Kwa umri wangu wa 20's ninamiliki nyumba 3, gari 2, viwanja na mashamba kedekede. Unamiliki nini kwa huo umri wako?

Nyie ndio mnafanyaga mkishajulikana nje na JF wakakuta hohehae mwenzetu tunarudishiwa story huku [emoji23]

Wambea tunabaki kusema hihiiiii kila tukiona comments zako
Nacheka kama mazuri[emoji28][emoji28]
 
Aisee siwezi kusema nitalogwa mie namiliki umbeya wangu mwenye na jeuri yangu na kiburi Cha kujenga taifa .

Na mdomo
 
Sawa tunaomba mchongo basi na sisi tumiliki kabla hatujafika 30's
 
Mbona thread zako zimekaa kike sana,,,shusha uzi kama great thinker siyo kuleta mambo ya vijiweni hapa.
 
Bado utajiri wa akili ndio huna. Jitahidi uwe tajiri wa akili pia mkuu.
 
Utajiri mwingine unaweza kuupata ukiwa usingizini, unafilisika usingizi ukiisha.
 

we mtoto hiz kelele zote hizo gari unazo miliki ni aina gani ya gari na hivyo viwanja vipo mkoa gani na eneo gani maana unaweza kuwa unatupigia kelele ukijumlisha huto tuvitu twoooote milion 150 haifiki acha kelele wenye hela hawana kelele siku ukifika bilion moja cash si ndo utatukana mpaka wazaz wako
 
Umerithi au umezitengeneza mwenyewe huu utajiri?
Na je ni fedha halali kweli au zina makandokando?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…