Kwa uongo huu wa Serikali ya CCM, natamani kuhama nchi

Kwa uongo huu wa Serikali ya CCM, natamani kuhama nchi

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Reli ya SGR kipande cha Dar - Morogoro imetangazwa kufunguliwa na kuanza kutumika tangu 2021 , lkn ahadi hiyo haitimii. Ni uwongo juu ya uwongo

Hebu tazama ahadi hizi hapa chini, kisha unaiambie nchi hii inafafaa kwa mtu kuendelea kuishi kweli??

Screenshot_20240102-153825.png


Screenshot_20240102-153947.png


Screenshot_20240102-154037.png

Screenshot_20240102-154426.png
 

Attachments

  • Screenshot_20240102-153825.png
    Screenshot_20240102-153825.png
    129.7 KB · Views: 4
Raisi anaelekeza ndio matokeo yake ni heri wa vyuma chakavu waing'oe!
 
Back
Top Bottom