Kwa Usajili huu mzuri na Kabambe kabisa unaofanywa na Yanga SC sasa, bila shaka Makocha wao wapya kutoka nchini Hispania ni hawa wafuatao

Kama Waziri aliweza kufunga goli 13 kwa timu iliyoshuka daraja, atashindwa vp kufunga zaidi ya hizo kwa timu iliyoshika nafasi ya pili?
 
Mkuu utakua ufuatilii ligi yetu kwa umakini,wachezaji waliosajiliwa mpaka sasa mbona ni wachezaji wazuri mno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…