Kwa urefu huu nawashauri Zitto, Lissu na wengineo msitie mguu

Kwa urefu huu nawashauri Zitto, Lissu na wengineo msitie mguu

Sasa Amiri jeshi mkuu anatangaza vita dhidi ya watu wake mwenyewe au?

Maana kama unadhani majeshi yatamlinda kwenye ajenda yake ya kutoheshimu katiba na sheria basi unamdanganya
 
..yalikuwa maandamano ya ile taasisi ya kutetea haki za binadamu Tz.

..nimeshakupa hint sasa na wewe unapaswa kujiongeza.
Dr Slaa aliwahi kuandamana ili kupigania haki ya chama na raia, kilichomkuta hakikuwa siri kila mtu alijua au anajua. Prof Lipumba pia aliwahi kuandamana kwa sababu zinazofanana na za kina Dr Slaa kilichomkuta na yeye kila mtu alijua au anajua kuwa alivonjwa mpaka mkono. Sasa inawezekana vipi mtu aina ya Lisu aandamane bila kujua kilichomkuta! Anyway mkuu naheshimu ulichoandika lkn sikubaliani na ww.
 
Kwanza natanguliza salam ya Eid Mubarak kwa ndugu zetu waislam wa Tanzania na duniani kwa ujumla. Narudi sasa kwenye mada husika. Ndugu zangu wakati mama wa nchi anakabidhiwa nchi na waliopewa mamlaka ya kumkabidhi nchi kutokana na muongozo wa katiba, aliwahi kutoa onyo mapema ili baadae yatayotokea ya kutokea asije akalaumiwa.

Mama alianza kutoa tahadhari kuhusu urefu wa maji yanayotengenisha mamlaka aliyonayo kama Rais, Amiri Meshi Mkuu na mkuu wa nchi nzima ya Tanzania. Na upande mungine ambao tupo sisi kama raia wa kawaida ambao hatuna mamlaka aliyonayo isipokuwa haki ya msingi tu ya kiraia, ambayo kila mwanachi anayo.

Tahadhari hiyo aliyoitoa mama ni kuwaonya wale wote wanaotaka kutumia njia zisizo sahihi kumfikia kule aliko (katika mamlaka yake) ambapo ni lazima uvuke hayo maji.

Kwahiyo alichofanya mama wa nchi ni kuwapa tahadhari kwamba wasije kujaribu kupima kina cha maji maana ni kirefu kuliko vimo vyao na endapo watakaidi basi wakapoingia na kupotelea humo majini asije akaulizwa au kulaumiwa yeye (wenye akili washaelewa kilichomaanishwa) Wengi walikuwa hawajamuelewa mama wakajua anatania, lkn kwa kilichotokea kwa Mbowe na genge lake, ni ukweli usiopingika kuwa maji yale aliyotahadharisha mama yana kina kirefu kweli kweli na kimewameza wote waliojaribu kutia mguu ili wapime urefu wake.

Pole Mbowe kwa kutanguliza kichwa badala ya miguu kupima kina hicho cha maji. Nina imani kina Lisu, Zito na genge lao hawatofanya kosa alilofanya mwenzao.
Siku akienda Mzena urudi tena kutupa taarifa
 
Haya Mambo hayajaanza leo mwendazake alikuwa nayo na akaenda zake .

Hata Huyo nae ataendazake yeye sio wa kwanza .


Nachoona anajiribu kuonesha umwamba wake tu .


Muda utakuwa muamuzi mzuri
 
Sasa Amiri jeshi mkuu anatangaza vita dhidi ya watu wake mwenyewe au?

Maana kama unadhani majeshi yatamlinda kwenye ajenda yake ya kutoheshimu katiba na sheria basi unamdanganya
Wanaotangaza vita ni wale waliosema watamnyoa kwa wembe wakati hawana hata hela ya kununulia huo wembe. Lkn kingine hauwezi kuamua kufanya mkusanyiko wa watu bila kufuata utaratibu wa kisheria kama vile kuwa na kibali nk.
 
Dr Slaa aliwahi kuandamana ili kupigania haki ya chama na raia, kilichomkuta hakikuwa siri kila mtu alijua au anajua. Prof Lipumba pia aliwahi kuandamana kwa sababu zinazofanana na za kina Dr Slaa kilichomkuta na yeye kila mtu alijua au anajua kuwa alivonjwa mpaka mkono. Sasa inawezekana vipi mtu aina ya Lisu aandamane bila kujua kilichomkuta! Anyway mkuu naheshimu ulichoandika lkn sikubaliani na ww.

..kwasababu hakujeruhiwa na polisi siku ya maandamano ndio inakufanya uamini hayakufanyika?

