Kwa usalama wa nchi yetu, huyu afande anafaa kuwa IGP ajaye

Kwa usalama wa nchi yetu, huyu afande anafaa kuwa IGP ajaye

Mr Dudumizi

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2020
Posts
7,799
Reaction score
14,215
Habari za asubuhi wana JF wenzangu.

Ndugu zang baada ya kufuatilia kwa makini utendaji wa kazi unaofanywa na jeshi la polisi, pamoja na mbinu mbalimbali zinazotumiwa na makanda wa jeshi hilo katika jitihada za kupambana na uhalifu nchini, hasa kwa mkoa wenye uhalifu mwingi kama Dar es Salaam.

Kwa kweli nilikuwa nashauri kwamba ikitokea IGP Simon Sirro amemaliza muda wake wa utumishi katika jeshi hilo kwa mujibu wa sheria, basi ikimpendeza Mh Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mama Samia Suluhu Hassan amteuwe kamanda Jummane Muliro kuwa IGP mpya wa jeshi hilo, ili kushika nafasi itakayoachwa na Sirro.

Huyu kamanda amekuwa akipambana na uhalifu kwa njia zote za kijeshi, na mapambano yake huwa yanaleta ahueni kwa wananchi. Kamanda Muliro ni mwiba mkali kwa wahalifu wa aina zote nchini, na kamwe hajawahi kushindwa na wahalifu.

Nawasilisha mawazo huru.

images (64).jpeg
 
Ilitakiwa IGP wasasa ndiye atoe mapendekezo ya nani anafaa kurithi mikoba yake,sasa kama unavyojua,Sirro na mama kama haziivi,hasa ukirejea ile hali iliyokua imekithiri ya kurushiana maneno kipindi flani,mama akilishutumu jeshi la polisi kutofanya kazi yake vyema.Hapo subirini tu itakavyompendeza mama na watu wake wanaompa information mbalimbali.Kwanza ninavyojua kwa hali iliyopo,hata Sirro akiwa anastaafu,atamuaga kimyakimya tena kwa barua,na siyo uso kwa uso,mama atakuta barua mezani,imewekwa na msaidizi wake,tofauti na Mabeyo alivyofanya.
 
Habari za asubuhi wana JF wenzangu. Ndugu zang baada ya kufuatilia kwa makini utendaji wa kazi unaofanywa na jeshi la polisi, pamoja na mbinu mbalimbali zinazotumiwa na makanda wa jeshi hilo katika jitihada za kupambana na uhalifu nchini, hasa kwa mkoa wenye uhalifu mwingi kama Dar es Salaam. Kwa kweli nilikuwa nashauri kwamba ikitokea IGP Simon Sirro amemaliza muda wake wa utumishi katika jeshi hilo kwa mujibu wa sheria, basi ikimpendeza mh raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na amiri jeshi mkuu mama Samia Suluhu Hassan amteuwe kamanda Jummane Muliro kuwa IGP mpya wa jeshi hilo, ili kushika nafasi itakayoachwa na Sirro. Huyu kamanda amekuwa akipambana na uhalifu kwa njia zote za kijeshi, na mapambano yake huwa yanaleta ahueni kwa wananchi. Kamanda M. We uliro ni mwiba mkali kwa wahalifu wa aina zote nchini, na kamwe hajawahi kushindwa na wahalifu. Nawasilisha mawazo huru.
Hivi vyeo vyote havina maana na tija wakati kuna mfumuko wa bei na hakuna hatua yoyote madhubuti inachukuliwa. We want food. We want to feel something in our fakin stomachs. Stop playing with Tanzanians lives hali ni mbaya.
 
