Kwa Upuuzi huu mkubwa waliousema Redioni, naomba kujua Elimu za Watangazaji Mwakapotela na Mkambala

Kwa Upuuzi huu mkubwa waliousema Redioni, naomba kujua Elimu za Watangazaji Mwakapotela na Mkambala

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Mtangazaji Mwakapotela Magic FM

"Hata kama kuna Ndege ya moja kwa moja kwenda Marekani lakini haziruhusiwi mpaka Kwanza zitue Amsterdam wazipeleleze ndiyo ziruhusiwe sasa Kuruka kwenda huko"

Mtangazaji Mkambala Magic FM

"Siyo lazima hizi Ndege ambazo Serikali inazinunua nawe au kila Mtu apande kwani hata Kitendo chako tu cha Kulipa Kodi na hizo Kodi kutumika Kuzinunua tayari na Wewe Mtanzania jua umeshapanda na si lazima iwe umeipanda"

Na huu Upuuzi wao Wote waliutapika leo Asubuhi katika Kipindi chao cha Morning Magic na nashukuru hata Mr. Google Kibwana Dachi ( ambaye Mightier simshauri aendelee kuwa nao kwani wanamharibia tu ) nae pia alishtuka na Kuwashangaa sana japo akaamua Kukausha tu.

Nimeshajua kwanini Fani ya Uandishi wa Habari kwa sasa inadharaulika mno nchini Tanzania hadi wengine ( kama akina Haji Manara ) walishawaita Takataka na Hayati Rais Mstaafu Mkapa alishawaita Wapumbavu.
 
Kumbe pale Amsterdam patakua hapatosh aisee!😹😹..Yan ndege zote znazoelekea u.s.a ztue sehem1, watuombe radh Hawa jamaa🤒
 
Watangazaji walikua rfa na si Hawa wapenda sifa, siku hizi wanapambana wapate pande la kutangaza wasafi media wakachume mapesa mengi
Na wanajipendekeza kwa mond utazani ni ndg yao yaani Hawa watangazaji nisheeda kwakweli
 
Mtangazaji Mwakapotela Magic FM

"Hata kama kuna Ndege ya moja kwa moja kwenda Marekani lakini haziruhusiwi mpaka Kwanza zitue Amsterdam wazipeleleze ndiyo ziruhusiwe sasa Kuruka kwenda huko"

Mtangazaji Mkambala Magic FM

"Siyo lazima hizi Ndege ambazo Serikali inazinunua nawe au kila Mtu apande kwani hata Kitendo chako tu cha Kulipa Kodi na hizo Kodi kutumika Kuzinunua tayari na Wewe Mtanzania jua umeshapanda na si lazima iwe umeipanda"

Na huu Upuuzi wao Wote waliutapika leo Asubuhi katika Kipindi chao cha Morning Magic na nashukuru hata Mr. Google Kibwana Dachi ( ambaye Mightier simshauri aendelee kuwa nao kwani wanamharibia tu ) nae pia alishtuka na Kuwashangaa sana japo akaamua Kukausha tu.

Nimeshajua kwanini Fani ya Uandishi wa Habari kwa sasa inadharaulika mno nchini Tanzania hadi wengine ( kama akina Haji Manara ) walishawaita Takataka na Hayati Rais Mstaafu Mkapa alishawaita Wapumbavu.
Waambie wapitie IATA kwa kifupi tu, si kweli kuwa dege zote lazima zipitie Amsterdam,
 
Watangazaji walikua rfa na si Hawa wapenda sifa, siku hizi wanapambana wapate pande la kutangaza wasafi media wakachume mapesa mengi
Na wanajipendekeza kwa mond utazani ni ndg yao yaani Hawa watangazaji nisheeda kwakweli
WAACHE wajipendekeze WAPATE KAZI,Sasa wajipendekeze kwako na huna hela ya kuwasaidia
 
WAACHE wajipendekeze WAPATE KAZI,Sasa wajipendekeze kwako na huna hela ya kuwasaidia
Chawa kwenye ubora wake, mkuu pambana hapohapo city fm wasafi hawachukui watu kama nyie msiokuwa na majina kwenye Jamii Wala mvuto,nakusihi acha kujipendekeza mkuu
 
Back
Top Bottom