..hivi umetafuta hizo clip ukazikosa, au unaogopa kuzitafuta kwasababu zitakuwa kinyume na ulichoaminishwa?

..na kama unawataja Dr.Slaa na Prof.Lipumba kwa kupigwa na polisi hata Lissu alipigwa na Polisi wa Tarime kipindi cha JK. Tukio hilo lilitokea wakati akiwatetea wachimbaji wadogo wadogo waliokuwa wakiteswa na kudhulumiwa na serikali.

..Na wakati wa kampeni za 2020 msafara wake ulishambuliwa na Polisi maeneo ya Nyamongo Tarime.
 
..kwasababu hakujeruhiwa na polisi siku ya maandamano ndio inakufanya uamini hayakufanyika?

..hivi umetafuta hizo clip ukazikosa, au unaogopa kuzitafuta kwasababu zitakuwa kinyume na ulichoaminishwa?

..na kama unawataja Dr.Slaa na Prof.Lipumba kwa kupigwa na polisi hata Lissu alipigwa na Polisi wa Tarime kipindi cha JK. Tukio hilo lilitokea wakati akiwatetea wachimbaji wadogo wadogo waliokuwa wakiteswa na kudhulumiwa na serikali.

..Na wakati wa kampeni za 2020 msafara wake ulishambuliwa na Polisi maeneo ya Nyamongo Tarime.
Ok mkuu nimekupata.
 
Kwanza natanguliza salam ya Eid Mubarak kwa ndugu zetu waislam wa Tanzania na duniani kwa ujumla. Narudi sasa kwenye mada husika. Ndugu zangu wakati mama wa nchi anakabidhiwa nchi na waliopewa mamlaka ya kumkabidhi nchi kutokana na muongozo wa katiba, aliwahi kutoa onyo mapema ili baadae yatayotokea ya kutokea asije akalaumiwa.

Mama alianza kutoa tahadhari kuhusu urefu wa maji yanayotengenisha mamlaka aliyonayo kama Rais, Amiri Meshi Mkuu na mkuu wa nchi nzima ya Tanzania. Na upande mungine ambao tupo sisi kama raia wa kawaida ambao hatuna mamlaka aliyonayo isipokuwa haki ya msingi tu ya kiraia, ambayo kila mwanachi anayo.

Tahadhari hiyo aliyoitoa mama ni kuwaonya wale wote wanaotaka kutumia njia zisizo sahihi kumfikia kule aliko (katika mamlaka yake) ambapo ni lazima uvuke hayo maji.

Kwahiyo alichofanya mama wa nchi ni kuwapa tahadhari kwamba wasije kujaribu kupima kina cha maji maana ni kirefu kuliko vimo vyao na endapo watakaidi basi wakapoingia na kupotelea humo majini asije akaulizwa au kulaumiwa yeye (wenye akili washaelewa kilichomaanishwa) Wengi walikuwa hawajamuelewa mama wakajua anatania, lkn kwa kilichotokea kwa Mbowe na genge lake, ni ukweli usiopingika kuwa maji yale aliyotahadharisha mama yana kina kirefu kweli kweli na kimewameza wote waliojaribu kutia mguu ili wapime urefu wake.

Pole Mbowe kwa kutanguliza kichwa badala ya miguu kupima kina hicho cha maji. Nina imani kina Lisu, Zito na genge lao hawatofanya kosa alilofanya mwenzao.
Kwanza jiulize kwa nini Zitto yuko kimyaaa! Zitto huwa anasumbuliwa na mambo ya dini. Uwepo wa Samia yeye anaona naye yuko madarakani. Ndo maana hawezi hata kusema juu ya makato ya miamala wakati siku zote alikimbilia mitandaoni kupata majibu ya kiuchumi, ili ajidai ni mchumi.
 
Kwanza natanguliza salam ya Eid Mubarak kwa ndugu zetu waislam wa Tanzania na duniani kwa ujumla. Narudi sasa kwenye mada husika. Ndugu zangu wakati mama wa nchi anakabidhiwa nchi na waliopewa mamlaka ya kumkabidhi nchi kutokana na muongozo wa katiba, aliwahi kutoa onyo mapema ili baadae yatayotokea ya kutokea asije akalaumiwa.

Mama alianza kutoa tahadhari kuhusu urefu wa maji yanayotengenisha mamlaka aliyonayo kama Rais, Amiri Meshi Mkuu na mkuu wa nchi nzima ya Tanzania. Na upande mungine ambao tupo sisi kama raia wa kawaida ambao hatuna mamlaka aliyonayo isipokuwa haki ya msingi tu ya kiraia, ambayo kila mwanachi anayo.

