DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
- Thread starter
-
- #21
Nionyeshe kwa ushahidi akiwa katika Local occasion kama ni trump wote tumeshuhudia ulinzi hakuwa mkubwa sana obama naye hivyo hivyoMkuu, labda Rais wa marekani ya kwa Msisi.
Yeah ni kweli kabisa licha ya lupewa Kofia mbili ila bado nishati inamshidna aiseeTusibishane kwa mambo madogo tunataka tuone results mgao migao ya umeme umetuchosha.
Tumpe muda ili tuone matokeo.Yeah ni kweli kabisa licha ya lupewa Kofia mbili ila bado nishati inamshidna aisee
Yeah hilo ni kweli kabisa ila muda kumpa ni vigumu kwa sababu ana kofia kubwa na ndogo ila ndogo naona inataka kumshindaTumpe muda ili tuone matokeo.
Ni Kweli naweza kubaliana nawe ni kama ulinzi umezidi,Waziri mkuu mwenyewe Hana huo ulinzi ana usalama na jeahi hawZidi watano
Kwani kipindi kile RC wa Dar alipokuwa na jeshi maalumu special force na pia alipokuwa na ulinzi mkubwa alikuwa kapata ruksa kutoka juuNi Kweli naweza kubaliana nawe ni kama ulinzi umezidi,
Lakini kusema amejimilikisha Si sawa,
AtaUnaanzaje bila ruksa Toka juu,
Nahisi wanafanya kusudi Ili MP aonekane hafai, Si unajua tena uswahili!!
Kupewa Ofisi sio tu kula maisha tubadili hiyo mindset.ndo wakati wake acha ale maisha,
Ndio aliruhusiwa.Kwani kipindi kile RC wa Dar alipokuwa na jeshi maalumu special force na pia alipokuwa na ulinzi mkubwa alikuwa kapata ruksa kutoka juu
Kama aliruhusiwa ilikuwaje akapata tuhuma za matumizi mabaya ya ofisiNdio aliruhusiwa.
Hizo tuhuma Alipewa na aliyemweka au nani?Kama aliruhusiwa ilikuwaje akapata tuhuma za matumizi mabaya ya ofisi
Ulinzi ni akili Wala sio gwanda na bundukiπ€£π€£π€£π€£π€£Sasa nchi ya amani kama hii ulinzi wote huo wa nini hata Rais wa marekani hana ulinzi huo
π€£π€£Ulinzi ni akili Wala sio gwanda na bundukiπ€£π€£π€£π€£π€£
Hahaha π€£π€£ sasa ndo ushangae kama akivamiwa mpaka watu watoke kwenye prado π€£π€£ wenzetu wanatumia defender...Anyway tuendee kula mtori nyama zipp kwa chiniMbona harmonize ana walinzi 20 hamsemi πππ
Nimeshangaa gari ya escort ni Prado...?!!π€ππ
Kama ndivyo wale Askari wanaolinda mabenki wazitumie tu akili na wasipewe SMG 30 bullets magazine [emoji1787][emoji1787]Ulinzi ni akili Wala sio gwanda na bunduki[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ni prado kwa kuwa huyo ni N/W M....kiulinzi anakuwa chini ya PM naye yuko chini ya VPM na kuendelea....Mbona harmonize ana walinzi 20 hamsemi [emoji23][emoji23][emoji23]
Nimeshangaa gari ya escort ni Prado...?!![emoji848][emoji41][emoji41]