mitale na midimu
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 10,420
- 17,735
Uchaguzi ni suala nyeti.
Lazima Tume ihakikishe yenyewe inawashauri wanaokosea kurekebisha.
Kwa Lugha nyingine udhaifu wa form usiwe kosa la Mgombea bali TUME.
Hivi inguwaje kama nchi ingemkosa JPM na LISSU kwenye uchaguzi kisa eti wino, au Picha au sahihi au muandiko kwa mfano.
Tusibobee kwenye asilimia 20 inayoweza kuleta madhara 80%. Itashangaza sana mwaka 1995 Wagombea waliweza kujaza bila kukatwa hivi, Leo dunia ya kisiasa zaidi 2020 eti watu hawawezi kujaza form. Taarifa hii ikiifikia dunia ni aibu kwa taifa.
Sisemi hii kwa Sababu ya Wapinzani. Bali zaidi kama ingethibitika JPM alikosea kujaza form hivyo akakatwa ujumbe huu ungeliabisha taifa pakubwa, na leo wanatushangaa.
NEC hata kama mnatuhumiwa kwa kutokuwa huru, ila hili la kujaza form mlifanyie marekebisho hata baada ya Uchaguzi huu.
Lazima Tume ihakikishe yenyewe inawashauri wanaokosea kurekebisha.
Kwa Lugha nyingine udhaifu wa form usiwe kosa la Mgombea bali TUME.
Hivi inguwaje kama nchi ingemkosa JPM na LISSU kwenye uchaguzi kisa eti wino, au Picha au sahihi au muandiko kwa mfano.
Tusibobee kwenye asilimia 20 inayoweza kuleta madhara 80%. Itashangaza sana mwaka 1995 Wagombea waliweza kujaza bila kukatwa hivi, Leo dunia ya kisiasa zaidi 2020 eti watu hawawezi kujaza form. Taarifa hii ikiifikia dunia ni aibu kwa taifa.
Sisemi hii kwa Sababu ya Wapinzani. Bali zaidi kama ingethibitika JPM alikosea kujaza form hivyo akakatwa ujumbe huu ungeliabisha taifa pakubwa, na leo wanatushangaa.
NEC hata kama mnatuhumiwa kwa kutokuwa huru, ila hili la kujaza form mlifanyie marekebisho hata baada ya Uchaguzi huu.