Tahadhari hiyo aliyoitoa mama ni kuwaonya wale wote wanaotaka kutumia njia zisizo sahihi kumfikia kule aliko (katika mamlaka yake) ambapo ni lazima uvuke hayo maji.

Kwahiyo alichofanya mama wa nchi ni kuwapa tahadhari kwamba wasije kujaribu kupima kina cha maji maana ni kirefu kuliko vimo vyao na endapo watakaidi basi wakapoingia na kupotelea humo majini asije akaulizwa au kulaumiwa yeye (wenye akili washaelewa kilichomaanishwa) Wengi walikuwa hawajamuelewa mama wakajua anatania, lkn kwa kilichotokea kwa Mbowe na genge lake, ni ukweli usiopingika kuwa maji yale aliyotahadharisha mama yana kina kirefu kweli kweli na kimewameza wote waliojaribu kutia mguu ili wapime urefu wake.

Pole Mbowe kwa kutanguliza kichwa badala ya miguu kupima kina hicho cha maji. Nina imani kina Lisu, Zito na genge lao hawatofanya kosa alilofanya mwenzao.

Ngoja mungu aje na 3rd version tuone urefu wa kina
 
Ngoja mungu aje na 3rd version tuone urefu wa kina
Mbona mungu tayar ashaanza kumsogelea mwenyekiti. Juzi kati kaanza na kaka yake, mwenyekiti akakataa watu wasikusanyike msibani. Hii inaonesha kuwa mtoa roho ashasogea karibu na familia ya mwenyekiti. Kuna msemo unasema "ukiona mwenzio ananyolewa na ww tia maji".
 
Kwanza natanguliza salam ya Eid Mubarak kwa ndugu zetu waislam wa Tanzania na duniani kwa ujumla. Narudi sasa kwenye mada husika. Ndugu zangu wakati mama wa nchi anakabidhiwa nchi na waliopewa mamlaka ya kumkabidhi nchi kutokana na muongozo wa katiba, aliwahi kutoa onyo mapema ili baadae yatayotokea ya kutokea asije akalaumiwa.

Mama alianza kutoa tahadhari kuhusu urefu wa maji yanayotengenisha mamlaka aliyonayo kama Rais, Amiri Meshi Mkuu na mkuu wa nchi nzima ya Tanzania. Na upande mungine ambao tupo sisi kama raia wa kawaida ambao hatuna mamlaka aliyonayo isipokuwa haki ya msingi tu ya kiraia, ambayo kila mwanachi anayo.

Tahadhari hiyo aliyoitoa mama ni kuwaonya wale wote wanaotaka kutumia njia zisizo sahihi kumfikia kule aliko (katika mamlaka yake) ambapo ni lazima uvuke hayo maji.

Kwahiyo alichofanya mama wa nchi ni kuwapa tahadhari kwamba wasije kujaribu kupima kina cha maji maana ni kirefu kuliko vimo vyao na endapo watakaidi basi wakapoingia na kupotelea humo majini asije akaulizwa au kulaumiwa yeye (wenye akili washaelewa kilichomaanishwa) Wengi walikuwa hawajamuelewa mama wakajua anatania, lkn kwa kilichotokea kwa Mbowe na genge lake, ni ukweli usiopingika kuwa maji yale aliyotahadharisha mama yana kina kirefu kweli kweli na kimewameza wote waliojaribu kutia mguu ili wapime urefu wake.

Pole Mbowe kwa kutanguliza kichwa badala ya miguu kupima kina hicho cha maji. Nina imani kina Lisu, Zito na genge lao hawatofanya kosa alilofanya mwenzao.
Wewe ni Mr Dudumizi hasa.
Tanzania itafaidika ukibaki huko huko kwenye uDudumizi wako, vinginevyo unatias hasara tu kwenye nchi hii.

Hata hivyo, muwepo madudumizi au la, hakuna kitakachozuia mabadiliko yatokee nchi hii. Wakati umefika sasa mabadiliko hayo kuwepo.

Mnapenda sana kuvitanguliza vyombo vya usalama na ulinzi wa wananchi kama ndivyo vyombo vya kuendelea kuwabakisha nyinyi kwenye madaraka kwa nguvu.
Hivi vyombo ni vya wananchi, hatimaye wenye vyombo vyao wataamua viwafanyie kazi wao na siyo kuwalinda nyini wakandamizaji wa wananchi hao.
 
