Yako zama za mawe hayo bado.Hivi nyieee. Akili zenu zimekaa ki-ccm ccm tu. Hamjui kwamba kuna vyama vingine vinataka kushika hatamu na muda umefika?
Kama anapenda sana urais kama watu wanavyosema abadili dini sasa.Kama jibu ndio January Makamba na wenzakewote wenye imani kama yake itawapasa kusubiri mpaka 2040,Makamba atakuwa mzee wa miaka 65+,
Watoto wa 2000 watakuwa na umri kama alionao yeye kwa sas...,kutakuwa na wanasiasa wenye confidence na ushawishi kulIko yeye,dalili zimeanza kuonekana,akina Mwasi and alike.
Inaumaa saana
Maana toka niko mdogo nasikia tu anataka uraisi 😂😂😂Akibadili tutajua huyu ana agenda yake zaidi ya kutumikia wananchi
ni utamaduni wetu huo kuwa baada ya rais mwislamu,basi anayefuata atakuwa mkristo na mkatolikiKama jibu ndio January Makamba na wenzakewote wenye imani kama yake itawapasa kusubiri mpaka 2040,Makamba atakuwa mzee wa miaka 65+,
Watoto wa 2000 watakuwa na umri kama alionao yeye kwa sas...,kutakuwa na wanasiasa wapya kabisa wenye confidence na ushawishi kulIko yeye,dalili zimeanza kuonekana,akina Mwasi and alike.
Inaumaa saana
Japo sio katiba lakini kwa wakristo lile baraza la walatoliki hujipanga vizuri mno kuhakikisha kuwa mkristo anayechukua nchi awe mkatoliki na hata muislamu ni yule mwenye mafungamano makubwa na wakatoliki,mfano kassim majaliwa mkewe ni mkatolikiHivi hii imekaaje mbona sielewi, kwenye nchi ya watu 65M, wenye Imani nyingi hakuna mfano, uongozi wa juu kubaki wa dini mbili kubwa tena kwa mbadilishano unaoweza kutabilika?
kwanza inafanywa kijanja sana na akili kubwa mno,walisomesha watu wengi na wakawaingiza kwenye siasa wengi mno hivyo ikitokea nafasi yoyote wakatoliki hupata sehemu kubwa hivyo ni rahisi hesabu za yumkini kuwaangukia,kuhusu wanafaidikaje,kumbuka mtoto wao ndio anakuwa kashika nchiMsaada tutani, kwanini awe mkatoliki, na hiyo system wakatoliki wanamaslahi nayo yapi?.
kwanza sijui januari ni dini gani,maana baba yake ni mwislamu na mama yake ni kkktJanuary Kamwe Hawezi Kuwa Raisi Wa Tz
Labda nikupo dokezo Dogo tu. Ktk uchaguzi wa serikali za mitaa kuna maeneo hao chadema wameshindwa hata kusimamisha wasgombe ikimaanisha hakipo kabisa. Acheni kudanganyika na idadi ya wana chadema waliopo mjini.2025 lisu anachukua nchi ni mkatoliki pia.
2030 John mnyika anachukua nchi ni mkatoliki pia.