya ni zaidi ya uchawi poleni sana .Ewe mwanamke Agnes kwa nini umeyafanya haya? Yani nimekukaribisha na kuwasululisha vizuri maugomvi yenu alafu nilipoondoka ukafanya haya? Uliomba msamaha wa nini sasa kama bado ulikuwa na kinyongo?
Ni hivi huyu mwanamke ni mpenzi wa mdogo wangu kwa muda wa mwaka mmoja lakini waligombana na kuachana kwa muda wa mwezi mmoja kwa sababu walikuwa na ugomvi, sasa juzi nikaitwa kwenda kuwasikiliza na kila mmoja akafunguka kivyake na mwisho wa siku ikaamuliwa yameisha na kila mmoja asahau yaliyopita, mwanamke akaandaa ugali tukala na mimi nikaendelea na shughuli zangu.
Cha ajabu leo nimepigiwa simu niende nimekuta mwanamke amebeba kilicho chake na kutoroka kusikojulikana na simu zake hazipatikani huku ameacha amejisaidia haja kubwa ya kutosha kwenye mabegi ya nguo za mdogo wangu, amekojolea kwenye unga, sukari, na amepaka mavi kitanda kizima!
Yaani mlango wote umepakwa kinyesi ukiingia tu unakanyaga kinyesi, diaba la maji kinaelea kinyesi! Yaani amekishusha hasa sijui alikula nini tu!
Wana jamiiforums tunaomba mawazo yenu tukimkamata huyu tumfanye nini?
Hapa tupo tunafua nguo, inasikitisha sana kwa umri na busara zangu nilizonazo kufua kinyesi cha mwanamke fulani tu ambaye nilimuheshimu kama shemeji!
Kafunga mwaka kwa staili yakeAgnes katisha sana
Ungenitafuta mimi ningelikupa dawa ya kumwagia kinyesi chake angewaka moto tundu lake alilofanyia haja kubwa mpaka angelikuja kukuombeni msamaha amemtia nuksi mdogo wenu kitendo alichofanya ni zaidi ya uchawi poleni sana .
Chai [emoji23]
Mkuu we na mdogo wako mna roho ngumu kinoma.Mimi sishiki nya ya mtu mzima Bora ningechoma tu Hilo ghto
NB:WANAWAKEE NI WATOTO WAKUBWAEwe mwanamke Agnes kwa nini umeyafanya haya? Yani nimekukaribisha na kuwasululisha vizuri maugomvi yenu alafu nilipoondoka ukafanya haya? Uliomba msamaha wa nini sasa kama bado ulikuwa na kinyongo?
Ni hivi huyu mwanamke ni mpenzi wa mdogo wangu kwa muda wa mwaka mmoja lakini waligombana na kuachana kwa muda wa mwezi mmoja kwa sababu walikuwa na ugomvi, sasa juzi nikaitwa kwenda kuwasikiliza na kila mmoja akafunguka kivyake na mwisho wa siku ikaamuliwa yameisha na kila mmoja asahau yaliyopita, mwanamke akaandaa ugali tukala na mimi nikaendelea na shughuli zangu.
Cha ajabu leo nimepigiwa simu niende nimekuta mwanamke amebeba kilicho chake na kutoroka kusikojulikana na simu zake hazipatikani huku ameacha amejisaidia haja kubwa ya kutosha kwenye mabegi ya nguo za mdogo wangu, amekojolea kwenye unga, sukari, na amepaka mavi kitanda kizima!
Yaani mlango wote umepakwa kinyesi ukiingia tu unakanyaga kinyesi, diaba la maji kinaelea kinyesi! Yaani amekishusha hasa sijui alikula nini tu!
Wana jamiiforums tunaomba mawazo yenu tukimkamata huyu tumfanye nini?
Hapa tupo tunafua nguo, inasikitisha sana kwa umri na busara zangu nilizonazo kufua kinyesi cha mwanamke fulani tu ambaye nilimuheshimu kama shemeji!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mlete huku shambani kwetu Njombe, hiyo samadi anayotoa itatufaa sana kwenye kilimo chetu cha parachichi
NB:WANAWAKEE NI WATOTO WAKUBWA
Dah [emoji23][emoji23]Ujinga wako na familia yenu unataka ujadiliwe humu ndani? Hebu acha kuwa Kulwa Jingal@la