reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,203
- 28,789
Hapo Sasa kwanza wapumzike TU wapeleke Simba BKwan Simba SC wanauhitaji ushindi dhidi ya Raja uwapeleke wapi????
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo Sasa kwanza wapumzike TU wapeleke Simba BKwan Simba SC wanauhitaji ushindi dhidi ya Raja uwapeleke wapi????
Ushindi wa Simba ni mchungu Kwa Yanga kuliko hororyaHuu mda ungekua unahangaika na team yako ya utopoloo, sisi tumeshaenda robo final.
Poleeeeeee sana, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ushindi huu mkubwa walioupata Simba ni furaha kubwa kwao leo hiii, ila huko Morroco unaweza kuwagharimu.
Sababu moja kubwa ni kuwa, kama Raja walikuwa wanaichukulia poa Simba , sasa watalazimika kubadili mtazamo na kuikabilli Simba kama vile wanasaka point tatu muhimu japo wameshafuzu.
Muda utaongea.
Hatuhitaji ushauri wako, kwendraaaaaUshindi huu mkubwa walioupata Simba ni furaha kubwa kwao leo hiii, ila huko Morroco unaweza kuwagharimu.
Huo muda kila mechi ya Simba inapoisha tunaambiwa utaongea. Muwe mnaurekodi basi, au unaahirisha kuongea?Ushindi huu mkubwa walioupata Simba ni furaha kubwa kwao leo hiii, ila huko Morroco unaweza kuwagharimu.
Muda utaongea.
Uliongea pale mlipopigwa tatu mtungi na Raja nyumbani.Huo muda kila mechi ya Simba inapoisha tunaambiwa utaongea. Muwe mnaurekodi basi, au unaahirisha kuongea?
Soma viziuri hiyo sentesi.Point 3 muhimu za nini wakati point zao hakuna timu inaweza kufikia kweenye kundi?
Unazungumza tatu wakati tulipigwa 5x2 na bado tukafuzu robo? 😁Uliongea pale mlipopigwa tatu mtungi na Raja nyumbani.
Shangaa wee mlongo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ushindi wa Simba ni mchungu Kwa Yanga kuliko hororya
Haihuu hata kidogo....wanaumwa Leo kuna mtu kalala mapema mnooo hapa kwetuShangaa wee mlongo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Inahuu??
Ushauri apeleke angazaHatuhitaji ushauri wako, kwendraaaaa
Mkifungwa msiseme mlienda kufanya mazoezi.Umechanganyikiwa wewe,kwanza sisi simba hiyo mechi tunaenda kufanya mazoezi tu.!! Pambana na tumu lako kesho linacheza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aamshwee haraka sanaa.Haihuu hata kidogo....wanaumwa Leo kuna mtu kalala mapema mnooo hapa kwetu