Habari za asubuhi wana JF wenzangu. Ndugu zang baada ya kufuatilia kwa makini utendaji wa kazi unaofanywa na jeshi la polisi, pamoja na mbinu mbalimbali zinazotumiwa na makanda wa jeshi hilo katika jitihada za kupambana na uhalifu nchini, hasa kwa mkoa wenye uhalifu mwingi kama Dar es Salaam. Kwa kweli nilikuwa nashauri kwamba ikitokea IGP Simon Sirro amemaliza muda wake wa utumishi katika jeshi hilo kwa mujibu wa sheria, basi ikimpendeza mh raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na amiri jeshi mkuu mama Samia Suluhu Hassan amteuwe kamanda Jummane Muliro kuwa IGP mpya wa jeshi hilo, ili kushika nafasi itakayoachwa na Sirro. Huyu kamanda amekuwa akipambana na uhalifu kwa njia zote za kijeshi, na mapambano yake huwa yanaleta ahueni kwa wananchi. Kamanda Muliro ni mwiba mkali kwa wahalifu wa aina zote nchini, na kamwe hajawahi kushindwa na wahalifu. Nawasilisha mawazo huru.

Muuaji Muliro, Damu za watu zitamuandama hadi kaburini
 
Vema ila pia tuwe tunajikumbusha wapi tuliko jikwaa sio kuangukia,crime kubwa inasababishwa na social injustices tulizokua nazo, mtu hawezi kuamka asubuhi na kuamua kuwa jambazi lazima kuna sababu zimemsukuma afanye hivyo, our leaders they must think out of box sio kufikiria matumbo yao, na tuelewe ni court of laws pekee zenye uwezo wa kuhukumu sio police, jambazi anapokimbia kutoka kwenye crime scene police huruhusiwi to use a deadly force, hii inatumika pale tu usalama wa raia au yeye police unapokua in danger.
 
Habari za asubuhi wana JF wenzangu.

Ndugu zang baada ya kufuatilia kwa makini utendaji wa kazi unaofanywa na jeshi la polisi, pamoja na mbinu mbalimbali zinazotumiwa na makanda wa jeshi hilo katika jitihada za kupambana na uhalifu nchini, hasa kwa mkoa wenye uhalifu mwingi kama Dar es Salaam.

Kwa kweli nilikuwa nashauri kwamba ikitokea IGP Simon Sirro amemaliza muda wake wa utumishi katika jeshi hilo kwa mujibu wa sheria, basi ikimpendeza Mh Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mama Samia Suluhu Hassan amteuwe kamanda Jummane Muliro kuwa IGP mpya wa jeshi hilo, ili kushika nafasi itakayoachwa na Sirro.

Huyu kamanda amekuwa akipambana na uhalifu kwa njia zote za kijeshi, na mapambano yake huwa yanaleta ahueni kwa wananchi. Kamanda Muliro ni mwiba mkali kwa wahalifu wa aina zote nchini, na kamwe hajawahi kushindwa na wahalifu.

Nawasilisha mawazo huru.
Muliro ni mkubwa kwa sirro.
Sirro Bado young na tupo naye sana tu.

Sirro aliwahi kuukwaa u IGP
Na hapa anatafrani na mama yenu na huyo mama yenu hawezi na Hana ubavu wa kumtengu sirro.[emoji41]
 
Ilitakiwa IGP wasasa ndiye atoe mapendekezo ya nani anafaa kurithi mikoba yake,sasa kama unavyojua,Sirro na mama kama haziivi,hasa ukirejea ile hali iliyokua imekithiri ya kurushiana maneno kipindi flani,mama akilishutumu jeshi la polisi kutofanya kazi yake vyema.Hapo subirini tu itakavyompendeza mama na watu wake wanaompa information mbalimbali.Kwanza ninavyojua kwa hali iliyopo,hata Sirro akiwa anastaafu,atamuaga kimyakimya tena kwa barua,na siyo uso kwa uso,mama atakuta barua mezani,imewekwa na msaidizi wake,tofauti na Mabeyo alivyofanya.
Kwanza ondoeni hii dhana iliyojengeka vichwani mwa watu wengi kuwa Wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama wanapomaliza muda wao eti wanapendekeza wanaofaa kushika nafasi hizo. HAIPO HIVYO NDUGU ZANGU. Japo rais akiona inafaa anaweza kumuuliza, lakini hafungwi na ushauri. Kinachoweza kufanyika ni Rais kupata CV za Makamanda kisha wazee wa vetting wanaendelea na yao.
 