Kwanza natanguliza salam ya Eid Mubarak kwa ndugu zetu waislam wa Tanzania na duniani kwa ujumla. Narudi sasa kwenye mada husika. Ndugu zangu wakati mama wa nchi anakabidhiwa nchi na waliopewa mamlaka ya kumkabidhi nchi kutokana na muongozo wa katiba, aliwahi kutoa onyo mapema ili baadae yatayotokea ya kutokea asije akalaumiwa.

Mama alianza kutoa tahadhari kuhusu urefu wa maji yanayotengenisha mamlaka aliyonayo kama Rais, Amiri Meshi Mkuu na mkuu wa nchi nzima ya Tanzania. Na upande mungine ambao tupo sisi kama raia wa kawaida ambao hatuna mamlaka aliyonayo isipokuwa haki ya msingi tu ya kiraia, ambayo kila mwanachi anayo.

Tahadhari hiyo aliyoitoa mama ni kuwaonya wale wote wanaotaka kutumia njia zisizo sahihi kumfikia kule aliko (katika mamlaka yake) ambapo ni lazima uvuke hayo maji.

Kwahiyo alichofanya mama wa nchi ni kuwapa tahadhari kwamba wasije kujaribu kupima kina cha maji maana ni kirefu kuliko vimo vyao na endapo watakaidi basi wakapoingia na kupotelea humo majini asije akaulizwa au kulaumiwa yeye (wenye akili washaelewa kilichomaanishwa) Wengi walikuwa hawajamuelewa mama wakajua anatania, lkn kwa kilichotokea kwa Mbowe na genge lake, ni ukweli usiopingika kuwa maji yale aliyotahadharisha mama yana kina kirefu kweli kweli na kimewameza wote waliojaribu kutia mguu ili wapime urefu wake.

Pole Mbowe kwa kutanguliza kichwa badala ya miguu kupima kina hicho cha maji. Nina imani kina Lisu, Zito na genge lao hawatofanya kosa alilofanya mwenzao.
Unamaanisha Mh.naye ni dictator kama CCM wenzake?Hivi hicho kina cha Maji alikitengeneza huyo anayetukataza tusikipime.Hivi CCM na serikali yake inapambana na Raia wake wanaodai Haki zao?Wanafikiria nani atakuwa mshindi mwisho wa Siku?
Historia inatufundisha kuwa Nguvu ya Umma/Wananchi haijawahi kushindwa na watawala.
Tunachohitaji ni Katiba ya Wananchi na hilo siyo hisani.
 
Wewe ni Mr Dudumizi hasa.
Tanzania itafaidika ukibaki huko huko kwenye uDudumizi wako, vinginevyo unatias hasara tu kwenye nchi hii.

Hata hivyo, muwepo madudumizi au la, hakuna kitakachozuia mabadiliko yatokee nchi hii. Wakati umefika sasa mabadiliko hayo kuwepo.

Mnapenda sana kuvitanguliza vyombo vya usalama na ulinzi wa wananchi kama ndivyo vyombo vya kuendelea kuwabakisha nyinyi kwenye madaraka kwa nguvu.
Hivi vyombo ni vya wananchi, hatimaye wenye vyombo vyao wataamua viwafanyie kazi wao na siyo kuwalinda nyini wakandamizaji wa wananchi hao.
Hata mwenyekiti wenu ametumia red brigedia ya chama chake kuilinda katiba aliyoitengeneza mwenyewe ili asitoke madarakani. Nchi hii ina mamb mengi ya msingi yanayohitajika kufanyiwa wananchi, achana na hiyo katiba ambayo wafaidika wakubwa ni wanasiasa wa hovyo wenye lengo la kujaza matumbo yao kupitia hela watazolipwa kweny vikao vya katiba. Watanzania wa miaka ya leo wengi ni wajanja na wenye uelewa wa hali ya juu japo wapo wale bendera fuata upepo na misukule kadhaa inayotumiwa kama ngazi na wanasiasa ili kufikia malengo yao.
 
Kwanza natanguliza salam ya Eid Mubarak kwa ndugu zetu waislam wa Tanzania na duniani kwa ujumla. Narudi sasa kwenye mada husika. Ndugu zangu wakati mama wa nchi anakabidhiwa nchi na waliopewa mamlaka ya kumkabidhi nchi kutokana na muongozo wa katiba, aliwahi kutoa onyo mapema ili baadae yatayotokea ya kutokea asije akalaumiwa.

Mama alianza kutoa tahadhari kuhusu urefu wa maji yanayotengenisha mamlaka aliyonayo kama Rais, Amiri Meshi Mkuu na mkuu wa nchi nzima ya Tanzania. Na upande mungine ambao tupo sisi kama raia wa kawaida ambao hatuna mamlaka aliyonayo isipokuwa haki ya msingi tu ya kiraia, ambayo kila mwanachi anayo.

