tehteehhh.....[emoji12] [emoji12] [emoji12]Sauti ya kidaslam daslam
Wema anawafuga hao ili awadalalie ndio maana nimeuliza kama ww ni wema spetumimi nilidhani utauliza mimi ndo moses Iyobo unauliza wema???? wema ndo nani kwenye hili swali mbona sioni uhusiano. Sauti ni sauti haibadilishi uanaume wako au uuke wako
Wanaume wa dar!!....Huyo si mume wa aunty!?
Wanaume wa dar!!....Huyo si mume wa aunty!?
Oyaaa unazingua badilisha simuWanaume wa dar!!....Huyo si mume wa aunty!?
Mwanaume asiyekula mihogo ndiyo anakua na mapozi ya kike namna hii.?Mbona kawaida wakuu....
Hahaahaa..
Hali miogo mwenzenu..
hahahaaAnakaa sana na mademu hadi amechukua mapozi ya mkewe
haaaa haaa jamani nimechekaTatizo sio sauti Nyororo ila jinsi anavyoongea na hiyo Sauti yake anavyoitolea puani unaweza ukadhani ni GASHO au NGAPUlila.