Binafsi kama mshabiki wa Yanga, mpaka sasa naona mchezaji aliyesajiliwa na kujitosheleza kila idara, ni Bakary 'Nondo' Mwamnyeto tu.
Kwa upande wa hao wengine naona ni wachezaji wa kawaida sana. Sijui lakini, ila kuna umuhimu kwa viongozi wa timu kufanya usajili kwa umakini. Yaani Waziri Junior ndiyo atubebe msimo ujao kwenye ukame wa mabao uliotukumba msimu huu!!!
Atanisamehe tu, ila simuamini hata kidogo.