Kwa ustawi wa CHADEMA kama chama cha siasa, panahitajika maridhiano baina ya viongozi wake waandamizi na wanachama wote kwa ujumla

Kwa ustawi wa CHADEMA kama chama cha siasa, panahitajika maridhiano baina ya viongozi wake waandamizi na wanachama wote kwa ujumla

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Hakuna haja ya kujipiga kifua, kujidanganya na kuhadaa umma eti chadema hakuna mgawanyiko wala mafarakano na vita ya chini kwa chini miongoni mwa viongozi wake wa andaminizi, hasa kambi ya mwenyekiti taifa na makamu mwenyekiti wa Chadema taifa.

Ukweli usemwe ndrugu zango kwenye changamoto za wazi kabisa. Kama mtaalamu na mbobevu katika siasa, utawala na dipolomasia, mawaidha yangu ni mafupi tu.

Chadema mketi chini pamoja, zungumzeni yale yanayowafanya kuonekana mko tofauti na mmegawanyika, ridhianeni kwa amani katika meza ya mazungumzo, na hatimae mtoke na maazimio ya pamoja, kwa sauti moja na uelekeo moja kuelekea mbele.

Kinyume na hapo, vita hii baridi ya maneno inayoendelea, ikibadilika na kua vita ya vitendo, inaweza kuleta hatari kubwa zaidi na hata kuhatarisha maisha na uhai wa watu, kwasababu tu ya uchu, uroho na tamaa ya mali za chama na madaraka ndani ya chadema.🐒

Mungu Ibarki Tanzania.
 
Gentleman,
andikia uzi kwa faida ya wadau, but zingatia mawaidha kwenye hoja ya msingi mezani dhidi ya Chadema,

ni muhimu sana 🐒
Anza na CCM ambayo inaishi kwa mkono wa dola pekee, tangu Oct 2023 wameondoka KM, Makamu na Mwenezi dani ya miezi 5
 
Ulishindwa kuwashauri Samia na Kinana uje kuishauri Chadema, chipukizi wa CCM vilaza sana.
 
Anza na CCM ambayo inaishi kwa mkono wa dola pekee, tangu Oct 2023 wameondoka KM, Makamu na Mwenezi dani ya miezi 5
Gentleman,
hoja mahususi mezani iko wazi, na ni kwa mustakabali mwema wa uhai na ustawi wa chadema kama chama cha kisiasa.

Ni muhimu sana,
kuelekeza jitihada na dhamira zetu njema katika kuisaidia chadema kurejesha ushawishi wake kwa wananchi.

hakuna haja wala sababu hata moja kuhangaika wala kubabaika na vyama vingine ambavyo ni imara na havina migawanyi na uhasama kama chadema.

Tuwe wangwana ndugu zangu wadau, tuionee huruma chadema, inapotea hivi hivi tunaona 🐒
 
Gentleman,
hoja mahususi mezani iko wazi, na ni kwa mustakabali mwema wa uhai na ustawi wa chadema kama chama cha kisiasa.

Ni muhimu sana,
kuelekeza jitihada na dhamira zetu njema katika kuisaidia chadema kurejesha ushawishi wake kwa wananchi.

hakuna haja wala sababu hata moja kuhangaika wala kubabaika na vyama vingine ambavyo ni imara na havina migawanyi na uhasama kama chadema.

Tuwe wangwana ndugu zangu wadau, tuionee huruma chadema, inapotea hivi hivi tunaona 🐒
CHADEMA ikipotea si ndiyo furaha kwa UWT/CCM
 
Ulishindwa kuwashauri Samia na Kinana uje kuishauri Chadema, chipukizi wa CCM vilaza sana.
Gentleman,
mihemko na makasiriko hayawezi kuisaidia wala kuinusuru chadema kwa mahali ilipofikia.

Imegawanyika, haiaminiki, imepoteza uelekeo, dira, malengo na msingi wa kuanzishwa kwake.

Viongozi wake wa kitaifa wanalumbana na kubishana,
huku wanachama na mashabiki wakiwa hawaelewi la kufanya ispokua kuporomosha matusi mazito mazito tu, dah 🤣
 
CHADEMA ikipotea si ndiyo furaha kwa UWT/CCM
kwa sisi watafiti, wabobevu na wanasiasa waandamizi, hiyo haina maana yoyote gentleman

furaha, maoni na mapendekezo yetu kama wataalamu, ni kuona kuna very able and powerful government, but with vibrant and united opposition na si vinginevyo 🐒
 
kwa sisi watafiti, wabobevu na wanasiasa waandamizi, hiyo haina maana yoyote gentleman

furaha, maoni na mapendekezo yetu kama wataalamu, ni kuona kuna very able and powerful government, but with vibrant and united opposition na si vinginevyo 🐒
Kuna ile CCM B ACT inawatosha
 
kwa sisi watafiti, wabobevu na wanasiasa waandamizi, hiyo haina maana yoyote gentleman

furaha, maoni na mapendekezo yetu kama wataalamu, ni kuona kuna very able and powerful government, but with vibrant and united opposition na si vinginevyo 🐒
Kuna ile CCM B ACT inawatosha
 
Kuna ile CCM B ACT inawatosha
ni muhimu sana kuwaweka chini pamoja, hawa mafahali wawili wa ngazi ya juu ndani ya chadema,

halafu baadae taratibu tuwasogeze pamoja pia hawa vidagaa wengine mathalani Lema na Kigaila nao vile vile ni muhimu kuwadhibiti sharubu na pembe walizoota katika kukoleza mgawanyiko ndani ya chadema..

Tusaidiane tafadhali sana 🐒
 
ni muhimu sana kuwaweka chini pamoja, hawa mafahali wawili wa ngazi ya juu ndani ya chadema,

halafu baadae taratibu tuwasogeze pamoja pia hawa vidagaa wengine mathalani Lema na Kigaila nao vile vile ni muhimu kuwadhibiti sharubu katika kukoleza mgawanyiko chadema..

Tusaidiane tafadhali sana 🐒
Mbona leo UWT mnaumia sn kuliko CHADEMA wenyewe?
 
Mbona leo UWT mnaumia sn kuliko CHADEMA wenyewe?
BAWACHA ilishajifia siku nyingi, ni kama vile mama kibezi aliondoka nayo mjengoni,

sasa mmebaki wamama wa vigodoro na kukaa vikao vya BAWACHA taifa kujadiliana namna ya kuchoma vitenge, sasa hapo kuna akili kweli? si ushirikina tu huo.

ni muhimu zaid kuelekeza nguvu na jitihada zote, kushughulika na chadema kwa ujumla mama ima, kaimu katibu mkuu wa BAWACHA kanda ya kaskazini 🐒
 
BAWACHA ilishajifia siku nyingi, ni kama vile mama kibezi aliondoka nayo mjengoni,

sasa mmebaki wamama wa vigodoro na kukaa vikao vya BAWACHA taifa kujadiliana namna ya kuchoma vitenge, sasa hapo kuna akili kweli? si ushirikina tu huo.

ni muhimu zaid kuelekeza nguvu na jitihada zote, kushughulika na chadema kwa ujumla mama ima, kaimu katibu mkuu wa BAWACHA kanda ya kaskazini 🐒
Basi nyie UWT ni washindi
 
Back
Top Bottom