Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Mkuu utakapoanza safari ya kuhama nchi naomba unitaarifu angalau nikutumie buku la kula njiani!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaibuka mwingine anasema kuanzia January 2024 marufuku kuuza ama kununua ardhi ambayo haijapimwa. Ngoja tuoneHahahahaha Jafo kama yupo kwenye kikundi cha futuhi vile😂😂😂😂😂
Hahaha..View attachment 2860140
Hawa CCM Wana kiwanda cha uongo pale Lumumba street..
Kiko wapi sasa? Yeye mwenyewe Jafo kajificha kwao Kisarawe na anapikia mkaa. Msanii sana huyu JafoView attachment 2860140
Hawa CCM Wana kiwanda cha uongo pale Lumumba street..
Kama kuna watanzania wanasubiri hii treni nawapa poleAkina Shabiby na mabasi yao washapenyeza rupia sahau hii reli kuanza kazi..
Hujuma za wenye mabasi ni kubwa mno na nahisi wanapenyeza rushwa kwenye chama treni lisianze kazi
Rais analijua hili anatuzuga tu.
Posts kama hizi zitumike kuombea kura pia🤣🤣🤣Reli ya SGR kipande cha Dar - Morogoro imetangazwa kufunguliwa na kuanza kutumika tangu 2021 , lkn ahadi hiyo haitimii. Ni uwongo juu ya uwongo
Hebu tazama ahadi hizi hapa chini, kisha unaiambie nchi hii inafafaa kwa mtu kuendelea kuishi kweli??
View attachment 2860118
View attachment 2860120
View attachment 2860129
View attachment 2860131
Tulia hivyo, hivyo dawa iingie. Kama mazuri vile!Reli ya SGR kipande cha Dar - Morogoro imetangazwa kufunguliwa na kuanza kutumika tangu 2021
Ni mjinga na lofa tu anayeamini hiki chamaView attachment 2860140
Hawa CCM Wana kiwanda cha uongo pale Lumumba street..
Nchi imefikia uchumi wa kati....Noah kwa kila Mtanzania.....