Kwa Ulinzi wa Dotto Biteko, Serikali itunge sheria kudhibiti matumizi mabaya ya Ofisi

Kwa Ulinzi wa Dotto Biteko, Serikali itunge sheria kudhibiti matumizi mabaya ya Ofisi

Ni Kweli naweza kubaliana nawe ni kama ulinzi umezidi,

Lakini kusema amejimilikisha Si sawa,
AtaUnaanzaje bila ruksa Toka juu,
Nahisi wanafanya kusudi Ili MP aonekane hafai, Si unajua tena uswahili!!
Kwani kipindi kile RC wa Dar alipokuwa na jeshi maalumu special force na pia alipokuwa na ulinzi mkubwa alikuwa kapata ruksa kutoka juu
 
Back
Top Bottom