Club za Simba na Yanga wameshindwa kabisa kubalance usajili wao na kujikita zaidi kupata first eleven ya wageni. Najiuliza aina hii ya usajili itawasaidiaje vijana wa Tanzania wanaopanga kutoka kimaisha kwa fani ya mpira? Lini wataonekana na kutoka?
hebu tuone hao wazawa wanapitia wapi katika safar ya soka
1. anaonekana kwenye ndondo au anajileta mwenywe kwenye yale majaribio ya usajili wa under 20. team inamchumkua hapo yuko around 18/20..
2. akiwa vizur anakaa team B miaka miwili nitatu anaingia team ya wakubwa. anaanza kucheza league anashindana na wachezaj wa team kama
za ndanda, singida, mbao.. team zinazoendeshwa kwa kuunga unga.. katika league ambayo Bingwa anachukua 80m au kusiwe na zawad kabisa. katika league ya viwanja vibovu.. katika league team hazina structure ya kuvumbua vipaji achilia mbali viwanja vyao wenyewe
then umuingize huyu Mashindano ya CAF utegemee akupeleke walau makundi au robo? angalia case za wazir junior, Nchimbi, Ajib na wengineo
Inabid uchague moja.. mnataka League yenu iendelee kuwa league ya ridhaa ama mhamie kwenye professional league
ili ligi yenu itambulike ni professional, inabid muwe na viwanja bora, wachezaji bora, management bora za club na vyama vya soka bora team za vijana bora na miundo mbinu yote kwa ujumla
sasa ili tufike huko ni lazima tuwekeze.. lakin hatuwez kuanza kuweka fedha kwneye viwanja na academy bora bila walau kuwa na jinsi ya kurudisha nusu hasara.. tukiweka fedha huko.
huku tunategemea wachezaj wa ndan tutasubir miaka mingi..
jiulize Azam kweka pesa ndefu leo kwenye league na huko yanga, je sababu ni mzalendo sana au? jibu hapana team zimejiuza na kujiuza huko ni kuwa na wachezaji wa kimataifa
sasa hapa ni kuanza na kuchukua wachezja bora kutengeneza jina la club zetu nje . waje tuwauzie fedha tunayopata tuigawe ingine iende kwenye miundo mbinu hiyo niliosema hapo juu ingine tunawekeza kwenye wachezj wengine bora..
namna hiyo taratibu tutaanza kupanda .. miaka
kadhaa baadae tutakuwa na viwanja na miundo
mbinu bora na wafadhili wa ligi wataweka fedha kubwa zaid sababu tushajiuza.
then mwisho tutasema sasa tuanze kutengeneza kina messi wetu maana hapo tayar tuna uwezo na facilities pia hatutegemei kumuona mchezaj kwenyw ndondo au aje kwenye majaribio ya jumuia ndo tumsajir wala hana ethics za kuwa proffesional player.. kashakauka hawez kukunjika labda mmoja katika kumi
vinginevyo mng'ang'anie kubak na wazawa mtegemee fluke za vikos vya dhahabu vinavyokuja baada ya miaka 20 kama kile cha simba 93, na cha Yanga enz za kina lunyamila