Kwa ushindi huu wa Simba, Raja hawawezi kupanga kikosi cha pili, hivyo Simba mjipange

Huu mda ungekua unahangaika na team yako ya utopoloo, sisi tumeshaenda robo final.
Poleeeeeee sana, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ushindi wa Simba ni mchungu Kwa Yanga kuliko hororya
 
Simba na Raja wote washafuzu,iyo mechi itakua ya maandalizi ya robo uko kuangalia mapungufu na kujazia jazia nyama.
 
Hiyo ni mechi ya kukamilisha tu ratiba....hawawezi kujitesa kiasi hicho.
 
Umechanganyikiwa wewe,kwanza sisi simba hiyo mechi tunaenda kufanya mazoezi tu.!! Pambana na tumu lako kesho linacheza
 
Shangaa wee mlongo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Inahuu??
Haihuu hata kidogo....wanaumwa Leo kuna mtu kalala mapema mnooo hapa kwetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…