Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Sisi tutapeleka kikosi cha 2... Wao watajua wenyeweUshindi huu mkubwa walioupata Simba ni furaha kubwa kwao leo hiii, ila huko Morroco unaweza kuwagharimu.
Sababu moja kubwa ni kuwa, kama Raja walikuwa wanaichukulia poa Simba , sasa watalazimika k,ubadili mtazamo na kuikabilli Simba kama vile wanasaka point tatu muhimu japo wameshafuzu.
Muda utaongea.
Mtafanya hivyo kujihami ila mjue mtaandika historia ya aibu.Sisi tutapeleka kikosi cha 2... Wao watajua wenyewe
Sent from my M2010J19SI using JamiiForums mobile app
Raja wapange full mziki ili kutafuta kipi? Kwa namna yote hata afungwe goli ngapi lazima wao tu wawe kinara wa kundi. Point alizonazo hazifikiwi na yeyote yuleUshindi huu mkubwa walioupata Simba ni furaha kubwa kwao leo hiii, ila huko Morroco unaweza kuwagharimu.
Sababu moja kubwa ni kuwa, kama Raja walikuwa wanaichukulia poa Simba , sasa watalazimika k,ubadili mtazamo na kuikabilli Simba kama vile wanasaka point tatu muhimu japo wameshafuzu.
Muda utaongea.
Umeelewa point yangu?Raja wapange full mziki ili kutafuta kipi? Kwa namna yote hata afungwe goli ngapi lazima wao tu wawe kinara wa kundi. Point alizonazo hazifikiwi na yeyote yule
Huu mda ungekua unahangaika na team yako ya utopoloo, sisi tumeshaenda robo final.Mtafanya hivyo kujihami ila mjue mtaandika historia ya aibu.
Mtamaliza nadharia zote leo.Ushindi huu mkubwa walioupata Simba ni furaha kubwa kwao leo hiii, ila huko Morroco unaweza kuwagharimu.
Sababu moja kubwa ni kuwa, kama Raja walikuwa wanaichukulia poa Simba , sasa watalazimika kubadili mtazamo na kuikabilli Simba kama vile wanasaka point tatu muhimu japo wameshafuzu.
Muda utaongea.
Na hatutoumia maana sisi mashabiki hatuna tunachowadai wachezaji na benchi la ufundisimba watapigwa kama ngoma
Msamehe jamaa amechanganyikiwa!!Umeelewa point yangu?