Habari za asubuhi wana JF wenzangu.

Ndugu zang baada ya kufuatilia kwa makini utendaji wa kazi unaofanywa na jeshi la polisi, pamoja na mbinu mbalimbali zinazotumiwa na makanda wa jeshi hilo katika jitihada za kupambana na uhalifu nchini, hasa kwa mkoa wenye uhalifu mwingi kama Dar es Salaam.

Kwa kweli nilikuwa nashauri kwamba ikitokea IGP Simon Sirro amemaliza muda wake wa utumishi katika jeshi hilo kwa mujibu wa sheria, basi ikimpendeza Mh Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mama Samia Suluhu Hassan amteuwe kamanda Jummane Muliro kuwa IGP mpya wa jeshi hilo, ili kushika nafasi itakayoachwa na Sirro.

Huyu kamanda amekuwa akipambana na uhalifu kwa njia zote za kijeshi, na mapambano yake huwa yanaleta ahueni kwa wananchi. Kamanda Muliro ni mwiba mkali kwa wahalifu wa aina zote nchini, na kamwe hajawahi kushindwa na wahalifu.

Nawasilisha mawazo huru.
Ndo umemmaliza kabisa.
 
Habari za asubuhi wana JF wenzangu.

Ndugu zang baada ya kufuatilia kwa makini utendaji wa kazi unaofanywa na jeshi la polisi, pamoja na mbinu mbalimbali zinazotumiwa na makanda wa jeshi hilo katika jitihada za kupambana na uhalifu nchini, hasa kwa mkoa wenye uhalifu mwingi kama Dar es Salaam.

Kwa kweli nilikuwa nashauri kwamba ikitokea IGP Simon Sirro amemaliza muda wake wa utumishi katika jeshi hilo kwa mujibu wa sheria, basi ikimpendeza Mh Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mama Samia Suluhu Hassan amteuwe kamanda Jummane Muliro kuwa IGP mpya wa jeshi hilo, ili kushika nafasi itakayoachwa na Sirro.

Huyu kamanda amekuwa akipambana na uhalifu kwa njia zote za kijeshi, na mapambano yake huwa yanaleta ahueni kwa wananchi. Kamanda Muliro ni mwiba mkali kwa wahalifu wa aina zote nchini, na kamwe hajawahi kushindwa na wahalifu.

Nawasilisha mawazo huru.
Ushamuharibiya.
 
Sirro na Muliro nadhani umri unalingana,wakati Muliro akiwa Mkufunzi CCP Depo ya mwaka 1998/1999 akiwa na Nyota Moja(Assistant Inspekta), Sirro alikuwa Mkuu wa Upelelezi Magomeni akiwa ana Nyota Tatu,Muliro alichelewa sana kupanda Vyeo,ndio maana Kuruta wengi aliowapokea Depo CCP na kuwafundisha,leo hii wamemzidi Vyeo na wengine yupo nao Vyeo sawa[emoji3]ndio mambo ya Jeshi yalivyo
 
Habari za asubuhi wana JF wenzangu.

Ndugu zang baada ya kufuatilia kwa makini utendaji wa kazi unaofanywa na jeshi la polisi, pamoja na mbinu mbalimbali zinazotumiwa na makanda wa jeshi hilo katika jitihada za kupambana na uhalifu nchini, hasa kwa mkoa wenye uhalifu mwingi kama Dar es Salaam.

