Uchaguzi 2020 Kwa umati uliofurika leo Viwanja vya Matogoro Mjini Tandahimba, ni wazi hakuna wa kumzuia Tundu Lissu kuwa Rais

Cha kushukuru Mungu ni kuwa hata jeshi la wananchi sasa wameanza kuunga mkono wananchi!
 

Haki uhuru, haki na maendeleo vimeeleweka.

Kipindi kilichobaki tuwekeze kwenye kutafuta na kuweka mikakati kuhakikisha uchaguzi unakuwa huru na wa haki.

Haki na uhuru unaozaa amani ni vyetu hatuna wa kumwekea rehani.
 
Sijaona mgombea wa kumshinda Magufuli.

Wapinzani wajiandae kwa kipigo October 28th

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
nani akubali chama kimfie mikononi? watahakikisha wanashinda kwa namna yeyote ile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…