Tahadhari hiyo aliyoitoa mama ni kuwaonya wale wote wanaotaka kutumia njia zisizo sahihi kumfikia kule aliko (katika mamlaka yake) ambapo ni lazima uvuke hayo maji.

Kwahiyo alichofanya mama wa nchi ni kuwapa tahadhari kwamba wasije kujaribu kupima kina cha maji maana ni kirefu kuliko vimo vyao na endapo watakaidi basi wakapoingia na kupotelea humo majini asije akaulizwa au kulaumiwa yeye (wenye akili washaelewa kilichomaanishwa) Wengi walikuwa hawajamuelewa mama wakajua anatania, lkn kwa kilichotokea kwa Mbowe na genge lake, ni ukweli usiopingika kuwa maji yale aliyotahadharisha mama yana kina kirefu kweli kweli na kimewameza wote waliojaribu kutia mguu ili wapime urefu wake.

Pole Mbowe kwa kutanguliza kichwa badala ya miguu kupima kina hicho cha maji. Nina imani kina Lisu, Zito na genge lao hawatofanya kosa alilofanya mwenzao.
KIONGOZI WA KUNDI LA MORON
 
Hata mwenyekiti wenu ametumia red brigedia ya chama chake kuilinda katiba aliyoitengeneza mwenyewe ili asitoke madarakani. Nchi hii ina mamb mengi ya msingi yanayohitajika kufanyiwa wananchi, achana na hiyo katiba ambayo wafaidika wakubwa ni wanasiasa wa hovyo wenye lengo la kujaza matumbo yao kupitia hela watazolipwa kweny vikao vya katiba. Watanzania wa miaka ya leo wengi ni wajanja na wenye uelewa wa hali ya juu japo wapo wale bendera fuata upepo na misukule kadhaa inayotumiwa kama ngazi na wanasiasa ili kufikia malengo yao.
Nilitaka kukueleza kuwa kawaida yangu si kujibishana na watu kama wewe, lakini itanibidi nikujibu tena kwa mara nyingine kwa haya uliyoandika hapo juu.

Unachosema hapa ni kwamba katiba iliyopo inawanufaisha CCM kuendelea kuhodhi madaraka hata kama wananchi hawataki.
Kwa hiyo kwa maoni yako hilo ni bora zaidi, kwa vile CCM wananufaika na katiba hiyo.

Haya ni mawazo ya kiDudumizi hasa!

Sina muda wa kuendelea na wewe.
 
Unamaanisha Mh.naye ni dictator kama CCM wenzake?Hivi hicho kina cha Maji alikitengeneza huyo anayetukataza tusikipime.Hivi CCM na serikali yake inapambana na Raia wake wanaodai Haki zao?Wanafikiria nani atakuwa mshindi mwisho wa Siku?
Historia inatufundisha kuwa Nguvu ya Umma/Wananchi haijawahi kushindwa na watawala.
Tunachohitaji ni Katiba ya Wananchi na hilo siyo hisani.
Serikali inakunyima haki ipi mkuu? Ushawahi kuzuiwa kutoka nje ya nyumba yako? ushawahi kuzuiwa kwenda hospital ukapate tiba yako? ushawahi kukatazwa usipande basi au kutembea na gari yako? Ushawahi kukatazwa kula chakula chako? I mean hiyo haki unayozungumzia hapa inahusu zaidi masilahi ya wanasiasa katika harakati zao za kutafuta kupiga hela kupitia vikao vya katiba kama ilivyotokea kwa ile katiba ya mwanzo. Ww kama mwananchi wa kawaida unatumiwa tu kama daraja na wanasiasa hao ili wafikie malengo yao. Ila swala la kunyimwa haki raia kama raia halina mashiko.
 
Nilitaka kukueleza kuwa kawaida yangu si kujibishana na watu kama wewe, lakini itanibidi nikujibu tena kwa mara nyingine kwa haya uliyoandika hapo juu.

Unachosema hapa ni kwamba katiba iliyopo inawanufaisha CCM kuendelea kuhodhi madaraka hata kama wananchi hawataki.
Kwa hiyo kwa maoni yako hilo ni bora zaidi, kwa vile CCM wananufaika na katiba hiyo.

Haya ni mawazo ya kiDudumizi hasa!

Sina muda wa kuendelea na wewe.
Wananchi gani unaowazungumzia hapa? Labda unamaanisha wananchi ambao ni chadema. Na hao nchini hawafiki hata milioni 5 katika nchi yenye raia milioni 65.
 
Back
Top Bottom