Kwa kweli nilikuwa nashauri kwamba ikitokea IGP Simon Sirro amemaliza muda wake wa utumishi katika jeshi hilo kwa mujibu wa sheria, basi ikimpendeza Mh Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mama Samia Suluhu Hassan amteuwe kamanda Jummane Muliro kuwa IGP mpya wa jeshi hilo, ili kushika nafasi itakayoachwa na Sirro.

Huyu kamanda amekuwa akipambana na uhalifu kwa njia zote za kijeshi, na mapambano yake huwa yanaleta ahueni kwa wananchi. Kamanda Muliro ni mwiba mkali kwa wahalifu wa aina zote nchini, na kamwe hajawahi kushindwa na wahalifu.

Nawasilisha mawazo huru.
Nimecheka Sana ,hizi nafasi ni za kupendekeza tu, nilisema hapa jf akaja mtu nielimisha ,hamna kitu mkuu siasa ,za tz za kipumbavu
 
Ilitakiwa IGP wasasa ndiye atoe mapendekezo ya nani anafaa kurithi mikoba yake,sasa kama unavyojua,Sirro na mama kama haziivi,hasa ukirejea ile hali iliyokua imekithiri ya kurushiana maneno kipindi flani,mama akilishutumu jeshi la polisi kutofanya kazi yake vyema.Hapo subirini tu itakavyompendeza mama na watu wake wanaompa information mbalimbali.Kwanza ninavyojua kwa hali iliyopo,hata Sirro akiwa anastaafu,atamuaga kimyakimya tena kwa barua,na siyo uso kwa uso,mama atakuta barua mezani,imewekwa na msaidizi wake,tofauti na Mabeyo alivyofanya.
Kama haya unayoyasema ni ya kweli, basi mwenye tatizo ni huyo mungine, mama hana tatizo nae. Laiti kama mama angekuwa na tatizo nae, basi jamaa angekuwa asharudishwa kijiji kwao akalime mihogo kama walivyorudishwa akina Bashiru, PolePole na wengineo. Na asingefanya chochote.
 
Kama haya unayoyasema ni ya kweli, basi mwenye tatizo ni huyo mungine, mama hana tatizo nae. Laiti kama mama angekuwa na tatizo nae, basi jamaa angekuwa asharudishwa kijiji kwao akalime mihogo kama walivyorudishwa akina Bashiru, PolePole na wengineo. Na asingefanya chochote.
Sidhani kama ni rahisi kiasi hicho,nadhani ndiyomaana jamaa alikua anajibu vile.Kumuondoa kihivyo haiswii sana.Mama kaona ngoja amalizie muda wake,mambo yaishie hapo.
 
Hivi vyeo vyote havina maana na tija wakati kuna mfumuko wa bei na hakuna hatua yoyote madhubuti inachukuliwa. We want food. We want to feel something in our fakin stomachs. Stop playing with Tanzanians lives hali ni mbaya.
Hahaha.. ujumbe wako umefika mkuu, nina imani kuna wahusika humu watalifanyia kazi swala lako.
 
Sidhani kama ni rahisi kiasi hicho,nadhani ndiyomaana jamaa alikua anajibu vile.Kumuondoa kihivyo haiswii sana.Mama kaona ngoja amalizie muda wake,mambo yaishie hapo.
Mkuu kwa katiba yetu na madaraka makubwa aliyonayo raisi, ni rahisi sana kumchomoa huyo jamaa. Ni kitendo cha raisi kumuagiza katibu mkuu kiongozi atangaze kwamba raisi amemteuwa fulani kuwa IGP, na IGP wa sasa amepangiwa kazi nyingine ya kufanya. Basi hapo kazi inakuwa imekwisha na kwa madaraka makubwa aliyokuwa nayo raisi, jamaa atakuwa hana lolote la kumfanya zaidi ya kunung"unukia pembeni tu. Si unakumbuka ilikuaje kwa IGP Ernest Mangu? Sema kama nilivyokwambia kuwa kama kweli kuna kutoelewana, basi ni jamaa ndo mwenye tatizo ila sio mama.
 
Back
Top Bottom