DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
Kodi zetu zinatumika kindezi sana.Naona sasa ni muda muafaka Serkali itunge sheria kuthibiti Haya matumizi mabaya ya Ofisi maana...
Leo hii nimeona video moja ikimuonyesha Naibu waziri Mkuu Mh Dotto Bitteko akiwa kajimilikisha Majeshi yetu na hasa Usalama wa Taifa na Kulindwa na jeshi kubwa Huku akiona sifa kama Anaigiza Muvi ya Kivita hivi..
Jambo kama hili aliwahi kulifanya aliyekuwa mkuu wa mkoa Wa Dar es salaam..
naona sasa imekuwa kama maigizo hivi... Hebu muone hapa chini...
View attachment 2748142
Picha Ya mkuu wa Mkoa enzi hizo
View attachment 2748144
Na hii nyingine..
View attachment 2748150
Sasa nchi ya amani kama hii ulinzi wote huo wa nini hata Rais wa marekani hana ulinzi huoHao walinzi sio wanapangiwa na kitengo Cha ulinzi wa viongozi?
Sasa ushamba upi ?!!!Ushamba tu na ulimbukeni kama ule ule wa dhalim mwendazake
Dokta mzima unaongopa ?!!! [emoji1787][emoji1787][emoji3]Sasa nchi ya amani kama hii ulinzi wote huo wa nini hata Rais wa marekani hana ulinzi huo
Bingwa wa lawama[emoji120]Kodi zetu zinatumika kindezi sana.
Dokta mzima unaongopa ?!!! [emoji1787][emoji1787][emoji3]
Yaani Rais wa US awe na hao walinzi 8?!!!!
Unachekesha walionuna?!!![emoji1787]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Mkuu, labda Rais wa marekani ya kwa Msisi.Sasa nchi ya amani kama hii ulinzi wote huo wa nini hata Rais wa marekani hana ulinzi huo
Mbona waziri hana ulinzi huo ambaye yeye ndo mkubwa..Msaidizi wa WAZIRI MKUU huyo...
Anastahili ulinzi wa hivyo....
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Sana mkuuKodi zetu zinatumika kindezi sana.
Ulinzi wote huo ni matumizi mabaya ya Fedha zetuSasa ushamba upi ?!!!
Kwani ni N/W mkuu ndiye aliyesema apewe idadi hiyo ya walinzi?!???
Mbona hao si wengi.....hawazidi 8....
Kulalamika sana si maungwana [emoji1787][emoji1787]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Jiulize Cheo Cha Naibu waziri mkuu Kiko vp kiulinzi protokali,Naona sasa ni muda muafaka Serkali itunge sheria kuthibiti Haya matumizi mabaya ya Ofisi maana...
Leo hii nimeona video moja ikimuonyesha Naibu waziri Mkuu Mh Dotto Bitteko akiwa kajimilikisha Majeshi yetu na hasa Usalama wa Taifa na Kulindwa na jeshi kubwa Huku akiona sifa kama Anaigiza Muvi ya Kivita hivi..
Jambo kama hili aliwahi kulifanya aliyekuwa mkuu wa mkoa Wa Dar es salaam..
naona sasa imekuwa kama maigizo hivi... Hebu muone hapa chini...
View attachment 2748142
Picha Ya mkuu wa Mkoa enzi hizo
View attachment 2748144
Na hii nyingine..
View attachment 2748150
Kama una picha yoyote Rais wa Marekani akiwa kwenye simple occasion ndani ya nchi yake akiwa na ulinzi kma huo naiombaDokta mzima unaongopa ?!!! [emoji1787][emoji1787][emoji3]
Yaani Rais wa US awe na hao walinzi 8?!!!!
Unachekesha walionuna?!!![emoji1787]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Waziri mkuu mwenyewe Hana huo ulinzi ana usalama na jeahi hawZidi watanoJiulize Cheo Cha Naibu waziri mkuu Kiko vp kiulinzi protokali,
Kama Unadhani ni Rahisi kujimilikisha ulinzi,
Nenda waite ngambo tu uwaambie umewamiliki wakufuate!!
Anyway, tuandike KATIBA mpya tupate solution.